boaz mwalwayo
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 6,287
- 4,738
Kusudi yeye mwenyewe anachokiongea akijui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Sababu Kenya ni Vibaraka wa Wazungu.
Hongereni sana Wakenya kwakua na Rais makini, mwenye uwezo mzuri wa kujieleza, Mzarendo wa kweli wa nchi yake na asiye na roho ya Kimasikini, kuna baadhi ya nchi Rais wao akitaka kuhutubia wanashika vichwa maana hawajui ataropoka utumbo gani.Hili kongomano la G7 huwa linahusisha mataifa saba yenye usemi mkubwa dunia hii, kualikwa pale uwahutubie huwa wamekuchunguza kwa makini na kubaini wewe sio mtu wa kuwapotezea muda, unalo la kusema ambalo utalisema bila kumumunya maneno na lazima uteme yai ipasavyo bila kuwa kigugumizi.
Hongera sana rais wangu, nenda pale useme nao, waonyeshe wale kuwa Afrika tunakuja na tumejiandaa na tunayo agenda, tuna malengo, tuna nia, tuna nguvu na tuna uwezo.
Kauli kama hizi huyu mkenya anazipenda balaaAfadhali aende uhuru hawa wa kwetu wangetutia aibu tu
Kwani uongo?Kauli ya kitoto sana na kama ni mtu mzima ni kauli ya mtu aliyekata tamaa
Kwani uongo mkuu?Ndio zenu, mkiwekwa pembeni na kukataliwa mnaanza kauli za 'sizitaki mbichi'.
Kwani uongo acha azipende tu!Kauli kama hizi huyu mkenya anazipenda balaa
Itakua aibu ya mwaka!!Napiga mahesabu siku akienda yule jamaa anaeyeutamani kuwa IGP
Mimi nafikiri angeitwa mchagga mmoja au Mtei au Mbowe akaendaKwani uongo acha azipende tu!
Mwingine kila siku akisima amasema sitawaangusha mara niliomba kura peke yangu!
Sasa g7 ataongea nini
Bado ana fikra za Nyerere ndani ya mfumo wa ubepari.Kusudi yeye mwenyewe anachokiongea akijui
Ndio akili yako ilipo gotaMimi nafikiri angeitwa mchagga mmoja au Mtei au Mbowe akaenda
Jiwe limekupata utosiniNdio akili yako ilipo gota
Ndio, ameenda huko kama representative wa bara la Africa, kuzungumzia matatizo zinazokumba bara hili on the behalf of the continent. Na susla la ughaidi au utovu wa usalama in general sio matatizo inayoaffect Kenya pekee."It will focus on the global economy, foreign policy, security of citizens and environmental sustainability".
Al-Shabab ndio wanampeleka huko.
Hivi hii ni mara ya ngapi wa kwenu kualikwa?Hiyo kweli, ndio maana nikasema wanakua makini katika kuchagua nani wa kualikwa awakilishe Afrika maana wale hawapendi kupoteza wakati, lazima uwe umejijengea mazingira ya kueleweka ili ukaribishwe pale.
Hahaaaa ama kweli nyie MNA matatizo kwenye vichwa vyenuHili ni dhihirisho la ukwasi wa Kenya Africa nzima