Uhuru Park, Kenya: Raila Odinga aapa kama Rais wa Watu bila kuwepo kwa makamu wake Kalonzo

Uhuru Park, Kenya: Raila Odinga aapa kama Rais wa Watu bila kuwepo kwa makamu wake Kalonzo

Kunguru Mjanja

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2012
Posts
2,046
Reaction score
3,971
Leo Kiongozi wa muunganiko wa vyama vya NASA Raila Odinga anatarajiwa kuapishwa kama Rais wa Kenya. Hatua hii ya Raila Odinga inakuja iliwa ni baaada ya kugomea uchaguzi mkuu wa marudio nchini humo, uliofanyika tarehe 26/10/2017.

Raila aligomea uchaguzi huo kwa sababu za kusema kuwa tume ya Uchaguzi nchini humo si ya Uhuru na haki. Uchaguzi huo wa marudio ulikuja baada ya Mahakama ikiongozwa na Jaji Maraga kutengua Uchaguzi wa awali uliofanyika 8 Agosti.

Katika uchaguzi huo wa Oktoba, Rais Kenyatta alitangazwa mshindi akiwa na kura 7.5 milioni ambazo ni sawa na asilimia 98 ya kura zilizokuwa zimepigwa.

Waliojitokeza kushiriki uchaguzi huo walikuwa 39% kati ya waliojiandikisha kupiga kura.

Kenyatta aliapishwa kuwa Rais wa Kenya baada ya uchaguzi wa marudio mnamo tarehe 28/11/2017

Raila ameapishwa, Kalonzo Musyoka hajaonekana

Kiapo hicho kimesimamiwa na Mbunge wa Ruaraka, TJ Kajwag

Viongozi waandamizi wa Upinzani wakiwemo Kalonzo Musyoka, Musalia Mudavadi na Moses Wetang'ula hawakuepo katika tukio hilo lililochukua chini ya dakika 10

Raila amesema baadae ataelezea Kalonzo Musyoka alikuwa wapi






uhuru park 2.jpg


uhuru park.jpg

Watu wakiwa wamekusanyika wakimsubiri Kiongozi wa NASA Raila Odinga kuja kuapishwa

Ruaraka Member of Parliament will be the one to administer the oath of office to Raila Odinga at Uhuru Park.

The MP who showed up in full court regalia, told journalists that he was excited to be the one to make sure National Super Alliance (NASA) leader Raila Odinga takes oath of office as President in a controversial exercise.
MP2.jpg



Updates:
==>National Assembly minority leader John Mbadi condemns shutdown of ADN transmission site in Limuru.

Read More here; Breaking News: - KENYA: Government switches off NTV, Citizen TV and Radio!

==>NASA PRINCIPALS set to arrive at Uhuru Park in about 40 minutes for the swearing-in ceremony, CEO Norman Magaya confirms

==> NASA PRINCIPALS to arrive in Uhuru Park in 20 minutes for the swearing-in ceremony.

1.43 PM: With almost 15 minutes to go, will Raila Odinga make it in time for swearing-in. This is what Kenyan constitution says about it.
WhatsApp Image 2018-01-30 at 13.29.48.jpeg


2.00PM: Raila Odinga is not yet to arrive at Uhuru Park

2.25PM: The place is ready and people are still waiting for Raila Odinga

jukwaa.jpg


2.40PM: Raila Odinga and NASA principal have arrived at Uhuru Park

2.48PM:
Raila Odinga is swearing In as the President of Kenya

raila.jpg




Kalonzo Musyoka was not present at Uhuru Park to sworn as vice president of the people. President of the People as declared today said later on people will get explanation why Kalonzo was not present.
 
Habari iwe kwenu wakuu!
Kutokana na yale yanayoendelea kenya , naweza kusema Mheshimiwa Raila Amolo Odinga ndiye mpinzani mwenye nguvu Afrika. Kutokana na mipango yake ya kujiapisha serikali ya jiji la Nairobi walifunga uwanja wa uhuru (Uhuru Park) kwa maelezo kwamba inafanyiwa ukarabati. Lakini jana msemaji wa NASA akihojiwa na VOA alisema hakuna chaguzi nyingine nje ya uhuru park, alisema kama uhuru park itafungwa bado uchaguzi wa pili utabaki uhuru park na hata chaguo la pili likishindikana bado chaguo la tatu ni uhuru park serikali hiyo itake isitake.

Kufuatia msisitizo huo jana mchana maaskari walimwagwa kuzunguka maeno hayo ya uhuru park, lakini hilo halikuwafanya wafuasi wa NASA kurudi nyuma. Usiku kucha wana NASA walikuwa wanamiminika kwenye Uwanja cha UHURU PARK mpaka ikabidi serikali iwatoe wale maaskari. Kwa hali inayoendelea hakuna njia nyingine kumaliza mgogoro huu zaidi ya mazungumzo. Ni vizuri Uhuruto wakakubali kuongea na raila kabla hali haijawa mbaya. Lakini nimegundua raila ana wafuasi watiifu kwake ,wafuasi watiifu kwa chama chake na muungano wao wa NASA, ukiongezea na hoja ya ukabila hapa hali itakuwa mbaya sana UHURUTO wakikaza shingo zao. Hakuna polisi wala jeshi linaweza kuzuia wananchi waliochoka na kukataa tamaa ,wananchi wanaoamini kwamba wanaonewa.

Hoja kwamba anachofanya Raila ni uhaini, inaweza kuwa sawa lakini nani atamshughulikia Raila? si uhuru wala Ruto anayeweza kukubali mchezo wa pata potea wa kuingiza nchi kwenye moto mkali zaidi ya moto wa JEHANAM kwa kumfunga Raila. Kwa hali illivyo na itakavyokuwa kwa masaa machahce yajayo huenda UHURUTO wakaomba mazungumzo.

Kindikwili-Kajiado (Kenya)
 
Kwa nn hujajiongeza kiakili na kuweka angalau hata picha, vitu kama hivi huwa vinaenda na kapicha kindi kwili
 
Kama NASA wangekubali kushiriki kwenye uchaguzi wa marudio wangekuwa na pahala pa kunzia. Amefanya kosa kama walilofanya CUF kususia uchaguzi wa marudio ZNZ. Inajulikana kwamba wangeshindwa hata kwa bao la mkono lakini uchaguzi unafanyika mchana kweupe mbele ya camera na macho ya watu wengi ambao baada ya uchaguzi watatoa tathmini zao kuhuzu zoezi lote la uchaguzi ulivyofanyika, matokeo, na kutangwa mshindi.

Ukisusia uchaguzi utakuwa umekula mtaji wako wote wa kisiasa. Raila ataapishwa kama nani wakati aligomea uchaguzi halali kwa mujibu wa Katiba na sheria za Kenya? Uchaguzi ambao yeye alishiriki ulifutwa na mahakama kihalali kabisa na yeye alikubaliana na uwamuzi wa mahakama wa kuufuta uchaguzi.

Anastahili kupewa adhabu kali sana kama atajiapisha.
 
Habari iwe kwenu wakuu!
Kutokana na yale yanayoendelea kenya , naweza kusema Mheshimiwa Raila Amolo Odinga ndiye mpinzani mwenye nguvu Afrika. Kutokana na mipango yake ya kujiapisha serikali ya jiji la Nairobi walifunga uwanja wa uhuru (Uhuru Park) kwa maelezo kwamba inafanyiwa ukarabati. Lakini jana msemaji wa NASA akihojiwa na VOA alisema hakuna chaguzi nyingine nje ya uhuru park, alisema kama uhuru park itafungwa bado uchaguzi wa pili utabaki uhuru park na hata chaguo la pili likishindikana bado chaguo la tatu ni uhuru park serikali hiyo itake isitake.

Kufuatia msisitizo huo jana mchana maaskari walimwagwa kuzunguka maeno hayo ya uhuru park, lakini hilo halikuwafanya wafuasi wa NASA kurudi nyuma. Usiku kucha wana NASA walikuwa wanamiminika kwenye Uwanja cha UHURU PARK mpaka ikabidi serikali iwatoe wale maaskari. Kwa hali inayoendelea hakuna njia nyingine kumaliza mgogoro huu zaidi ya mazungumzo. Ni vizuri Uhuruto wakakubali kuongea na raila kabla hali haijawa mbaya. Lakini nimegundua raila ana wafuasi watiifu kwake ,wafuasi watiifu kwa chama chake na muungano wao wa NASA, ukiongezea na hoja ya ukabila hapa hali itakuwa mbaya sana UHURUTO wakikaza shingo zao. Hakuna polisi wala jeshi linaweza kuzuia wananchi waliochoka na kukataa tamaa ,wananchi wanaoamini kwamba wanaonewa.

Hoja kwamba anachofanya Raila ni uhaini, inaweza kuwa sawa lakini nani atamshughulikia Raila? si uhuru wala Ruto anayeweza kukubali mchezo wa pata potea wa kuingiza nchi kwenye moto mkali zaidi ya moto wa JEHANAM kwa kumfunga Raila. Kwa hali illivyo na itakavyokuwa kwa masaa machahce yajayo huenda UHURUTO wakaomba mazungumzo.

Kindikwili-Kajiado (Kenya)
Alisusa, anataka nini sasa??
 
Habari iwe kwenu wakuu!
Kutokana na yale yanayoendelea kenya , naweza kusema Mheshimiwa Raila Amolo Odinga ndiye mpinzani mwenye nguvu Afrika. Kutokana na mipango yake ya kujiapisha serikali ya jiji la Nairobi walifunga uwanja wa uhuru (Uhuru Park) kwa maelezo kwamba inafanyiwa ukarabati. Lakini jana msemaji wa NASA akihojiwa na VOA alisema hakuna chaguzi nyingine nje ya uhuru park, alisema kama uhuru park itafungwa bado uchaguzi wa pili utabaki uhuru park na hata chaguo la pili likishindikana bado chaguo la tatu ni uhuru park serikali hiyo itake isitake.

Kufuatia msisitizo huo jana mchana maaskari walimwagwa kuzunguka maeno hayo ya uhuru park, lakini hilo halikuwafanya wafuasi wa NASA kurudi nyuma. Usiku kucha wana NASA walikuwa wanamiminika kwenye Uwanja cha UHURU PARK mpaka ikabidi serikali iwatoe wale maaskari. Kwa hali inayoendelea hakuna njia nyingine kumaliza mgogoro huu zaidi ya mazungumzo. Ni vizuri Uhuruto wakakubali kuongea na raila kabla hali haijawa mbaya. Lakini nimegundua raila ana wafuasi watiifu kwake ,wafuasi watiifu kwa chama chake na muungano wao wa NASA, ukiongezea na hoja ya ukabila hapa hali itakuwa mbaya sana UHURUTO wakikaza shingo zao. Hakuna polisi wala jeshi linaweza kuzuia wananchi waliochoka na kukataa tamaa ,wananchi wanaoamini kwamba wanaonewa.

Hoja kwamba anachofanya Raila ni uhaini, inaweza kuwa sawa lakini nani atamshughulikia Raila? si uhuru wala Ruto anayeweza kukubali mchezo wa pata potea wa kuingiza nchi kwenye moto mkali zaidi ya moto wa JEHANAM kwa kumfunga Raila. Kwa hali illivyo na itakavyokuwa kwa masaa machahce yajayo huenda UHURUTO wakaomba mazungumzo.

Kindikwili-Kajiado (Kenya)


Hawa vilaza wa kwetu wanasubiri ,,tamkoktk kwa Mbowe!
 
Raila mbwembwe tu hadi muda huu hajaingia Uhuru park ona watu wake wameshaanza kutoa shit!
c641ee336d247d40384d4d27892d1077.jpg
 
Jamaa wako kwa kikao wanajadili hali ya Television kadhaa kufungwa na impact yake pamoja na mbinu iliyotumiwa na serikali kuondoa maaskari uhuru pack. Wanaona hii ya kuzima Tv inaweza ikafanya polisi wakavamia watu kisha kuwapiga na kuua wengine wakiwa gizani, ndiyo maana mpaka muda huu bado wako kwa vikao wanajadili nini kifanyike.
 
Back
Top Bottom