Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aludi shule nani mleta mada au Tume ya uchaguzi ya Kenya...?98.2% by 11% ?????
ndugu rudi shuleeeee
kusoma hakuishiii
Acha kujifanya nungunungu. Baba yenu Raila alikuwa kwenye karatasi za kupiga kura na mlivochanganyikiwa wengine wenu mlipiga kura na mkampigia yeye! Alikataa kutia sahihi form 24A ya kujitoa rasmi kwa kinyanganyiro kwa mujibu wa katiba. Cha ajabu ikifika ni form 34B utasikia akilialia eti presiding officer wa IEBC hawakutia sahihi. RAO ni mwehu mkubwa kabisa.Raila is not a presidential candidate alijitoa
Turn out ni 27% countrywide
Of the 19mn voters only 3.27mn voted
500,000 of this are spoiled voted
Ndugu, kenyata awamu ya kwanza alipata kura 8miliioni na ushee sasa leta takwimu kapata kura ngapi ,achana na % mbona hafikishi awamu ya kwanza na watu wake wamempigia,kweli nyuma ya pazia yapo meng.iangalia asilimia 98.2% na 11.1% kama zinauhalisia
Kama ule wa Zanziba ama siyo?Dadeki,ushindi wa katrina
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]98.2% by 11% ?????
ndugu rudi shuleeeee
kusoma hakuishiii
Typing errorsMaybe it's 88.2% against 11.1%
OR
98.2% against 1.1%
And the rest zenyewe zimeharibika!!!
Afadhali ya Zanzibar!Kama ule wa Zanziba ama siyo?
Kweli jamaaSasa angeshiriki ingesaidia nini labda?
Chaguzi zetu washindi wanajulikana kabla ya uchaguzi, watawala wanaandaa uchaguzi kwakua ni matakwa ya katiba, wanaandaa namna ya kushinda iwe kwa nguvu au kwa wizi na uchaguzi ukiisha wanafanya sherehe za kujipongeza[emoji23] [emoji23]
Hii ni sawa na kujitekenya na kucheka mwenyewe.
Yule wa UG anakomaa kubadilisha katiba, yule wa Rwanda nae anahakikisha katiba inamruhusu kuongoza mwanzo mwisho, na mpinzani anayejitokeza anamtia shida mpaka wengine waogope kujitokeza, kule kwa Mugabe anajitahidi anaongoza mpaka anaingia kabulini, Kule kwa Nkurunziza ni vichekesho tupu.
Bara la Africa ni aibu tupu unaweza kuhisi sisi wote ni wehu[emoji23] [emoji23]