Uhuru Kenyatta Family owns part of JKIA...πŸ€”πŸ€”πŸ€”

Manyang'au na kujifanya wasomi (wa kukijijuwa kiingereza) sijuwi walipewa nini na hii familia ya Kenyatta?! Yaani wanamiliki karibu kila kitu kwenye ile nchii! Hawana tofauti na kina Bokassa/Marcos/Bia/Idd Amini n.k n.k. Waliuana kuhusu Katiba! Cha kushangaza hiyo Katiba waliomwaga damu za Wakenya wenzao imekuwaje inaruhusu huu ubwanyenye?!
Utafikiri ile familia inaongoza Ma-Zombies?! Bure kabisa...heri tukae na Udanganyika wetu kuliko ujinga kama huo...
 
wa Tanzania hawa somi Kiherehere tu.. na kuomba omba kila nchi
 
They are zombiesπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…