pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Umesahau kuongeza jina la jeshi letu la Makande Army. Acha dharau wewe! πLeo NRM imepigwa marufuku rasmi na imeandikwa kwenye orodha ya vikundi vilivyopigwa marufuku Kenya kama Al Shabaab na Mungiki
Haha nilisahau makande jamaniUmesahau kuongeza jina la jeshi letu la Makande Army, acha dharau wewe! π
pointi kama alishindwa kuwaluusu waandishi wa habari wafanye kazi yao kuna demokrasia gani apo wanahabari wanaluusiwa kuingia adi vitani bila kuguswa sembuse mkutano tu mimi nadhani kuna kitu kipo nyuma ya pazia kilichofanya uhuru aluusu mkutano huwo ufanyike na hakuna demokrasia yoyoteDemokrasia ni uwanja mpana sana mbona TV stations zilzimwa zote ili sisionyeshe hilo tukio?
Asante....maana nilikua natafakari hii kitu inawezekana vipi kwenye afrika hii hiiNafkiri mtoa mda umesahau kitu kikubwa sana:
Uhuru Kenyata, aliponea chupuchupu kufungwa na ICC miaka michache iliyopita kwa sababu hiohio ya ukatili ma mauaji ya kisiasa na kikabila.
Kwa sasa amefungwa mikono, akitumia nguvu tena arudishwa ICC this time for good.
Nadhani sasa umeelewa kwanini anaogopa kufanya kilichotarawajiwa na wengi...
Hapo kwenye rangi ya bluu nina mashaka na vigezo vyako.RAIS KIJANA KABISA NA HANDSOME
Angekua MAGUFULI kitu gani wakati Hao wapinzani wenyewe wakufanya hicho kitu hawapo Tanzania au mnamfananisha mbowe na odinga?angekuwa Ma@@@i ...sasa hivi tungekuwa tunahesabu maiti tu kibao..
Ni wavuta bange woteKamuulize Ray C kwanini ali'fall in love' na rais wetu U.Kenyatta. Anamsifia mchana na usiku bana! Hehe ππ Hadi alisema laivu kwamba 'Uhuru Kenyatta is the type of man ill'd want.' π
unasemaaa?Angekua MAGUFULI kitu gani wakati Hao wapinzani wenyewe wakufanya hicho kitu hawapo Tanzania au mnamfananisha mbowe na odinga?
Nimengoja sana ukamilishe hii 'statement' yako. Ni wavuta bange wote.....?????Ni wavuta bange wote
Birds of the same feather flock togetherRaila Odinga ni Mshamba wa Demokrasia!
Nafkiri mtoa mda umesahau kitu kikubwa sana:
Uhuru Kenyata, aliponea chupuchupu kufungwa na ICC miaka michache iliyopita kwa sababu hiohio ya ukatili ma mauaji ya kisiasa na kikabila.
Kwa sasa amefungwa mikono, akitumia nguvu tena arudishwa ICC this time for good.
Nadhani sasa umeelewa kwanini anaogopa kufanya kilichotarawajiwa na wengi...