Uhuru Kenyatta: Serikali nyingi Afrika zinajiendesha kwa kukomoa matajiri

Uhuru Kenyatta: Serikali nyingi Afrika zinajiendesha kwa kukomoa matajiri

hayo ni majungu. na wewe si ukafanye hivyo kama unaona ukifanya hivo unakuwa tajiri. Acheni vivu wa kike. Huwezi kufanya maisha ya maskini kuwa nafuu kwa kuwashusha chini waliokuwa juu.
Hakuna anaeshusha matajiri chini Isipokuwa Wao Wanafundishwa tu kufata sheria ndio unaona kama wanashuka, Utajiri wao hauna Faida kama wanakwepa Kodi na kutoa Rushwa
 
Hao ndio wakwepaji kodi wakubwa hapa nchini nimefanya kazi hapo kwa mda mfupi ilikua field... Sema wanauma na kupuliza... Kwa m
Sasa huko unajua wewe, ila kwasababu hajakamatwa na kuthibitika, hatuwezi kuishi kwa kunyoosheana vidole vya husda, akikamatwa kama Lugumi na Majembe Auction, pia atashughulikiwa.
 
Sasa ulitegemea Bilionea asemeje? Of course hataki kulipa kodi ili andelee kuwa Bilionea na wewe ubakie kapuku na kumpigia makofi ikifika siku ya uchaguzi unaamka saa kumi alfajiri kujipanga foleni kumpigia kura, kama unavyofanya, too stupid!
Hahahahahahaaa, safi sana, mtu familia yake inamiliki mashamba yote ya wakoloni, unategemea aseme nini kuhusu matajiri..
 
Mchango wako mzuri kama ungeondoa hiyo nyekundu ,mkuu lazima ifike kipindi tukubaliane utajiri ni malipo ya kazi kwa bidii na nidhamu,na swala la kukwepa kodi ni udhaifu wa serikali,hata Obama aliwahi kusema hapendi kulipa kodi ila inabidi,ni jambo baya kutegemea matajiri wakulipe kodi kwa hisani na swala la ukwepaji nadhani wanyonge ndo wakwepaji zaidi ,mimi naamini jamii inatakiwa itengenezwe kupenda ukwasi kwani mtu mmoja akitajirika wanyonge 1000 wamepata nafuu
Unajua story ya utajiri wa familia ya Kenya, isome kwanza uielewe walivyonyonya ndo ujibu hivyo...anzia na umiliki wao wa mashamba ya waxungu...
 
Mkuu hakuna mtu anayepinga utajiri halali kama wa Mohamed Enterprises au Bakhressa, si utakumbuka Magufuli alivyomsaidia Bakhressa kuunganishiwa umeme katika viwanda vyake baada ya kuambiwa na TANESCO kwamba kiasi cha umeme anachohitaji ni kikubwa sana haitowezekana?, pia alimuambia kwamba ajiingize kwenye kilimo cha miwa na atampa shamba bure la ukubwa wowote anaotaka?, sasa huu utajiri wa Kenyatta family wa kuchukua ardhi ya wananchi kwa nguvu na hadi leo baadhi ya ardhi imekaa bila kuendelezwa ndiko kusikofaa
Safi sana mkuu...asiyejua utajiri wa hii familia ndo anaweza kutetea aliyoyasema
 
UONGO Huu hao matajiri wengi wa kiafrika wametajirika kwa Njia zisozukuwa halali na zenye kukandamiza Jamii mtu anaua albino, Anamfanya nduguye awe kichaa, Mtu Anaua mtu au kuvamia Sehemu kwa vile alikuwa na pesa ya kufund majambazi na Kununua silaha, Tajiri halipi Kodi kwa kutegemea kulamba viatu vya Viongozi asamehewe kodi na kubebwa bebwa.
Tunaanza na wale waliothibitika kwanza, nchi haziendeshwi kwa mawazo ya kishirikina, huko tulishapita zamani sana, hawa waliothibitika kutwaa ardhi ya wananchi kwanini mnapepesa macho?
 
Ameyasema hayo kwa manufaa ya familia yake na watoto wake.

1. The extended Kenyatta family alone owns an estimated 500,000 acres of land in Kenya.

2. The Kenyatta family also owns 24, 000 acres in Taveta sub-district (adjacent to the 74, 000 acres owned by former MP Basil Criticos).

3. Others are 50, 000 acres in Taita that is currently under Mrs Beth Mugo, Minister for Public Health & Sanitation and niece of the first President
4. They also own 29, 000 acres in Kahawa Sukari along the Nairobi Thika highway
5. 10, 000 acre Gichea Farm in Gatundu
6. A 5, 000 acre tract of land in Thika
7. 9,000 acres in Kasarani
8. 5, 000-acre Muthaita Farm.
9. The Brookside Farm, Green Lee Estate, Njagu Farm all in Juja (size unknown)
10. A quarry in Dandora in Nairobi
11. A 10, 000-acre ranch in Naivasha
12. A 52,000-acre farm in Nakuru
13. A 20,000-acre one, also known as Gichea Farm, in Bahati under Kenyatta’s daughter, Margaret
14. A 10, 000 acre farm in Rumuruti owned by former first lady Mama Ngina
15. A 40,000 acre farm in Endebes, Rift Valley Province
16. A 1,000-acre farm in Dagoretti owned by Kenyatta’s first wife Wahu


Ipo siku atakuja rais mwingine na kubadilisha sheria ya ardhi ns kuwataka waeleze waliipataje, muda utaongea tu. Haya majivuno na huu utajiri wa kunyakua ardhi una mwisho wake
 
Tunaanza na wale waliothibitika kwanza, nchi haziendeshwi kwa mawazo ya kishirikina, huko tulishapita zamani sana, hawa waliothibitika kutwaa ardhi ya wananchi kwanini mnapepesa macho?
Mimi pia siamini ktk ushirikina ila chukulia alibino amekufaa, Mkuu
 
Ndo tatizo la kuchagua rais masikini, lazima tu atake waliokuwa wakimzidi wawe masikini
Tatizo la kuchagua rais tajiri ni , njaa, watu kulaka kwenye slums, walio wengi kukosa ajira na pengo la masikini na tajiri kuongezeka
 
Mimi pia siamini ktk ushirikina ila chukulia alibino amekufaa, Mkuu
Albino waliuliwa na watu katili, wengi walikamatwa na kuukumiwa kifo, sababu ya mauaji ya albino inajulikana, ila serikali ilijitahidi kulimalizo hilo tatizo kama ilivyokuwa Kibiti, kwanini wakenya wanashindwa kumshughulikia Kenyatta na majambazi wengine waliotwaa ardhi yao kwa nguvu?
 
Mkuu hakuna mtu anayepinga utajiri halali kama wa Mohamed Enterprises au Bakhressa, si utakumbuka Magufuli alivyomsaidia Bakhressa kuunganishiwa umeme katika viwanda vyake baada ya kuambiwa na TANESCO kwamba kiasi cha umeme anachohitaji ni kikubwa sana haitowezekana?, pia alimuambia kwamba ajiingize kwenye kilimo cha miwa na atampa shamba bure la ukubwa wowote anaotaka?, sasa huu utajiri wa Kenyatta family wa kuchukua ardhi ya wananchi kwa nguvu na hadi leo baadhi ya ardhi imekaa bila kuendelezwa ndiko kusikofaa
....Tanzania tuna mapori ya kumwaga,hata ukitaka ekari moja kwa laki mbili unapata, mbona watu hawatajiriki? Tukubali tuu kwamba kuwa tajiri si lelemama...hujaona humu ndani mtu anakwambia nina milioni kumi mifanye biashara gani? Wakati kuna mtu anakopa benki milioni moja na anaanza biashara
 
....Tanzania tuna mapori ya kumwaga,hata ukitaka ekari moja kwa laki mbili unapata, mbona watu hawatajiriki? Tukubali tuu kwamba kuwa tajiri si lelemama...hujaona humu ndani mtu anakwambia nina milioni kumi mifanye biashara gani? Wakati kuna mtu anakopa benki milioni moja na anaanza biashara
Tatizo lako unadhani kukaa porini ndio kuwa tajiri. Issue ni kunyakua ardhi za watu walizoziendeleza na zipo katika mazingira mazuri.

Kufyeka pori pekee yako siyo jambo rahisi. Kitu walichokifanya ni kunyang'anya mashamba ya watu waliokuwa nayo na kuhodhi.
 
....Tanzania tuna mapori ya kumwaga,hata ukitaka ekari moja kwa laki mbili unapata, mbona watu hawatajiriki? Tukubali tuu kwamba kuwa tajiri si lelemama...hujaona humu ndani mtu anakwambia nina milioni kumi mifanye biashara gani? Wakati kuna mtu anakopa benki milioni moja na anaanza biashara
Unasema tunamapori ya kumwaga kwasababu Nyerere hakuruhusu wazungu na yeye mwenyewe kujimilikisha, angefanya kama Jommo Kenyatta alivyofanya, usingeikuta hiyo ardhi, kumbuka biggest factor of production ni land, sisi watanzania kama unataka kuzalisha mali, husumbuki kupata land, mamilioni ya watanzania leo huu wanaendesha maisha yao vizuri sana kwa shughuli za kilimo, ufugaji, uchimbaji madini na biashara nyingi tu, popote pale nchini bila kujali kwamba ni mwenyeji wa eneo hilo au hapana, sio lazima watu wawe matajiri, hata nchi zilizoendelea matajiri ni wachache lakini karibu watu wote wanaishi maisha mazuri, sasa kama mtu anayopesa kama hiyo uliyosema, na ardhi ipo, na bado anauliza afanye biashara gani, basi huyo upungufu wake ni elimu ya ujasiriamali, usilaumu nchi.
 
Tatizo lako unadhani kukaa porini ndio kuwa tajiri. Issue ni kunyakua ardhi za watu walizoziendeleza na zipo katika mazingira mazuri.

Kufyeka pori pekee yako siyo jambo rahisi. Kitu walichokifanya ni kunyang'anya mashamba ya watu waliokuwa nayo na kuhodhi.
....Hoja yangu ni kwamba issue siyo tuu kuwa na ardhi kama ulivyotanabahisha, na pia utajiri haupatikani kama kutungua maembe...wewe unaweza pewa milioni mia but kama huna creativity zitaisha tuu na ubaki kulia lia
 
Back
Top Bottom