Uhuru Kenyatta atumia jeshi baada ya mgomo wa wafanyakazi JIA, lakini akitumia Rais Magufuli hapa kwetu ni dikteta!

Uhuru Kenyatta atumia jeshi baada ya mgomo wa wafanyakazi JIA, lakini akitumia Rais Magufuli hapa kwetu ni dikteta!

Jeshi Ni chombo cha usalama ambacho hutumika kukiwa na emergency sababu huwa muda wote lipo tayari na kwa mara nyingi hapa kwetu Rais wetu amekuwa akilitumia mara kwa mara punde kunapotokea emergency yoyote, na huwa analiamini kwa kufanya shughuli kwa ufanisi, haraka na kwa gharama sawa na bure.

Leo jirani yetu Kenya kumetokea mgomo wa wafanya kazi na Rais Uhuru Kenyatta akaamuru KDF kuingilia kati kwa kufanya shughuli zote baada ya wafanyakazi kugoma.

je, katumia busara kulitumia jeshi badala ya kukaa na wafanyakazi waliogoma na kumaliza mgomo wao?

Kwetu hapa malalamiko haya yangekuwepo watu wagome na Rais aamuru jeshi kunusuru hii hali angeandikwa ni DIKTETA hilo halina ubishi.

Je, ingekuwa hapa kwetu stori zingekuwaje make huwa kuna malalamiko kwa kutumia jeshi kila wakati.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hapa TZ serikali ilikwisha fanya kitu kama hicho baada ya waongoza ndege kugoma
 
Question mark inatoka wapi?Jeshini kuna kila aina ya vitengo.Kuna skilled na non skilled labours. Kama kulikua na uhitaji wa kubangua korosho wangebangua tu.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Wangebangua kwa mikono ....................!!?

When we say we do not have the capacity as a country ... it means we do not have enough equipment or machinery. Not skills or manpower!!
 
Jeshi Ni chombo cha usalama ambacho hutumika kukiwa na emergency sababu huwa muda wote lipo tayari na kwa mara nyingi hapa kwetu Rais wetu amekuwa akilitumia mara kwa mara punde kunapotokea emergency yoyote, na huwa analiamini kwa kufanya shughuli kwa ufanisi, haraka na kwa gharama sawa na bure.

Leo jirani yetu Kenya kumetokea mgomo wa wafanya kazi na Rais Uhuru Kenyatta akaamuru KDF kuingilia kati kwa kufanya shughuli zote baada ya wafanyakazi kugoma.

je, katumia busara kulitumia jeshi badala ya kukaa na wafanyakazi waliogoma na kumaliza mgomo wao?

Kwetu hapa malalamiko haya yangekuwepo watu wagome na Rais aamuru jeshi kunusuru hii hali angeandikwa ni DIKTETA hilo halina ubishi.

Je, ingekuwa hapa kwetu stori zingekuwaje make huwa kuna malalamiko kwa kutumia jeshi kila wakati.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uongozi una kanuni zake na porojo jf zina mihemuko yake. wangesema tuu naamini hata wakenya wanasema ila inchi inasonga.
 
Mbn unajitekenya nwenyewe toa hesabu ya walichofanya kwenye kor show. Kenya ni tofauti na hapa. Kwani ametumia kununua kor show akaitwa bokasa mdogo.
Kupiga marufuku siasa, kupiga na kubambikizia kesi wapinzani. Kuua upinzani bungeni, kutoheshimu kautaratibu Li alifanywa nini, ndicho watu wanahisi huyu nani sijui anaweza kuwa au anajitengeneza kuwa.
Hao waliomtangulia walianzaga vile akina nguema, bokasa, mobutu na baba lao hitila jitambue....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jeshi Ni chombo cha usalama ambacho hutumika kukiwa na emergency sababu huwa muda wote lipo tayari na kwa mara nyingi hapa kwetu Rais wetu amekuwa akilitumia mara kwa mara punde kunapotokea emergency yoyote, na huwa analiamini kwa kufanya shughuli kwa ufanisi, haraka na kwa gharama sawa na bure.

Leo jirani yetu Kenya kumetokea mgomo wa wafanya kazi na Rais Uhuru Kenyatta akaamuru KDF kuingilia kati kwa kufanya shughuli zote baada ya wafanyakazi kugoma.

je, katumia busara kulitumia jeshi badala ya kukaa na wafanyakazi waliogoma na kumaliza mgomo wao?

Kwetu hapa malalamiko haya yangekuwepo watu wagome na Rais aamuru jeshi kunusuru hii hali angeandikwa ni DIKTETA hilo halina ubishi.

Je, ingekuwa hapa kwetu stori zingekuwaje make huwa kuna malalamiko kwa kutumia jeshi kila wakati.

Sent using Jamii Forums mobile app

Uko sahihi. Kawaida ninavyoelewa mimi,JWTZ huwa wanatumika kwenye incidences ambazo ni emergence tu, kuanzia matukio makubwa kama yale ya vita mpaka kwenye haya madogomadogo kama ya juzi kule Arusha kwenye maduka ya Fedha. Ninaposema emergence hapa namaanisha ni matukio yale ambayo huwa yanajitokeza ghafla bila kupangwa au kutarajiwa. Vita huwezi kuipanga, japo kwa kiasi fulani unaweza ukai-predict kutokana na trends zitakazokuwa zimejionyesha. Swala la juzi kwenye maduka ya Forex lilikuwa emergence kwa Serikali kwa maana kuwa Serikali haikuwa imetarajia uwepo wa kile kilichokuwa kinaendelea kwenye maduka hayo, so it was okay ku-deploy nguvu ya JWTZ. Ni maoni yangu lakini, I stand to be corrected
 
kulinganisha kenya na Tanzania ni sawa na kulinganisha mwanamke na mwanaume? kenya wanaishi binadamu, Tanzania wanaishi maishi wanaotembea! jitu halijaongezewa mshahara MIAKA 3 kisha kila siku linaenda ofisini. ukiliuliza linakwambia limesoma?
Akili zako za kinyonge ni sehemu ya tatizo la umaskini wa Tanzania.
 
Waliogoma pale ni wafanyi kazi wa masuala ya ndege ana angani, wanajeshi walioletwa pale kusaidia ni wa masuala ya ndege na angani.
Ni tofauti sana na unapowatuma wanajeshi wakabangue korosho.
 
kulinganisha kenya na Tanzania ni sawa na kulinganisha mwanamke na mwanaume? kenya wanaishi binadamu, Tanzania wanaishi maishi wanaotembea! jitu halijaongezewa mshahara MIAKA 3 kisha kila siku linaenda ofisini. ukiliuliza linakwambia limesoma?
Mh, aise wewe pamoja na walolike ni wapumbavu wa mwisho na ndio sababu hili taifa linachelewa kusonga mbele. Hasara tupu, shame on you.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kulinganisha kenya na Tanzania ni sawa na kulinganisha mwanamke na mwanaume? kenya wanaishi binadamu, Tanzania wanaishi maishi wanaotembea! jitu halijaongezewa mshahara MIAKA 3 kisha kila siku linaenda ofisini. ukiliuliza linakwambia limesoma?
We ! Kenya unaijua wewe au unaongea tu.
 
Udikteta ni kama angetumia Jeshi kuwalazimisha wafanyakazi warudi kazini. Lakini pia ungekuwa ni Udikteta kama angesema wafanyakazi waliogoma wasirudi kazini kwa kuwa wamegoma!!
Ha ha ha hizo tafsiri zako !!!
 
Jeshi Ni chombo cha usalama ambacho hutumika kukiwa na emergency sababu huwa muda wote lipo tayari na kwa mara nyingi hapa kwetu Rais wetu amekuwa akilitumia mara kwa mara punde kunapotokea emergency yoyote, na huwa analiamini kwa kufanya shughuli kwa ufanisi, haraka na kwa gharama sawa na bure.

Leo jirani yetu Kenya kumetokea mgomo wa wafanya kazi na Rais Uhuru Kenyatta akaamuru KDF kuingilia kati kwa kufanya shughuli zote baada ya wafanyakazi kugoma.

je, katumia busara kulitumia jeshi badala ya kukaa na wafanyakazi waliogoma na kumaliza mgomo wao?

Kwetu hapa malalamiko haya yangekuwepo watu wagome na Rais aamuru jeshi kunusuru hii hali angeandikwa ni DIKTETA hilo halina ubishi.

Je, ingekuwa hapa kwetu stori zingekuwaje make huwa kuna malalamiko kwa kutumia jeshi kila wakati.

Sent using Jamii Forums mobile app

Tuambie ni wapi hapa kwetu wafanyakazi wamegoma kufanya kazi kisha likapelekwa jeshi kuifanya kazi ile na huku matakwa ya wagomaji yakishughulikiwa? ukituambia basi huo ndo utakuwa mfano hai wa kufananisha matukio. Ama kupeleka jeshi kufanya kazi kama ya korosho au kujenga madaraja au kuokoa maisha hilo siyo jambo baya wala halina uhusiano na udikteta.
 
Mtampamba sana Kenyata kwa kila sifa, ukweli ni kwamba wafanyakazi wakigoma ni kuongea nao na kusikiliza shida zao na sio kupeleka jeshi na kingine kulikua na ulazima wavae nguo za Jeshi?Arafu kumbe huko Kenya mnakosifia kila siku kumbe watu hawapewi mishahara?Ingekua bongo si mngeponda sana

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Kula like tano
 
Back
Top Bottom