Uhuru Kenyatta state visit to Belgium: Hakuna hata Mzungu mmoja kwenye mapokezi yake

Uhuru Kenyatta state visit to Belgium: Hakuna hata Mzungu mmoja kwenye mapokezi yake

1/4 President Uhuru Kenyatta was on Monday afternoon received by King Philippe at the Royal Palace in Brussels at the start of his two-day official visit to the Kingdom of Belgium and the European Union.


Image
 
Hii ni dharau kubwa sana kwa kiongozi wa nchi.

Yaani rais anafanya ziara taifa lingine anapokelewa na dayaspora? Serious? Serikali ya ubelgiji imeshindwa hata kutuma mkuu wa wilaya ampokee rais wa nchi? Hii haikubaliki

President Uhuru Kenyatta in Belgium for a two-day state visit

https://t.co/yvMy82cYOI
It was an official visit specifically to the EU which is headquartered in Brussels Belgium .He had gone to meet the President of the European Council Charles Michel to discuss Kenya-EU relations and address a Kenya-Belgium business forum.
https://twitter.com/StateHouseKenya/status/1406981928864174083/photo/1
 
hizi ni dharau kwa watu wote weusi,anatuchoresha huyu mkora.
 
1/4 President Uhuru Kenyatta was on Monday afternoon received by King Philippe at the Royal Palace in Brussels at the start of his two-day official visit to the Kingdom of Belgium and the European Union.


Image
Amejipeleka,
So who was his host?
 
wasije kushika tko yke km walivyomfayia moi wakijua ana mkia wa nyani.
 
It was an official visit specifically to the EU which is headquartered in Brussels Belgium .He had gone to meet the President of the European Council Charles Michel to discuss Kenya-EU relations and address a Kenya-Belgium business forum.

Hata Red carpet hakuna, kapokelewa kama kibaka
 
Back
Top Bottom