Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Penye ukweli lazima ukweli usemweWasanii tu nyie naona mnajifariji...kichekesho ni pale unapompongeza uhuru kwa pamoja na raila!
Ninyi si mlikuwa mnafungamana na uhuru, kulikoni tena raila leo?!
Penye ukweli lazima ukweli usemweWasanii tu nyie naona mnajifariji...kichekesho ni pale unapompongeza uhuru kwa pamoja na raila!
Ninyi si mlikuwa mnafungamana na uhuru, kulikoni tena raila leo?!
Sometimes the battery is too low
Vurugu Arusha: Mke wa Dk. Slaa akiwa amejeruhiwa baada ya kudaiwa kupigwa na askari wa kutuliza ghasia (FFU).
Revisit mauaji ya Pemba. CCM ni ile ile.Magufuli Angei handle vipi situation kama ya Kenya Jana?
Bavicha wamejipanga kusifia kila linalotokea Kenya hasa kuhusu Kenyata.Hujikuta wakielezea mapungufu yyt ya Kenyatta.Naweza sema Chadema kimekuwa chombo cha propaganda cha Kenyatta kwa upande wa Tanzania na EA.Watanzania tunakuwa inferior sana kwa hawa manyang'au. Km Uhuru mpenda demokrasia kwann amepiga marufuku vyombo vya habari visionyeshe..wakina malisa IQ zao ndogo sana bora kisoda. Km MTU Leo odinga na crew yake wamewekwa kwenye kundi LA waharifu na magaidi..tena kwenye government gazette. Vijana wengi hopel
kabisa..Tabia kama hizi ndizo zinafanya sote tuonekane hopeless.
Sometime I do not understand how big is your brain, do you real have one?Sawa na chadema ni nini? Mavi au?
Mkuu hawa NYUMBU ni burudani sana.Huwa nafikiria wananini kwenye ubongo wao.
Vurugu Arusha: Mke wa Dk. Slaa akiwa amejeruhiwa baada ya kudaiwa kupigwa na askari wa kutuliza ghasia (FFU).
Dah, Kasie, naona jirani leo umetutembelea. Huyo sibling yako ndo dadako mdogo au? Sisteh, nipe directions za kufika kwenye makao yake basi na contacts zake pia. Ntarudi na mrejesho, kuhusu hali yake na usalama wake pia. 😀😀😀
Sasa si utupatie hiyo historia ya Raila ili tujifunze pia.Msiwe watu wa kuzungumza bila utafiti....
Uliza historia ya Raila,uliza habari za watoto wake. ...mke wake...Halafu itimisha na tukio la leo....
Mkuu,Mkuu hawa NYUMBU ni burudani sana.Huwa nafikiria wananini kwenye ubongo wao.
Hukuzaliwa ww....kila mda umekalia matusi huwezi kaaa chini na kufikir kwa kutumia ubongo kuliko hayo matak×Sawa na chadema ni nini? Mavi au?
Faru John akiona tu hata kivuli cha Chadema barabarani amani hana, sinawahi ona watu wasiojiamini kama yeye.Kuna mambo mawili ya kujifunza Kenya.
[HASHTAG]#Mosi[/HASHTAG]; ni kuhusu Raila Odinga. Amekuwa jasiri, na mwenye msimamo thabiti wa kusimamia kile anachoamini hadi dakika ya mwisho. Ameongoza maelfu ya watu wake katika kuhitimisha safari ya "Kaanani". Kwenye kampeni aliwaambia wananchi wake atashinda, matokeo yalipotangazwa hakukubaliana nayo. Akawaaongoza watu wake kuyakataa. Na leo ameungana nao kujiapisha.
Bila kujali vitisho kutoka vyombo vya dola, bila kujali kuwa anaweza kushtakiwa kwa "uhaini" lakini amejivika ujasiri. Hili ni funzo kwa viongozi wengi wa vyama vya siasa barani Afrika. Sio unawaambia watu "pigeni kura matokeo niachieni mimi" lakini siku ya matokeo unajifungia ndani, halafu baada ya miaka miwili unaenda kupongeza juhudi. If people grant their trust on u, please learn to fight your battle to the last.
[HASHTAG]#Pili[/HASHTAG]; ni kuhusu Rais Uhuru Kenyatta. Huyu ni kielelezo cha kiongozi wa mfano bora kabisa wa demokrasia duniani. Ameonesha "political maturity" ya hali ya juu sana. Kama ni soka huyu ndiye "man of the match" kwa leo.
Mwanzoni vyombo vya usalama vilitishia kusambaratisha kusanyiko hilo la Raila. Ni wazi wangefanya hivyo yangetokea machafuko makubwa sana nchini humo na huenda sasa hivi tungekua tunasambaza picha za majeruhi na marehemu na hashtag isemayo "Pray 4Kenya"
Lakini Uhuru ametumia hekima ambayo viongozi wengi wa Afrika wamekosa. Ameamua kuwaacha wafuasi wa Raila waridhishe mioyo yao. Wakati wafuasi wa Raila wanafika uwanjani tayari Askari walikua wametanda viwanjani hapo na silaha nzito. Uhuru alijua kwamba pamoja na kuzuia askari wasishambulie raia, lakini wafuasi hao wangeweza kuwachokoza askari na hatimaye kuzusha taharuki. Kwahiyo akaamua kuwaondoa askari wote uwanjani.
Hii ni busara ya hali ya juu sana. Sio viongozi wengine wamejaa mihemko wakiona tu watu wamekusanyika na tishert za "Pray4Somebody" wanaagiza wapigwe. Huku ni kuyatumia vibaya majeshi. Ukiona hata katuni unakasirika. Ebo.!! Kiongozi ni lazima ujifunze kuzuia mihemko yako. Mtu amepigwa risasi, watu wamekusanyika kwa amani ili wamuombee, unaagiza Polisi kuwasambaratisha kwa mabomu. Kama kusanyiko la kumuombea tu mtu linakupa mihemko, vp ukisikia kuna kiongozi anataka kujiapisha kama Raila?
Kuna wakati viongozi husababisha maafa bila sababu yoyote kwa kuvitumia vibaya vyombo vya ulinzi na usalama. Ni muhimu viongozi wa Afrika wajifunze busara ya Uhuru kwamba si lazima matumizi ya nguvu kila mahali. Uhuru anajua hamna Ikulu mbili, hakuna cabinet mbili, hakuna mabunge mawili. Anajua Raila amejiapisha kujifurahisha tu na kukata kiu ya wafuasi wake. Lakini at last atarudi nyumbani akale "gideri" na mke wake. Sasa kwanini ajihangaishe kupiga mabomu na kuua watu bure? This is the true meaning of democracy.
Salaam kwa Faru John.!
Malisa GJ.
Asingeihandle nadhani leo Tungeshusha bandera nusu mlingoti zile artificial SAN zingesimama jana.Magufuli Angei handle vipi situation kama ya Kenya Jana?
Sio vizuri kuongea huku unatafuna magimbi mabichi na karanga.Utafikiri kamla kibiga wife wako!
Malisa kasema anayoyajua, hayo ya historia na watoto wake yalete tu Mkuu kwani umekatazwa? Halafu connect hiyo historia na yale ya janaMsiwe watu wa kuzungumza bila utafiti....
Uliza historia ya Raila,uliza habari za watoto wake. ...mke wake...Halafu itimisha na tukio la leo....