Uhuru Kenyatta's Wealth( is he really in touch with the common Mwananchi???)

Uhuru Kenyatta's Wealth( is he really in touch with the common Mwananchi???)

Kibaravumba hujui usemacho. Huwezi kulinganisha maisha ya mwananchi wa kawaida wa Kenya na ya mtanzania. Ile ni jehanamu ndiyo maana wanakimbilia kwetu.
Kwa nini Watz wanapenda kuwaita majina mabaya viongozi wa nchi nyingine?pili pili usiyoila inakuwashia nini?Wewe ni mtanzania unamiliki ardhi kiasi gani?inakusaidiaje hii usiyoimiliki?Je unajua maisha ya kenya ni bora zaidi kuliko yetu wa tz?wao wamekuwa wakiwalipa wazee kwa mwezi,wamekuwa na sera ya kuwapa maziwa watoto(wanafunzi)wa nyayo,wameamua kutoa laptops kwa wanafunzi,wanachukua nafasi nyingi za ajira nje ya nchi,wanafanya vema kimataifa katika michezo,wanautamaduni wa kuchangiana katika masuala ya elimu na matibabu na siyo arusi na misiba kama ilivyo kwetu!na mengine mengi kutaja...!Mnawatakia niniii?!!


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
mtakoma, mlimshabikia leo mnaanza kulalalama
 
Binafsi namsifu kwa kuwa.muwazi na.kuendelwa kuwekeza kenya
 
REVEALED: The COMPANIES that UHURU KENYATTA owns (The LIST of all DETAILS)

Here is the list of business ventures associated with Uhuru Kenyatta.

1. Tourism~ the multibillion world class hotel chain known as Heritage Hotels

2. Banking~ CBA A regional bank with an Asset base of 1 billion Us dollars


3. Insurance ~ Chartis formerly AIG with a market share of 5%


4. Dairy~ Brookside and Spin Knit


5. Education ~ Peponi schools and Brookhouse School, an international chain of schools that charge an AVERAGE OF 10000 USD /= per term per child for Borders


6. Farming~ Large scale coffee, tea and Sisal farming concerns, own farms in Central, Rift Valley and coast regions


7. Media ~ Mediamax Group, owns K24 TV, the people Newspaper, Kameme Fm, Meru Fm and Milele Fm


8. Enke limited ~ holding company with interests in an assortment of sectors that include Prime and Real Estate


9. Timber & manufacturing ~ Timsales Holdings, A timber processing and constructing firm.


LAND

10, 000 acre Gichea Farm in Gatundu.

5, 000 acres in Thika.


9,000 acres in Kasarani Mwiki


5, 000-acre Muthaita Farm.


24, 000 acres in Taveta


50, 000 acres in Taita,


29, 000 acres in Kahawa Sukari along the Nairobi—Thika highway stretching all the way to Kilimambogo Hills in Ukambani.


Others include:

10, 000-acre ranch in Naivasha.,


52,000-acre farm in Nakuru


20,000-acre one, also known as Gichea Farm,


10, 000 acres in Rumuruti,


40,000 acres in Endebes in the Rift Valley Province Others are:



Brookside Farm, Green Lee Estate,Njagu Farm in Juja, a quarry in Dandora in NairobiHOTELS


Great Rift Valley Lodge, Naivasha

Tented Camps
Mara Explorer
Mara Intrepids
Samburu Intrepids
Voyager ZiwaniBeach Hotels

Kipungani Explorer
Voyager Beach Resort

source the Kenyan Online Newspaper

Duuuuh!
 
kwa mwafrika aliyezaliwa ikulu sishangai sana...nashangaa kwa mswahili mzawa wa chalinze kuwa na nyumba kila mji etc...
 
Mali ya dhuluma,kumbukeni huyu jamaa alipokuwa waziri wa fedha,kuna ten billion iliongezwa kwenye bujeti kimaksudi.walipogundulika akajitetea eti ni makosa ya uchapishaji.mwizi wa kutupa huyu.
 
Ndo maana K24Tv imepanda chat sana baada ya UK kushinda

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
kwa miaka mingi wananchi wa kenya hawajashughulikiwa vilivyo na haya yote haikuwezekana kwa mwananchi wa kenya kuishi maisha ya heshima, sababu serikali zilikuwa zimetekwa nyara na wevi na wanyanganyi. Kwa hivyo watch this space, wakenya watakapoendelea kuboresha maisha zao kwa niaba ya sera mpya na bora serikalini sasa, na wigo wa uchumi kupanuka kwa muda miaka kumi na saba.

Kinachohitajika sasa nikufutilia mbali tabia ya kunyoosha bakuli na kuinamia ukoloni kama serikali ya taifa jirani ambayo ndio chanzo cha kuharibu misingi ya amani Am. kisha tutapata viongozi wenye moyo wa kutekelezea wancnhi kazi
 
Nimecheeeka sana watu kung'ang'ania Uhuru vs Kenyatta, Waluo vs Wakikuyu.

Wakati Uhuru na Raila wote privileged class, kabila lao moja, Wabenzi.
 
Uhuru vs Kenyatta?

Uhuru vs. Raila

Might as well be Uhuru vs Kenyatta for all practical purposes, they are of the very same ilk so much so that they become thus indistinguishable.

Hivi tofauti fundamental ya Raila na Uhuru ni nini? Kwenye ma conviction based policies, ideologies huko.
 
Ninatofautiana na wew katika hili, Nyerere aliwekeza sana katika elimu, afya, na kilimo. Ukumbuke baada ya uhuru, kutatua matatizo ya elimu, waliomaliza darasa la saba walipata mafunzo mafupi ya ualimu na waliitwa walimu wa UPE (Universal Primary Education). Lengo lilikuwa kila Mtanzania awe na elimu ya darasa la saba na ajue kusoma na kuandika. Zilijengwa zahanati vijijini, walichuliwa tena waliomaliza darasa la saba wakasomea RMA (Rural Medical Officers), zahanati za vijijini zilikuwa na dawa.
Wale wachache waliofaulu kwenda secondary, walipewa sabuni za mbuni na gardenia, warant za treni, na hakukuwa na michango michango ya ovyo mashuleni. Elimu ilikuwa sawa kwa wote, hakukuwa na watoto wa English medium. Watoto wa wakulima walisoma mpaka chuo kikuu.
Mashirika ya dini yamekuwa yakiendesha huduma za elimu na afya kwa muda mrefu na hii ni moja ya philosophy zao.

Uchumi wetu ulianza kudidimia kwanza pale mataifa ya magharibi yaliposusa kununua kahawa na chai kutokana na misimamo ya Nyerere. Vita ya Kagera na pia kusaidia Pan African Indepence.
Sikubaliani na wewe kuwa aliwekeza kwenye elimu. Sijui una maanisha nini? Kuwekeza kwenye elimu ni pamoja na kuwa na mipango ya baadaye miaka 20 hadi 50, ujenzi wa taasisi na miuundombinu ya kielimu na kijamii. Angekuwa ameweka misingi mizuri kizazi hiki kingekuwa kinafaidika na matunda ya uhuru. Nchi ilimshinda kama rafiki yake mugabe, badala yake kimekuwa kizazi hiki kimekuwa kizazi cha kulalamika na kumtamfuta mchawi aliyekwishakufa. Tusiangalie tulikodondoka bali tulipojikwaa.:attention:
 
Hivi tofauti fundamental ya Raila na Uhuru ni nini? Kwenye ma conviction based policies, ideologies huko.

Tofauti ni kwamba mmoja amekuwa mstari wa mbele kabisa katika kupigania mageuzi ya kidemokrasia na makovu ya hiyo vita anayo.

Mwingine yeye amekuwa ni crown prince waiting for his time to ascend to the throne.
 
Father of All
, Kenya ni jahnamu! Yaelekea hujatembea, hii ni nadharia mpya kuwa eti kama mtu aja kwenu basi kwao ni jehanamu. Hivi wajua wengi wa watanzania hawaajiriki zaidi ya nchini mwao?wafikiri ni kwanini?na pia hawako aggressive kwa hali zote biashara, elimu nk. ndiyo maana tunadhani kuwa wakenya wanaonunua ardhi hapa kwetu wamekimbia jahanamu wakati wanajitanua na watagombea ubunge tukiwaanagali. Kalaga baho
Kibaravumba hujui usemacho. Huwezi kulinganisha maisha ya mwananchi wa kawaida wa Kenya na ya mtanzania. Ile ni jehanamu ndiyo maana wanakimbilia kwetu.
 
Tofauti ni kwamba mmoja amekuwa mstari wa mbele kabisa katika kupigania mageuzi ya kidemokrasia na makovu ya hiyo vita anayo.

Mwingine yeye amekuwa ni crown prince waiting for his time to ascend to the throne.

Kama tunataka kuongelea habari za crown princes let us not kid ourselves kwamba Raila sio the crown prince from Nyanza. I find it hard to believe that with all his sloth Raila angezaliwa mtoto wa Joe Shmoe huko angeweza hata kucheza Gor Mahia, let alone kuwa PM na ku aspire kuwa rais.

Raila ka cower in vibaya sana katika kupigania mageuzi ya kidemokrasia Kenya alivyokubali kuwa token PM aliyekuwa castrated kama a palace eunuch, amejionyesha si strategic thinker, si sufficiently smart, ni mroho wa madaraka, ame ji surround na ma cronies, ame alienate watu smart waliomtumaini etc etc.

Siwezi kusema huyu ndo mwanamapinduzi wa kuwa hailed as being all that. I mean even without a too high standard, Raila fails dismally.

Ndo maana kina Uhuru/ Kibaki wameweza kumchezea, mara mbili kwa mpigo.
 
Kama tunataka kuongelea habari za crown princes let us not kid ourselves kwamba Raila sio the crown prince from Nyanza. I find it hard to believe that with all his sloth Raila angezaliwa mtoto wa Joe Shmoe huko angeweza hata kucheza Gor Mahia, let alone kuwa PM na ku aspire kuwa rais.

Raila ka cower in vibaya sana katika kupigania mageuzi ya kidemokrasia Kenya alivyokubali kuwa token PM aliyekuwa castrated kama a palace eunuch, amejionyesha si strategic thinker, si sufficiently smart, ni mroho wa madaraka, ame ji surround na ma cronies, ame alienate watu smart waliomtumaini etc etc.

Siwezi kusema huyu ndo mwanamapinduzi wa kuwa hailed as being all that. I mean even without a too high standard, Raila fails dismally.

Ndo maana kina Uhuru/ Kibaki wameweza kumchezea, mara mbili kwa mpigo.

That's peachy with me because it's your opinion.

Ila tukiwalinganisha hao wawili, Raila na Uhuru, kwangu Raila kachangia mengi zaidi katika kuleta mabadiliko ya kidemokrasia Kenya kuliko Uhuru ambaye yeye kwa kweli hajapigania hayo mabadiliko zaidi ya kupigania status quo tokea 'project Uhuru' ile 2002.

Na sababu pekee iliyomfanya ashindwe huo mwaka ni kwa sababu alikuwa anashindana na Mkikuyu mwenzake la sivyo angeshinda tu. And guess what, 2018 atashinda tena.
 
That's peachy with me because it's your opinion.

Ila tukiwalinganisha hao wawili, Raila na Uhuru, kwangu Raila kachangia mengi zaidi katika kuleta mabadiliko ya kidemokrasia Kenya kuliko Uhuru ambaye yeye kwa kweli hajapigania hayo mabadiliko zaidi ya kupigania status quo tokea 'project Uhuru' ile 2002.

Na sababu pekee iliyomfanya ashindwe huo mwaka ni kwa sababu alikuwa anashindana na Mkikuyu mwenzake la sivyo angeshinda tu. And guess what, 2018 atashinda tena.

What is not an opinion in politics?

Kuna mtu aliyekuwa celebrated kwa kuleta mageuzi kanda hii kama Frederick Chiluba? Ambaye alikuwa na trade union bonafide iliyo waaay deeper than whatever Raila can claim.

Sasa hivi Chiluba kaaibisha movement nzima ya mageuzi Zambia.

It seems to me that you may be reading too much in this "mageuzi" and "demokrasia" rhetoric.

While the likes of Raila are just using the gambit to further their princehood.

Raila sasa hivi anahitaji ku retort kitabu cha Miguna if he has any ounce of honor and wishes to clear his name. Otherwise he is a certified buffoon as far as I am concerned.
 
What is not an opinion in politics?

There is opnion in just about everything. Even is science.

Kuna mtu aliyekuwa celebrated kwa kuleta mageuzi kanda hii kama Frederick Chiluba? Ambaye alikuwa na trade union bonafide iliyo waaay deeper than whatever Raila can claim.

Up to that point alikuwa mwanamageuzi wa kweli.

Sasa hivi Chiluba kaaibisha movement nzima ya mageuzi Zambia.

Well, matendo yake baada ya kuyakwaa madaraka yamemuaibisha. He brought that onto himself.

It seems to me that you may be reading too much in this "mageuzi" and "demokrasia" rhetoric.

Actually I'm not. Ni kwamba tu in the pantheon of reform champions in Kenya Uhuru has no place.

While the likes of Raila are just using the gambit to further their princehood.

That about Raila I don't know for sure.

Raila sasa hivi anahitaji ku retort kitabu cha Miguna if he has any ounce of honor and wishes to clear his name. Otherwise he is a certified buffoon as far as I am concerned.

Kumjibu Miguna ni kujishusha tu. Silent treatment is the best way to deal with him because there is no need to dignify his buffoonery.
 
Ah! Kaka,usimtusi mwenzako,hayo ni maoni yake
na maoni hayakataliwi,mbona wabongo hivi,
 
Back
Top Bottom