Uhuru Park, Kenya: Raila Odinga aapa kama Rais wa Watu bila kuwepo kwa makamu wake Kalonzo

Hizo salamu mpelekee Dj ,fisadi nambari one na wana SACCOS wenzio
 
Nikweli kabisa Raisi Uhuru amefanya jambo la msingi:

kwanza ameheshimu katiba ya Kenya inayowapa watu wake haki na uhuru wakufanya mikutano na maandamano bila kuvunja sheria, hii tu inatosha kuonesha kwa dhati analinda kiapo chake,,,unawezaje kupokonya haki ya RAIA iliyomo ndani ya katiba? Heshima kwako Raisi Uhuru

Pili, ameonesha ukomavu kwasababu tayari yeye ndiye Raisi na yeyote anayejiapisha anafanya dhihaka isiyo na kitisho cha kumwondolea madaraka yake, ivyo naungana na ndg Malisa kuwa amewapa nafasi mashabiki wa Raila kukata kiu yao

Hivyo wito wangu kwa vyama vyote vya siasa nchini kuendelea kupigania haki yao yakufanya mikutano na maandamano, haki iliyopokonywa haiombwi inatafutwa nakupiganiwa
 
Watanzania tunakuwa inferior sana kwa hawa manyang'au. Km Uhuru mpenda demokrasia kwann amepiga marufuku vyombo vya habari visionyeshe..wakina malisa IQ zao ndogo sana bora kisoda. Km MTU Leo odinga na crew yake wamewekwa kwenye kundi LA waharifu na magaidi..tena kwenye government gazette. Vijana wengi hopel
 
Ili tuwe superior lazima tuheshimu haki za wengine, tuheshimu demokrasia, tuheshimu utawala wa sheria, tuheshimu misingi ya uchumi vinginevyo tutaendelea kuwaona Kenya wakituacha mbali kwa kila nyanja.
 
Falsafa ya Kenyata ni kama ya JK : "Kelele za chura hazimzuii MTU kuchota MAJI"!!! Alichokifanya Raila ni kelele za chura tu!!! Hazina madhara!!! Kenyata is turning slowly but surely to be the Father of Democracy in Africa!!!. Long live Uhuru Kenyatta! Africa is proud of you!!!
 
sina cha kusema zaidi ya kumtakia heri raisi uhuru kenyatta kwenye uongozi wake,East afrika member hebu jifunzeni basi hata kwa jirani huyu

ingekua Tanzania hapa tunaongea mengine,wengine wapo hospital,wengine rumande
 
Hii makala imenikumbusha Ben Saanane. Eti salaam kwa Faru John. Na ni Faru kweli😀

On the topic, kuna la kujifunza hapo. Sidhani kama kuna baya lolote ambalo lilijustify yote yalitokea kama kupotezwa kwa Ben, Lissu kutaka kuuwawa nk
 


Vurugu Arusha: Mke wa Dk. Slaa akiwa amejeruhiwa baada ya kudaiwa kupigwa na askari wa kutuliza ghasia (FFU).
 
Msiwe watu wa kuzungumza bila utafiti....
Uliza historia ya Raila,uliza habari za watoto wake. ...mke wake...Halafu itimisha na tukio la leo....
 
Kumbe chipa GM ni mwana kada. Nilishangaa mada zako na majibu kuhusu usalama wa nchi.
Ahsante leo nimeona rangi yako halisi.
 
Wasanii tu nyie naona mnajifariji...kichekesho ni pale unapompongeza uhuru kwa pamoja na raila!
Ninyi si mlikuwa mnafungamana na uhuru, kulikoni tena raila leo?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…