Uhuru Kenyatta azindua sarafu mpya za Kenya ambazo hazina picha za marais

Naunga mkono hoja
 
hao wanyama ndio waasisi wa taifa la kenya?
Mimi ninafikiri, badala ya kushangaa hizo picha za wanyama, tushangae hizo fedha zao zilivyo na thamani. Shilingi 1/= inatengenezwa mwaka huu 2018? Wakati sisi kwetu sarafu ya chini iliyopo kwenye mzunguko ni 100! Hizo 10/= ,20/= na 50/= ni kama tulishazitoa kwenye matumizi!
 
Nyoka ni mdUdu au mnyama.??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…