Sijui kama waliona na hii pia? Sioni mkeka hapo.kuna uzi tayari umezungumzia swala hili...Please refer to: Wakenya wamcharukia Trump baada ya kumfanyia ubaguzi Uhuru - JamiiForums
Wameshaipata kitambo so usingoje kusikia tena kutoka kwao.Sijui kama waliona na hii pia? Sioni mkeka hapo.
hahahaha true....kisha hivi ni vitu vidogo vidogo tu...havina mantiki yoyote...cha muhimu ni zile deals zilizokuwa signed na kadhalikaSijui kama waliona na hii pia? Sioni mkeka hapo.
Acha waji'keep' bize na hivo vitu vidogo vidogo. Sisi tutaendelea kuangalia 'the big picture' kama kawa.hahahaha true....kisha hivi ni vitu vidogo vidogo tu...havina mantiki yoyote...cha muhimu ni zile deals zilizokuwa signed na kadhalika
Hii iwafikie, kutoka enzi zile. Tunawapiga bao- Ukoo Flani MauMau ft. Ibra da Hustla. Skiza flow na American twang ya Kimya, nduguye Bamboo.Wameshaipata kitambo so usingoje kusikia tena kutoka kwao.
tumejihami na ma-punchline kibaoHii iwafikie, kutoka enzi zile. Tunawapiga bao- Ukoo Flani MauMau ft. Ibra da Hustla. Skiza flow na American twang ya Kimya, nduguye Bamboo.
.....kikosi cha mizinga kwao Mau Mau..... 😎 Ilikuwa kali sio mchezo!tumejihami na ma-punchline kibao
Superiority? England is a confused nation these days. With Brexit and it's brewing beef with Russia I'd rather not be visited by her. They have enough problems themselves I wouldn't want them to inconvenience us. She is there to make sure you'll side with Britain Incase a war erupts. The business thing is just a cover. You are being used you fools.Leo ni Thursday, ile siku Theresa May anawasili Kenya so tunatarajia nyuzi kufunguliwa kwa wingi kujaribu ku-neutralize Kenyan superiority through any possible means.