Uhuru Kenyatta elected 4th Kenyan President.

Uhuru Kenyatta elected 4th Kenyan President.

Kijakazi,
Ukweli wa "Mamlaka" ya Raila kama PM ni kuwa hakuwa na mamlaka kamili. Mfano,kuna wakati aliwatimua mawaziri wawili aliowateua yeye,(kumbuka kuna wizara zilikuwa chiji ya Raila), Mawaziri hao ni pamoja na Ruto, lakini Mamlaka nyingine (Kibaki) ikawarudisha kazini. Pia Wizara nyeti zote ziliwekwa Chini ya Kibaki. Na muhimu kuliko yote ni Ukabila wa Kibaki Mkikuyu,Maafisa waandamizi wote (AG- Prof Muigai,DG-NSIS[Usalama wa taifa] General Gichangi, Mkuu wa Majeshi Julius Karangi,Head of Public Service-Muthaura,and later on Kimemia--Wote hao ni Wakikuyu. Ilifikia wakati Chief Secretary anamtolea maneno ya Dharau Waziri Mkuu Raila...Inshort, Odinga kuwamo Serikalini si lolote,si chochote. Likewise Kalonzo Musyoka.

Nafikiri si kweli,
Ilikuwa kutimua ama kuteua lazima Kibaki na Raila wakubaliane, mmoja akitenda anavyotaka kitu haipiti. Hata kibaki mwenyewe aliteua watu kama mara 3-4 hivi ila kwa kuwa hakumhusisha Raila, machaguo hayo yalikataliwa na Raila na ikabidi kurudia. Hivyo hakukua na mwenye mamlaka kamili, mamlaka kamili ilikuwa ni pair Raila+Kibaki.

Leo inashangaza kwa kweli mtu huyu kulalamikia watu alioshiriki kuwateua. Ni homa tu, ikitulia ataacha.
 
Uhuru ameongea kwa herufi kubwa na msisitizo kuwa anamtaka Raila aende kushiriki kwenye serikali atakayounda. Sasa sijui mtu aliyekuwa Waziri Mkuu anaweza kupewa nafasi gani serikalini itakayomfaa!!! Labda mwakilishi wa Kenya kwa UN.

Balozi nchini Marekani. Ha ha ha
 
Hii nukuu kutoka CNN, nzuri sana ukitafakuri

Kenyatta knows that he needs the United States and the United States knows it needs Kenya.," she said. "And so I suspect that while it might be awkward, there won't be a significant change in our policy stances toward Kenya or theirs toward us." No faith in the ICC
Analysts say the ICC indictment may have rallied citizens to Kenyatta's side to defy the West.
"Many Africans have lost faith in ICC and view it as targeting African leaders and failing to discharge its justice among non-African leaders in the world," said Ayo Johnson, director of ViewPoint Africa.
"Kenya sent a loud message to the ICC... don't interfere, and it does not matter if you brand our leaders as criminals."
The president-elect's trial starts July 9 while his running mate's is in May.

Huu ni unafiki wa hali ya juu sana. Wakenya walijadili bungeni na bunge lao wenyewe kupitisha sheria ya kuwapeleka watuhumiwa the Hague. ICC iliwapa option ya kuweka local/domestic court kudeal na watuhumiwa wakakataa. Kisingizio kikubwa kilikuwa mahakama zao wenyewe hazitatoa haki. Leo kuwalaumu ICC ni unafiki wa hali ya juu. Ni kama wahenga wanavyosema, anayetunza magogo chumbani asishangae akitembelewa na nge kitandani
 
In the New Constitution is there a position of Prime Minister?

No,
Katiba yao wame fuata mfumo wa usa na nafikiri kila position iko well defined siyo ya ku-teua tu from nowhere. Na position nyingi lazima zipate approval kwa bunge. Am just wondering which position he will fit in.
 
Yaani wewe ndio umesema kweli, huwezi kwenda kulalamikia mfumo ambao wewe ndio Kiongozi wake, Bw. Odinga ni Waziri mkuu na Bw. Musyoka Makamu wa raisi sasa wanamlalamikia nani, mbona wao ndio viongozi wa Serikali?

Kijakazi unajua siasa za Kenya vizuri au unasema tu? Kwa sababu hao wote waliogombea ukiondoa Dida na Muite wote wameshakuwa viongozi waandamizi serikalini. Kurudi kwenye point yako, kama RO alikuwa na nguvu kiasi hicho mbona alipotaka kuwadiscipline mawaziri walikuwa wanamgeuka pamoja na Kibaki? Halafu ni nini ambacho kinakufanya umwamini sana Uhuru? Usisahau Uhuru siyo mtu aliyekuwa anaisapoti (hapa uzingatie alikuja kuisapoti baada ya kuona majority wanaisapoti) hii katiba mpya, je una uhakika gani ataiendeleza au ataipunguza na kuwarudisha wakenye kule kule?
 
Huu ni unafiki wa hali ya juu sana. Wakenya walijadili bungeni na bunge lao wenyewe kupitisha sheria ya kuwapeleka watuhumiwa the Hague. ICC iliwapa option ya kuweka local/domestic court kudeal na watuhumiwa wakakataa. Kisingizio kikubwa kilikuwa mahakama zao wenyewe hazitatoa haki. Leo kuwalaumu ICC ni unafiki wa hali ya juu. Ni kama wahenga wanavyosema, anayetunza magogo chumbani asishangae akitembelewa na nge kitandani

Mambo yote yanayojadiliwa bungeni tusifikiri sana ni uamuzi wetu na bunge. Hata Malawi walijadili bungeni suala ya ushoga na kuliondoa unafikiri ni utashi wa malawi? siku si nyingi na sisi tutajadili bungeni swala la ushoga na kuruhusu ndoa, japo itakuwa ni hoja ambayo hakuletwa na mbunge yoyote lakini kwa ajabu utaikuta bugeni na kuipitisha.
 
My fellow Kenyans, thank you.
Thank you for all your patience and your support along the way
Asanteni Sana.
I thank God for sustaining us and for bringing us this far.

I thank all those who have remained vigilant in prayer for our nation during this time.
I want to thank the people of the republic of Kenya who have shown patience over the last few days as we all awaited the outcome of this election.

I thank the thousands of officials who worked with the IEBC to make this, the most free and most fair general election in our nation's history.

Despite the challenges that you faced, you managed to keep the trust of Kenyans and to do your job professionally.

While we look forward to a day when electoral results are relayed in real-time to curb anxiety, we acknowledge that every process can be refined and I pledge to give you my support as you seek more efficient ways to conduct future elections.

I would also like to acknowledge and thank the police and all security agencies for their diligence and commitment to ensuring security.

I would especially like to acknowledge the police officers who lost their lives on the eve of the elections. They made the ultimate sacrifice, laying down their lives,in the name of democracy.

To their families, I offer my sincere condolences for your loss and I assure you that I, and the people of Kenya are standing with you in prayer.

The incidents that took the lives of our officers are a reminder that security remains one of the biggest challenges in our nation. It is unacceptable to see such violent and unnecessary loss of life. As we move forward, I pledge to meet all threats to our national security with the full force of Kenya's resources and with utmost urgency.

To the Kenyan media - you have shown remarkable responsibility as this country's fourth estate. You have shown sensitivity in the dissemination of news and impartiality in your treatment of the results. You have no doubt helped to keep the country calm.
We are grateful for this, and we will continue to consider you our true partners as we embark on our journey.
To the presidential candidates – I salute you all.

You have contributed to ensuring a robust democratic process.

I in particular want to single out my brother, Raila Odinga, for his spirited campaign.

I know that all the candidates have made tremendous personal sacrifices for the progress of our country and today, I welcome them to join us in moving our nation forward.

My fellow Kenyans today, we celebrate the triumph of democracy; the triumph of peace; the triumph of nationhood.

Despite the misgivings of many in the world- we demonstrated a level of political maturity that surpassed expectations.

We dutifully turned out; we voted in peace; we upheld order and respect for the rule of law and we maintained the fabric of our society.

That is the real victory today. A victory for our nation. A victory that demonstrates to all that Kenya has finally come of age. That this, indeed, is Kenya's moment.

I am honored and humbled that in a free and fair election- you, the people of Kenya, have placed your trust in me- to lead our nation as your next President.

I am here because of you.

I am here because of the unyielding support of millions of Kenyans, from all walks of life, from every corner of our nation, who sacrificed their time, energy and resources to make this campaign a success.

Thousands of you volunteered through Team Uhuru. Hundreds of you mobilized through grassroots organizations. Hundreds of you campaigned through your university associations and millions of Kenyans across the nation engaged us through our various online platforms.

Throughout this process you, the people, have remained unwavering in your belief not only in me - but in the possibility of a stronger, more prosperous Kenya.

A Kenya that has room for all our hopes and aspirations.

Last but not least, I am here because of my family:
My wife, Margaret; our children and all the members of my family.

However, this is has never been about me, this has been about you- about the people of Kenya. You have put your faith not in one man , but in a team.

In our Deputy President – Elect: Hon William Ruto. A man with a proven trackrecord, who has demonstrated to all of us, his ability to both speak and act with un-matched zeal and energy.

You put your trust in my sister, Charity Ngilu and my brother, Najib Balala both of whom have remained committed to serving the people and putting our nation first.

You put your trust in TNA, URP and the wider Jubilee family.

And because you gave us this trust, I am proud to say that the majority of women who were elected to parliament come from the Jubilee Coalition – a fact that demonstrates this teams commitment to supporting women and to supporting the full implementation of all the provisions within our constitution.

I want to say to all the Jubilee aspirants- those who won, and especially, those who did not – you have done your parties, and this coalition- proud.Your dedication, to the ideals that the Jubilee Coalition represents has been an inspiration to me. We came together as a team, and we will continue to work together as a team- for the good of all the people of Kenya.
However , today is about more than one Coalition or Party.

It is about all Kenyans: those of you who voted Jubilee and those who did not.

My fellow Kenyans, My pledge to you is that as your President, I will work on behalf of all citizens regardless of political affiliation.
I will honor the will of Kenyans and ensure that my Government protects their rights and acts without fear or favor; in the interests of our nation.
To all those who won various seats –regardless of what party or coalition you may belong to - let us remember that we are , first and foremost, Kenyans, and that the people have bestowed upon us the responsibility to work for them.

I extend a hand of friendship and cooperation to you so that together, we can truly serve the Kenyan people.
In the nearly 5 decades since independence, we have made great strides as a nation.

Kenya has experienced huge success but there have also been enduring problems.

In the last 10 years, under the Presidency of Mwai Kibaki we have begun to overcome many of our national challenges.
We are indebted to his leadership and grateful for the services he has rendered to our country.
As I assume office, my task, and the task before us all is to secure the gains we have made while focusing on solving the challenges that remain.

My fellow Kenyans, the elections are now over.

Today, in itself, is not an end ; it is a beginning and there is much work to be done.

That work begins with all of us taking personal responsibility for the future of our country- the inheritance of our children.
For those who are celebrating let us be modest in victory. To those who voted for any of my opponents - let us keep in mind the broader victory of Kenya, and continue to uphold peace. Let us remember that while, in a democracy, some contestants must, inevitably, lose - the citizens of a country never do. In this election, every vote mattered and from this moment, every voice that contributes to the national dialogue- will be heard.

Fellow Kenyans, our duty now is to return to our lives. To return to our jobs, our businesses; our farms – and continue making the daily decisions that will transform Kenya.

I promise to do my part, but I need every Kenyan to play their part as well.

To our brothers and sisters in the region and in Africa as a whole we appreciate your support and encouragement before, during and after the elections. This is the true spirit of Africa. We look forward to playing our rightful role in the region and in the continent. The African star is shining brightly and the destiny of Africa is in our hands.

To the nations of the world I give you my assurances that I and my team understand that Kenya is part of the community of nations and while as leaders we are, first and foremost, servants of the Kenyan people, we recognize and accept our international obligations and we will continue to co-operate with all nations and international institutions– in line with those obligations.
However we also expect that the international community will respect our sovereignty and the democratic will of the people of Kenya.

Indeed it is the desire of the people of Kenya to be a nation that is at peace with itself, at peace with her neighbors, at peace with our continent and at peace with the world at large.

We will pursue this ideal - upholding the values enshrined in our constitution and continuing in the spirit embodied in the words of our national anthem

Oh God of all creation
Bless this our land and nation
Justice be our shield and defender
May we dwell in unity, peace and liberty.
Plenty be found within our borders.

Thank you,

God bless you And God bless the Republic of Kenya.

President Uhuru Kenyatta
 
Uhuru kumkaribisha Raila au kutomkaribisha kunatokana na ukweli kwamba takribani nusu ya wakenya hawakumchagua period. Somehow ni lazima ashirikiane na wapinzani.
 
Kwa haraka haraka unaweza sema hivyo, lakini indirectly wamagharibi walishinikiza hiyo kitu. Ni sawa sawa ni vita inayoendelea Syria walioanzisha tifu ni wa syria wenyewe lakini ma archtects ni hawa mabeberu wa magharibi.

MkamaP acha kufananisha vitu ambavyo havifanani. Ya Syria ni ya Syria. Kule kuna udikteta na kurithishana uongozi kama wakikuyu wanavyotaka iwe Kenya. Kama wabunge wangepitisha local tribune halafu serikali ikakataa tungejua. Lakini serikali kwa kupitia Martha Karua walipeleka mswaada halafu wabunge wakakataa. Kila mbunge akisimama anasema Road to Hague, hadi matatu zikaandikwa wewe leo unalaumu Western, please give us a break. Mimi si support western wanavyotukandamiza, lakini pia nalaani unafiki wa viongozi ambao ni beneficiaries wa mbinu za western kuja kulalamika wanapogeukwa. Uhuru na Ruto wana kesi ya kujibu. Ni mahakama ambayo itasema kama wanamakosa au hapana.
 
I want to thank all the great people of Kenya for the mandate they have graciously bestowed on the Jubilee Coalition by electing my brother Uhuru Kenyatta to be President, and I Deputy President. I salute every citizen who peacefully and robustly exercised their right of political participation and contested an election, or voted.

Regardless of who you elected, I recognise and salute your commitment to democracy and fair and transparent political competition. You also voted for the biggest candidate and winner in this election: a peaceful and united Kenya. If you voted for us, or for our competitors you did well, lent your voice to the task of moving forward, and exemplified a fine patriotic undertaking to watch over your country's leadership. No words can really express the love and gratitude I feel towards the great people of this beautiful country, but a heartfelt ASANTE SANA will do.


My wife; it has been quite a journey, and the Lord has been faithful. You have been a true pillar of strength, brilliant companion and constant inspiration. I know that you did not sign up for some of the responsibility that has fallen upon you along the way, but I am thankful that you have been courageous and faithful about it. With your support, I am stronger, and for this, I thank you with all my heart.


Our campaign teams, volunteers and supporters: you have been marvellous beyond words. You constitute the Digital Brigade that has won a gruelling campaign and the hearts of Kenyans. I know that we will enlist more believers, mobilisers and servants of the people to defeat poverty and underdevelopment, and transform Kenya. I am proud to be associated with each one of you. Accept our sincere gratitude. God bless you.


I also salute our worthy competitors in this exciting political contest: my brothers Hon Raila Odinga, Musalia Mudavadi, Peter Kenneth, Mohamed Dida, Paul Muite and my dear sister Martha Karua as well as their running mates. This contest was tough, and you presented the rigour, commitment and vigilance required to ensure that the voice of Kenyans is heard, and that true democracy is entrenched in our national culture. I do not doubt your patriotism and commitment to offer leadership. That is why we reach out with open arms, so that we unite in brotherhood to work together wheresoever possible, to show the people of Kenya that the contest was not about losing; for each of us is worthy, and each of us can be victorious in meaningful ways. To use a popular expression, please let us keep in touch.


The Jubilee Coalition's manifesto has received the people's stamp of approval. We have committed ourselves to work tirelessly to unite Kenyans, accelerate economic growth, improve livelihoods, secure the country and provide excellent infrastructure. We have made specific pledges to the youth, the women, the old, the children and many sectors of our national life. It is our manifest intention to execute that manifesto in full. We wish to keep our word. Therefore, as we stated before, we shall work hard. We shall rise early and work hard all day, every day, until every pledge is discharged, and every promise kept.


The process of transforming Kenya has began in earnest. Our Parliament, both the Senate and National Assembly, has the youngest legislators in Kenya's history, many of who are sponsored by the Jubilee Coalition. Already, we have transformed how Kenyan perceive leaders and leadership. The relationship between the mwananchi and the politician has been elevated to a new level of synergy, consensus and servant leadership. This is the beginning of the march towards the Kenya we want for ourselves, and our children.


The work of building this nation will require conscientious management of national resources. Implicitly, therefore, the Jubilee government must fight corruption and entrench managerial best practices in the full recognition of the fact that by law and in fact, the mandate bestowed in this election is also a public trust. Success in redeeming our pledge will depend in managing the relationships that our country's well-being depends on in a forward-looking, pragmatic, respectful way that prioritises national needs and the need to adjust traditional relationships accordingly. The Jubilee Coalition aspires to be truthful, faithful, diligent, vigilant and obedient servants of the people of Kenya. Our democracy has grown into a stable and consistent national culture. We must cherish and celebrate it always. The freedom to imagine, think and speak is the power that unlocks our imaginative, creative and innovative energies. This is the essence, not just of our competitive advantage, but also of faith in our people's strength to confront novel challenges without flinching, and with an eye on success. The Jubilee government will look ahead and listen to all the imaginative and creative voices which will chart the way forward for us.


With God our Creator protecting, guiding and inspiring us, with all our people and communities united in the quest for dignity, freedom, prosperity, I promise the people of Kenya today that no obstacle will be too great, no burden too onerous and no hurdle insurmountable. The Jubilee Coalition calls on each of us, irrespective of political affiliation, tribe, race or creed to dedicate ourselves wholly to improving our common good and collective destiny.
Kenya is one nation, and we are one people.
God bless you.
 
Maswali yanalokuja ni je, Raila atakubali offer?
Akikubali ataendelea na kesi huku yuko kwenye governement?
 
313461_149480821884490_2041329918_n.jpg
 
Mambo yote yanayojadiliwa bungeni tusifikiri sana ni uamuzi wetu na bunge. Hata Malawi walijadili bungeni suala ya ushoga na kuliondoa unafikiri ni utashi wa malawi? siku si nyingi na sisi tutajadili bungeni swala la ushoga na kuruhusu ndoa, japo itakuwa ni hoja ambayo hakuletwa na mbunge yoyote lakini kwa ajabu utaikuta bugeni na kuipitisha.

MkamaP nimekuomba usifananishe vitu ambavyo havifanani. Ile issue Kenya walipewa option kuwa na Local Tribune wakakataa. Baada ya ICC kuanza kazi wakaitumia AU ili hiyo Tribune iwe Arusha na Viongozi wa AU wengi waliwasapoti, lakini jibu likawa walipewa option wakaikataa.
 
Kijakazi unajua siasa za Kenya vizuri au unasema tu? Kwa sababu hao wote waliogombea ukiondoa Dida na Muite wote wameshakuwa viongozi waandamizi serikalini. Kurudi kwenye point yako, kama RO alikuwa na nguvu kiasi hicho mbona alipotaka kuwadiscipline mawaziri walikuwa wanamgeuka pamoja na Kibaki? Halafu ni nini ambacho kinakufanya umwamini sana Uhuru? Usisahau Uhuru siyo mtu aliyekuwa anaisapoti (hapa uzingatie alikuja kuisapoti baada ya kuona majority wanaisapoti) hii katiba mpya, je una uhakika gani ataiendeleza au ataipunguza na kuwarudisha wakenye kule kule?

Nafikiri unanilisha maneno, mimi simsupport yoyote yule, ile naangalia tu haya mambo logically, Ninachojua mimi ni kwamba Kenya walikuwa na Serikali ya Mseto, ambayo ilikuwa inaongozwa na Bw.Kibaki na Bw.Raila, na Uwaziri Mkuu wa Bw.Raila sio kama wa Bw.Pinda, ambao
Bw.Kikwete anaweza kumfukuza muda wowote akijisikia, hivyo basi madaraka yao ni karibu sawa, na Serikali waliiunda kwa pamoja ikiwa ni pamoja na kuteua viongozi wa hiyo Tume, hivyo ndivyo ninavyoelewa , sasa kama siyo sawa unaweza kunisahihisha kwa kuwa mimi sio mwenyeji wa huko!

Na kama Bw. Uhuru Kenyata alipinga au alisupport Katiba mpya hilo silifahamu, mimi nimeliangalia hili swala tu logically, sasa kama unasema Bw.Raila Odinga hakuwa na hayo madaraka niliyoyasema hapo juu, basi nitakuelewa vinginevyo kwangu mimi Bw. Odinga hoja yake haina msingi!
 
Nafikiri unanilisha maneno, mimi simsupport yoyote yule, ile naangalia tu haya mambo logically, Ninachojua mimi ni kwamba Kenya walikuwa na Serikali ya Mseto, ambayo ilikuwa inaongozwa na Bw.Kibaki na Bw.Raila, na Uwaziri Mkuu wa Bw.Raila sio kama wa Bw.Pinda, ambao
Bw.Kikwete anaweza kumfukuza muda wowote akijisikia, hivyo basi madaraka yao ni karibu sawa, na Serikali waliiunda kwa pamoja ikiwa ni pamoja na kuteua viongozi wa hiyo Tume, hivyo ndivyo ninavyoelewa , sasa kama siyo sawa unaweza kunisahihisha kwa kuwa mimi sio mwenyeji wa huko!

Na kama Bw. Uhuru Kenyata alipinga au alisupport Katiba mpya hilo silifahamu, mimi nimeliangalia hili swala tu logically, sasa kama unasema Bw.Raila Odinga hakuwa na hayo madaraka niliyoyasema hapo juu, basi nitakuelewa vinginevyo kwangu mimi Bw. Odinga hoja yake haina msingi!

Kuangalia vitu logically ni pamoja na kufanya situtional analysis. Sasa ungefanya hiyo situational analysis ungejua kuwa RO hoja yake ina msingi au haina. Pia vile vile ungejua kama UK analalia upande gani katika government reforms in African countries. Samahani kama nimekulisha maneno lakini logical analysis ya argument zako inaonyesha kama unamsupport UK
 
Nafikiri unanilisha maneno, mimi simsupport yoyote yule, ile naangalia tu haya mambo logically, Ninachojua mimi ni kwamba Kenya walikuwa na Serikali ya Mseto, ambayo ilikuwa inaongozwa na Bw.Kibaki na Bw.Raila, na Uwaziri Mkuu wa Bw.Raila sio kama wa Bw.Pinda, ambao
Bw.Kikwete anaweza kumfukuza muda wowote akijisikia, hivyo basi madaraka yao ni karibu sawa, na Serikali waliiunda kwa pamoja ikiwa ni pamoja na kuteua viongozi wa hiyo Tume, hivyo ndivyo ninavyoelewa , sasa kama siyo sawa unaweza kunisahihisha kwa kuwa mimi sio mwenyeji wa huko!

Na kama Bw. Uhuru Kenyata alipinga au alisupport Katiba mpya hilo silifahamu, mimi nimeliangalia hili swala tu logically, sasa kama unasema Bw.Raila Odinga hakuwa na hayo madaraka niliyoyasema hapo juu, basi nitakuelewa vinginevyo kwangu mimi Bw. Odinga hoja yake haina msingi!

Si kweli kwamba Odinga hakuwa na madaraka ni kweli kwamba Ruto na mwezake walifukuzwa uwaziri na Raila, Rais akataa kwamba hakushirikishwa hivyo yakatenguliwa.

Pia Kibaki naye aliteua watu wake kama mara tatu hivi na hakumshirikisha Raila, huo uteuzi ukatenguliwa, na tena hata juzijuzi Kibaki tu hapa aliteua watu watakayosimamia mambo ya ardhi hakumshirikisha Raila, uteuzi ukatenguliwa.
Kibaki aliteua ma-jaji hakumshirikisha Raila uteuzi ukatenguliwa na kuteua upya. Kusema kwamba Raila hakuwa na power mie naona ni mambo tu ya mbaazi.

Kimsingi hawa principles wawili walikuwa na madaraka sawa.
Nani anabisha uteuzi uliofanywa na kibaki bila Raila ulitenguliwa? tena mara kadhaa. Ndiyo maana hata kwenye debate muite alihoji Raila kuna mtu mzito gani zaidi ya PM na Rais? jamaa akaanza oohh alikuwa anamaanisha mashirika.
 
..............Kumbe mabadiliko ni kitu cha kawaida.... nawapa HONGERA wa KENYA wote wafahamu kwamba hakuna aliyeshinda bali Kenya yenye amani ndio mshindi... Nitakuwa mkosefu wa FADHILA bila ya kumpa pole nyingi sana Mhe. Magufuli na wengine wote waliojitahidi kumsaidia Raila Odinga lakini Si RIZIKI
Unafikiri Uhuru hakusaidiwa? Kinana na wenzake wameenda kufanya kazi aliyokuwa anafanya kingunge enzi hizo.na julai wataenda Zimbabwe.
 
Back
Top Bottom