Uhuru Kenyatta wewe ndiye mshindi

Uhuru Kenyatta wewe ndiye mshindi

kiamangwana

Senior Member
Joined
Feb 28, 2015
Posts
175
Reaction score
89
Hakika niseme kweli mimi siko upande wako japo mie ni mTZ ninayefikiria kuomba uraia wa kenya lkn ulichofanya kimekufanya uwe mshindi zaidi ya ushindi wa urais,hata ikitokea kura zako zisitoshe fahamu kuwa wewe ni mshindi wa demokrasia.

Amini usiamini huku TZ umekua habari si kwa kunyang'anya ushindi bali ulivyoweza kuiacha mahakama(majaji) na dola(polisi)ifanye kazi yake bila (maagizo toka juu)hakika wewe ndiye mshindi,huku kwetu duh hata jaji mkuu hakuna aliyepo anakaimu,na bado anaambiwa mimi ndiye nikulipaye mshahara,yaani yanayotokea kenya huku kwetu ni ndoto,hongera baba muigai hata usipotoboa lkn umeikomboa demokras afrika,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa kaweka historia sijui kama huyu wetu anaweza.
Tena kwakuwa amejichimbia chini zaidi wala hahitaji hata huyo sijui "jaji mkuu"
 
Hakika niseme kweli mimi siko upande wako japo mie ni mTZ ninayefikiria kuomba uraia wa kenya lkn ulichofanya kimekufanya uwe mshindi zaidi ya ushindi wa urais,hata ikitokea kura zako zisitoshe fahamu kuwa wewe ni mshindi wa demokrasia, amini usiamini huku TZ umekua habari si kwa kunyang'anya ushindi bali ulivyoweza kuiacha mahakama(majaji) na dola(polisi)ifanye kazi yake bila (maagizo toka juu)hakika wewe ndiye mshindi,huku kwetu duh hata jaji mkuu hakuna aliyepo anakaimu,na bado anaambiwa mimi ndiye nikulipaye mshahara,yaani yanayotokea kenya huku kwetu ni ndoto,hongera baba muigai hata usipotoboa lkn umeikomboa demokras afrika,,

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpongeze na kuchezea machine za IEBC na kumuua Alberto Msando.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhuru deserves Mo Ibrahim prize as the best African leader of our times. Huyu anastahili kutunukiwa hii tuzo, among others, NOW na sio kesho baada ya kuachia madaraka. Uhuru is Africa's icon of democracy. Kwa mtu aliyezaliwa, kukulia, na kuishi katika utawala ni nadra mno kuruhusu haya tunayoshuhudia leo. Long live Uhuru Kenyatta. May the Almight bless you. Hujaomba kuombewa ila daima tutakuombea kipenzi chetu.
 
Uhuru ana akil sana,sasa alichokifanya ndo kitampa credits zoote,atapendwa zaid,yaan raila kauwawa kwa upinde wa kanga yeye hajajua doctrine iliyotumika hapo ni ya ku sympathise na umma,uhuru kwel noma.
 
Ni kweli kabisa, pamoja na mabaya yake yote, kwa hili nimemfutia dhambi zake zote.
 
Acheni kuwa kama mataahira nyie mazezeta unamsifiaje Uhuru wakati mahakamani imemtia hatiani kupitia tume ya uchaguzi?

Kuweni na akili mnaongea mambo ya kipumbavu kabisa mtu mwenye akili za kuvukia barabara tu hawezi kuongea hivi
 
Kwa EA Kenya wamejitahidi kwenye Democracy

Kenyatta hakukosea kumpa jina Uhuru
 
Acheni kuwa kama mataahira nyie mazezeta unamsifiaje Uhuru wakati mahakamani imemtia hatiani kupitia tume ya uchaguzi?

Kuweni na akili mnaongea mambo ya kipumbavu kabisa mtu mwenye akili za kuvukia barabara tu hawezi kuongea hivi
Wewe ndie zezeta na huna akili
Tuchukulie ndio mahakama imemtia hatiani je kwetu linawezekana kwa mkuu kutiwa hatiani na mahakama?
Kukusaidia tu watu wanampongeza uhuru kwa kuruhusu kila kitu kifanyike kwa uwazi bila maamuzi kutoka juu

Sent from my Phillips Savy
 
Acheni kuwa kama mataahira nyie mazezeta unamsifiaje Uhuru wakati mahakamani imemtia hatiani kupitia tume ya uchaguzi?

Kuweni na akili mnaongea mambo ya kipumbavu kabisa mtu mwenye akili za kuvukia barabara tu hawezi kuongea hivi
Duh we kweli siyo zezeta! Lakini I guess utakuwa nyumbu! Eti mahakama imemtia hatiani Uhuru!!!!!
 
DI51PruW4AADGla.jpg
 
Acheni kuwa kama mataahira nyie mazezeta unamsifiaje Uhuru wakati mahakamani imemtia hatiani kupitia tume ya uchaguzi?

Kuweni na akili mnaongea mambo ya kipumbavu kabisa mtu mwenye akili za kuvukia barabara tu hawezi kuongea hivi
Mahakama ilisema wazi 3rd respondent(Uhuru) hana hatia yoyote na ni wazi alishinda ila iebc haikuandaa uchaguzi kwa kuzingatia katiba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhuru deserves Mo Ibrahim prize as the best African leader of our times. Huyu anastahili kutunukiwa hii tuzo, among others, NOW na sio kesho baada ya kuachia madaraka. Uhuru is Africa's icon of democracy. Kwa mtu aliyezaliwa, kukulia, na kuishi katika utawala ni nadra mno kuruhusu haya tunayoshuhudia leo. Long live Uhuru Kenyatta. May the Almight bless you. Hujaomba kuombewa ila daima tutakuombea kipenzi chetu.

I initially thought the way you do. But am no longer thinking this way anymore. Kenyatta thought that the judges could have maintained the status quo. Going about his recent pronouncements about fixing the court, I can hear his regrets. That said, I don't believe Kenyatta is democratic the way I did the first day when he reacted on Supreme Court decision.
 
Duh we kweli siyo zezeta! Lakini I guess utakuwa nyumbu! Eti mahakama imemtia hatiani Uhuru!!!!!
Sasa kama haijamtia hatiani kwanini imebatilisha matokeo? Imeona kuna hila kwenye tume ya uchaguzi siwezi kukutafsiria wewe kichwa maji
 
Back
Top Bottom