Uhuru Park, Kenya: Raila Odinga aapa kama Rais wa Watu bila kuwepo kwa makamu wake Kalonzo

Wasanii tu nyie naona mnajifariji...kichekesho ni pale unapompongeza uhuru kwa pamoja na raila!
Ninyi si mlikuwa mnafungamana na uhuru, kulikoni tena raila leo?!
Kweli wewe ni shithole, kwani ukifungamana na A huwezi kumpongeza B? Yaani kama mtu akikosea ukampinga kwa makosa yake kwahiyo ndiyo kusema unampinga milele? Hizi shule mlizoenda mlisoma ujinga tu
 
Wasanii tu nyie naona mnajifariji...kichekesho ni pale unapompongeza uhuru kwa pamoja na raila!
Ninyi si mlikuwa mnafungamana na uhuru, kulikoni tena raila leo?!
Mkuu watu waelewa huwa hawana jealous huwa hawana kinyongo wanampongeza mtu kwa matendo yake sio kwa upande wake.
 
Mkuu watu waelewa huwa hawana jealous huwa hawana kinyongo wanampongeza mtu kwa matendo yake sio kwa upande wake.
Eti eeh, na mbona majuzi mamvi alipoenda ikulu kumpongeza JPM makamanda wote mlishikwa na taharuki hasa hapa jf?!
Tatizo lenu kumbukumbu hamna alafu ni wanafki balaa!!!.
 
Kwanini watz ni wepesi sana wa kusahau? Na hii tabia ndio wanaitumia hata wanasiasa kutuhadaa.

Yani eti kwa sababu ya tukio hili tu tena ambalo linaonekana la kimkakati maana sura halisi imeonekana upande mwingine (kufungia media) ujinga wa watawala wa kiafrika (Uhuru included) tunausahau ghafla? Leo Uhuru anaitwa mpenda haki na mwanademokrasia, hizi akili finyu siku zote zinasababishwa na ushabiki. Mara hii tumesahahu watu waliouawa kwenye maandamano hapo Kenya wiki chache kabla, wakati na baada ya uchaguzi huu uliomuidhinisha Uhuru? Tumesahahu nini Kenyatta alimwambia Jaji mkuu na mahakama yake atafanya akichaguliwa?

Kimsingi "maigizo" aliyofanya jana Raila wala si chochote ni vile nae tu anataka aonekane yupo
 
Bavicha wamejipanga kusifia kila linalotokea Kenya hasa kuhusu Kenyata.Hujikuta wakielezea mapungufu yyt ya Kenyatta.Naweza sema Chadema kimekuwa chombo cha propaganda cha Kenyatta kwa upande wa Tanzania na EA.
Whatever you speak, when comes to democracy and economy Kenya is ahead of us by a 1000 miles kwa nini tusiwasifie.
 
Kweli wewe ni shithole, kwani ukifungamana na A huwezi kumpongeza B? Yaani kama mtu akikosea ukampinga kwa makosa yake kwahiyo ndiyo kusema unampinga milele? Hizi shule mlizoenda mlisoma ujinga tu
Lakini lisu na lema walipomponda mamvi alipokwenda ikulu kumpongeza JPM uliona sawa, ila leo ndio unaona ni tofauti!!
mtu aliyewapa lile jina la wale wanyama maarufu kule serengeti hakika hakukosea!
 
Whatever you speak, when comes to democracy and economy Kenya is ahead of us by a 1000 miles kwa nini tusiwasifie.
Basi muwe mnaenda hadi kufanya maandamano kusifia uongoz wa UK
 
Ingekua Tanzania wengine saivi wangekua wanachimba makaburi, wengine wako hospital na wengine wako rumande
 
Ok, hebu muweke rais Magufuli kwenye viatu vya jana vya rais Uhuru na Chadema waandae mkutano Jangwani wa kumuapisha rais wa mioyo yao Lowassa, sincerely tuambie unadhani nini kingetokea?
 
Nguchiro kutukana msasi kaona shimo, kuna uwezekano mkubwa ana nguvu ya ziada somewhere tusikojua
 
LAO is far greater daunting than UMK. Kina cha maji hakipimwi kwa miguu!
 

Vurugu Arusha: Mke wa Dk. Slaa akiwa amejeruhiwa baada ya kudaiwa kupigwa na askari wa kutuliza ghasia (FFU).
Asante kwa kutukumbusha kwa picha, ingekuwa Tanzania leo mortuary za Muhimbili, Mwananyamala, Amana na Mloganzila zote zingefurika maiti.
 
Ok, hebu muweke rais Magufuli kwenye viatu vya jana vya rais Uhuru na Chadema waandae mkutano Jangwani wa kumuapisha rais wa mioyo yao Lowassa, sincerely tuambie unadhani nini kingetokea?
Sijui nini kitatokea maana hata yeye ni mwanasiasa wa kiafrika ambaye muda mwingine anacheza na akili ya watu. So, lolote kaweza kutokea. Maana uoga mwingine ni watu wamejivika, mfano kwa Tz hata hao wapinzani hawawezi kufanya alichofanya Raila jana, wanasimama majukwaani wanasema watz ni waoga ilhali wao tangu waambiwe "sijaribiwi" wameufyata. Huo uoga wetu ndio unafanya tuamini kuwa lile la Kenya haliwezi kutokea Tanzania
 


Zero Brain wewe uliyeandika huu ujinga! Ni nchi ngapi za Kiafrika zilizopitia Kenya iliopitia 2007/08? Unafikiri Raisi wa nchi kutishiwa kufungwa nchi ya Muzungu ni jambo dogo?

Unajua wangeamua kuzuia nini kingetokea? Ule ulikuwa ni mtego wangethubutu hata kumshika Raila kingenuka na mambo ya icc yangeanza!

Next time jaribu kulinganisha vinavyolingana, Kenya Upinzani wana uwezo wa kufanya nchi isitawalike na ndo maana ni lzm wawasiklize na siyo hiari na hili halina uhusiano wowote ule na Demokrasia bali ni uwezo wa Upinzani kutumia nguvu kushinikiza, kwa maana nyingine ni lazima Serikali iwasikilize na siyo ombi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…