interconsult
Senior Member
- Dec 8, 2017
- 112
- 154
Wakati waliowengi walitegemea machafuko makubwa Jana Kenya kwa kitendo cha UHAINI kwa RAILA ODINGA kujiapisha,ukweli ukawa tofauti. Jana mpk saa 5 asbh vikosi vya dola vilijiweka kivita na kishali kuakikisha UHURU PARK hakai wala hafiki mtu.
Mh. Uhuru Kenyata, kaka mpenda demokrasia, aliamulu vikosi vyote vya dola kuondoka na kuacha UWANJA huo huru ili wapenzi na wafuasi wa ODINGA wakae wafanye watakayo ili wapunguze hasira zao. Mpk hivi hakuna hata aliyejikwaa kidole. JE INGEKUWA HAPA hali ingekuwaje.
JE TUNAJIFUNZA NINI. Na madikteta wetu wa afrika mashariki wanajifunza nini kutoka kwa RAIS KIJANA KABISA NA HANDSOME KULIKO WOTE AFRIKA MASHARIKI.
Mh. Uhuru Kenyata, kaka mpenda demokrasia, aliamulu vikosi vyote vya dola kuondoka na kuacha UWANJA huo huru ili wapenzi na wafuasi wa ODINGA wakae wafanye watakayo ili wapunguze hasira zao. Mpk hivi hakuna hata aliyejikwaa kidole. JE INGEKUWA HAPA hali ingekuwaje.
JE TUNAJIFUNZA NINI. Na madikteta wetu wa afrika mashariki wanajifunza nini kutoka kwa RAIS KIJANA KABISA NA HANDSOME KULIKO WOTE AFRIKA MASHARIKI.