Tz boy 4tino
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,598
- 1,822
Tupe reference mkuu katiba ya Kenya hajfanani na ya Tanzania hasa kwenye maswala ya uteuzi.DCI mwenyewe yupo chini yake na pia ni mteule wake how comes kesi ya ngedere upeleke kwa nyani?
Sent using Jamii Forums mobile app