JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Katika somasoma zangu kwenye mitandao ya habari I saw the following.
Uhuru alienda US kuonana na Trump lakini 1. Hakupokelewa na Trump. 2. Trump na mkewe walisimama kwenye Red carpet 3. Uhuru na Mkewe walisimama pembeni mwa red carpet.
Wakenya mnaliona je hili jambo? Je, mtaweza fanya hivyo siku Trump akija kwenu?
Uhuru alienda US kuonana na Trump lakini 1. Hakupokelewa na Trump. 2. Trump na mkewe walisimama kwenye Red carpet 3. Uhuru na Mkewe walisimama pembeni mwa red carpet.
Wakenya mnaliona je hili jambo? Je, mtaweza fanya hivyo siku Trump akija kwenu?