Uhuru offers Raila job in the government only if....

Uhuru offers Raila job in the government only if....

Uhuru aache kuhonga watu. Kwanini asisubiri court ikatoa maamuzi ya mwisho? Na huu mtindo wa kugawana vyeo mezani ndio unarudisha nyuma good governance in Africa. Ukiwa na weak publis institutions, then wanasiasa nao wakakomalia mfumo wa kugawana vyeo, ndio unatengeneza mazingira bora kwa ufisadi kushamiri. Checks & balances zinafukiwa kabisa.

Raila, hata kama court itasema uchaguzi ulikuwa fine, abaki upande wa pili.
 
Uhuru aache kuhonga watu. Kwanini asisubiri court ikatoa maamuzi ya mwisho? Na huu mtindo wa kugawana vyeo mezani ndio unarudisha nyuma good governance in Africa. Ukiwa na weak publis institutions, then wanasiasa nao wakakomalia mfumo wa kugawana vyeo, ndio unatengeneza mazingira bora kwa ufisadi kushamiri. Checks & balances zinafukiwa kabisa.

Raila, hata kama court itasema uchaguzi ulikuwa fine, abaki upande wa pili.

Unajua isingekuwa hii katiba mpya ya Kenya sasa hivi Uhuru angekuwa keshaapishwa lol.

Lakini katiba mpya noma. Hakuna kuapishana kienyeji enyeji tena.

Sasa Raila anatumia haki yake ya kikatiba watu kijasho kinawatoka. Mchecheto wa nini kama mtu una imani umeshinda kihalali bana?

Wamuache aende mahakamani na wakutane naye huko huko lakini wasilete habari za kuhongana kwa ahadi.

Sasa ikitokea mahakama isikubaliane na Raila halafu yeye bado tu aendelee kupinga pinga hapo sasa nitaelewa kama watu wakianza kumnanga. Lakini kwa sasa anazo haki zote za kwenda huko kwenye mahakama ya juu kudai haki yake kama ilivyoainishwa na katiba.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Of course Wakikuyu wako happy sana ,it is a matter of numbers kwa siasa za Kenya. So kama jamaa kashinda basi ni rais wa wakenya wote. I hope huyu jamaa atatawala vizuri, anaelekea sio mtu mbaya.
......sio mtu mbaya.......... Really? Ana kesi the Hague kuwa ali-bankroll Mungiki, his father ruled Kenya with iron fist and his family is alleged to own about half of Kenyan arable land........ to start with!
 
Kwa watu wanaoelewa jinsi deal za kisiasa zinavyofanywa watakwambia hivi:

Uhuru alikuwa kwenye mazungumzo na Raila. Mazungumzo hayo ndio sababu ya kucheleweshwa kufikishwa mahakamani kwa kesi. Technicalities nyingine zilikuwa zinatumika kama excuse ili isifahamike nini kinaendelea.
Mzungumzo hayo hayajafanikiwa. Raila hajakubaliana na offer aliyopewa.

Uhuru ameona Raila kwambwaga mboga kwa kupeleka kesi mahakamani. Na yeye anamwaga ugali kwa kumchonganisha Raila kwa wananchi kuwa hataki shughuli za maendeleo ziendelee badala yake anataka kuendeleza bickering za uchaguzi.

Napata shida sana kuamini kwamba Raila anaisikia offer hii kwa mara ya kwanza toka kwenye gazeti!!!
 
Sasa najua kwa nini Uhuru aliwashukuru sana IEBC pale Bomas.

Na hata kwenye acceptance speech yake pongezi kwa IEBC zilipitiliza na akapledge kuwasaidia zaidi. Sioni kwa vipi alipaswa kuwadhukuru tume endapo hawakumsaidia kwa lolote.

Sasa kusema RAO aachane na kesi in exchange for government position its an insult to Uhuru's IQ
Kasahau kuwa RAO si MaDVD,ambayo yanachezewa na kudanganyika kama watoto wadogo kwa kupewa peremende kwenye mikono ya maji baridi
 
Back
Top Bottom