Uhuru Kenyatta hana mfano Afrika kwa demokrasia

Uhuru Kenyatta hana mfano Afrika kwa demokrasia

Uhuru usije ukaacha kikundi cha kigaidi kikakamilisha mikakati yake kamata huyo mtu na asionekane tena. Tumeona boko haramu wanavyofanya mambo yao ni hatari kwa jamii nzima
 
Hapo nimempa credit Uhuru, ameonesha kiwango cha juu cha busara. Moto huzimwa kwa maji(japo si aina zote za moto), si kwa moto. Ni vema viongozi wetu wakajifunza kwa hilo.
 
Binafsi nimeridhishwa kwa kiwango cha juu cha usitahimilivu wa kisiasa wa huyu bwana. Viongozi wa Africa wana jambo la kujifunza kutoka kwa (peace keeper Uhuru).
 
HAHAHAAAA...umesema: RAIS KIJANA KABISA NA HANDSOME KULIKO WOTE AFRIKA MASHARIKI.
hapana kama jana ingekuwa ni hapa Tanzania !!kuna yule bwana mdogo angemshauri babake watoe mpaka vifaru vya ziada aue watu.......... big up Uhuru Kenyeta hukutumia nguvu umetumia akili ...........nakwambia kabisa ingekuwa Tanzania mauaji ya ajabu yangetokea jana
 
Binafsi nimeridhishwa kwa kiwango cha juu cha usitahimilivu wa kisiasa wa huyu bwana. Viongozi wa Africa wana jambo la kujifunza kutoka kwa (peace keeper Uhuru).
yaani angekuwa baba jaden gaden jurgen tungekuwa na msiba wa kitaifa hapa
 
Maisha[hariri | hariri chanzo]
Maisha ya awali[hariri | hariri chanzo]
Alizaliwa kama mwana wa kwanza wa Jomo Kenyatta aliyekuwa rais wa kwanza wa Kenya na mke wake Ngina Muhoho aliyeitwa Mama Ngina.

Baada ya kumaliza masomo, alishughulikia hasa biashara za familia alizorithi kutoka kwa baba yake.

Kuingia katika siasa[hariri | hariri chanzo]
Mwaka 1997 alijaribu kuingia mara ya kwanza katika siasa lakini alishindwa katika uchaguzi wa bunge.

Mwaka 1999 rais Daniel arap Moi alimpa cheo cha mwenyekiti wa bodi ya utalii. Moi aliendelea kumpandisha ngazi kwa kumpa nafasi ya mbunge wa kitaifa na waziri msaidizi.

Mwaka 2002 akawa makamu wa mwenyekiti wa KANU.

Mgombea wa urais 2002[hariri | hariri chanzo]
Tangu Julai 2002 ilionekana wazi ya kwamba Moi alimtaka kama mgombea wa urais upande wa KANU atakayemfuata katika ikulu.

Mkutano mkuu wa KANU katika mwezi Oktoba 2002 uliitikia mapenzi ya rais ukamtangaza Uhuru kama mgombea wa urais.

Tendo hili lilisikitisha wanasiasa wengi wasiokuwa Wakikuyu na waliotegemea nafasi hiyo kwa ajili yao wenyewe. Waliondoka katika KANU na kuendelea katika ushirikiano wa upinzani wa NARC.

Uhuru ulishindwa katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2002 alipopata asilimia 31 tu za kura.

Kiongozi wa upinzani na wa chama[hariri | hariri chanzo]
Katika bunge jipya alikuwa kiongozi wa upinzani, lakini aliona pia upinzani ndani ya chama hasa kutoka kwa Nicholas Biwott pamoja na wanasiasa kutoka Bonde la Ufa. Kwenye mkutano wa chama cha Januari 2005 Uhuru alithibitishwa kwa kura nyingi na Biwott aliunda chama cha New Kanu.

Pingamizi dhidi yake ndani ya KANU[hariri | hariri chanzo]
Katika kura maalumu ya wananchi kuhusu katiba Uhuru alishikamana na viongozi wa LDP katika kambi ya Chungwa. Mipango yake ya kushiriki katika Orange Democratic Movement (ODM) yalipingwa vikali ndani ya chama kwa sababu wanaKANU pamoja na rais mstaafu Moi waliogopa kupotea kwa chama cha kwanza katika historia ya Kenya.

Katika Novemba 2006 Biwott alirudia jaribio la kumpindua Uhuru kwa kuita mkutano wa Kanu mjini Mombasa bila idhini ya mwenyekiti wala kamati ya chama. Hapo alichaguliwa kuwa mweyekiti mpya. Kwa msaada wa serikali Biwott alifaulu kuandikisha kamati yake kama uongozi rasmi, na hivyo kumwondoa Uhuru katika nafasi ya kiongozi wa upinzani bungeni.

Uhuru alipinga uamuzi huo, na hatimaye mahakama kuu ikabatilisha kura ya Mombasa tarehe 29 Desemba 2006 ikathibitisha azimio hili mnamo Juni 2007.

Kuhamia upande wa Kibaki 2007[hariri | hariri chanzo]
Juni 2007 Uhuru alionyesha wazi ya kwamba alitaka kuacha ushirikiano na ODM kwa kutopeleka jina lake kati ya wagombea wa urais upande wa ODM. Badala yake alieleza ya kuwa atampigania rais Kibaki achaguliwe tena.

Katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2007 Uhuru alichaguliwa tena kama mbunge w
 
hapana kama jana ingekuwa ni hapa Tanzania !!kuna yule bwana mdogo angemshauri babake watoe mpaka vifaru vya ziada aue watu.......... big up Uhuru Kenyeta hukutumia nguvu umetumia akili ...........nakwambia kabisa ingekuwa Tanzania mauaji ya ajabu yangetokea jana
Do you mean Bashite Maui?
 
Wakati waliowengi walitegemea machafuko makubwa Jana Kenya kwa kitendo cha UHAINI kwa RAILA ODINGA kujiapisha,ukweli ukawa tofauti. Jana mpk saa 5 asbh vikosi vya dola vilijiweka kivita na kishali kuakikisha UHURU PARK hakai wala hafiki mtu.

Mh. Uhuru Kenyata, kaka mpenda demokrasia, aliamulu vikosi vyote vya dola kuondoka na kuacha UWANJA huo huru ili wapenzi na wafuasi wa ODINGA wakae wafanye watakayo ili wapunguze hasira zao. Mpk hivi hakuna hata aliyejikwaa kidole. JE INGEKUWA HAPA hali ingekuwaje.

JE TUNAJIFUNZA NINI. Na madikteta wetu wa afrika mashariki wanajifunza nini kutoka kwa RAIS KIJANA KABISA NA HANDSOME KULIKO WOTE AFRIKA MASHARIKI.
Lakin kaka wa demokrasia akazima vituo vya runinga
Je uhuru wa habar si nguzo tena ya dwmokrasia
 
Lakin kaka wa demokrasia akazima vituo vya runinga
Je uhuru wa habar si nguzo tena ya dwmokrasia
Sababu kuu ya kuzima vituo hivo vya habari ni kwamba wanaNASA hawawezi kutegemewa ikifika ni kudumisha amani. Wenzao kule mashinani wangeona live kinachoendelea pale bustani ya Uhuru Park wangeanza zao kama kawa. Mara waende kwenye ofisi za mamlaka ya rais kule kwenye kaunti, waanze kutupa mawe. Mara sijui wafunge barabara na kudhubutu kuingia kwenye stesheni za polisi kimabavu. Jana imekuwa ni siku yao ya kutafakari mapana ya ujinga wao. Very proud of my president, His Excellency Uhuru Muigai Kenyatta.
 
Wakati waliowengi walitegemea machafuko makubwa Jana Kenya kwa kitendo cha UHAINI kwa RAILA ODINGA kujiapisha,ukweli ukawa tofauti. Jana mpk saa 5 asbh vikosi vya dola vilijiweka kivita na kishali kuakikisha UHURU PARK hakai wala hafiki mtu.

Mh. Uhuru Kenyata, kaka mpenda demokrasia, aliamulu vikosi vyote vya dola kuondoka na kuacha UWANJA huo huru ili wapenzi na wafuasi wa ODINGA wakae wafanye watakayo ili wapunguze hasira zao. Mpk hivi hakuna hata aliyejikwaa kidole. JE INGEKUWA HAPA hali ingekuwaje.

JE TUNAJIFUNZA NINI. Na madikteta wetu wa afrika mashariki wanajifunza nini kutoka kwa RAIS KIJANA KABISA NA HANDSOME KULIKO WOTE AFRIKA MASHARIKI.

Ndio Hekima za uongozi
 
*Maisha ya ajabu sana, Raila kajiapisha kuwa Raisi wa Kenya halafu anarudi nyumbani badala ya kwenda Ikulu[emoji125][emoji125][emoji125][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]*

hapo sasa maana yake alipaswa aende ikulu sasa karudi home
 
Leo NRM imepigwa marufuku rasmi na imeandikwa kwenye orodha ya vikundi vilivyopigwa marufuku Kenya kama Al Shabaab na Mungiki
 
Sababu kuu ya kuzima vituo hivo vya habari ni kwamba wanaNASA hawawezi kutegemewa ikifika ni kudumisha amani. Wenzao kule mashinani wangeona live kinachoendelea pale bustani ya Uhuru Park wangeanza zao kama kawa. Mara waende kwenye ofisi za mamlaka ya rais kule kwenye kaunti, waanze kutupa mawe. Mara sijui wafunge barabara na kudhubutu kuingia kwenye stesheni za polisi kimabavu. Jana imekuwa ni siku yao ya kutafakari mapana ya ujinga wao. Very proud of my president, His Excellency Uhuru Muigai Kenyatta.
Bx wanaNASA wanafanana na nyumbu wetu huku ufipan
 
Back
Top Bottom