Hamia huko nd.ezi weHakuna Rais wa kumfananisha na Uhuru kwa Africa hata Asia.
Hakika umedadavua kama hajaelewa tu basi atakuwa na Frastiresheni kwelikweliKuna mambo mawili ya kujifunza Kenya.
[HASHTAG]#Mosi[/HASHTAG]; ni kuhusu Raila Odinga. Amekuwa jasiri, na mwenye msimamo thabiti wa kusimamia kile anachoamini hadi dakika ya mwisho. Ameongoza maelfu ya watu wake katika kuhitimisha safari ya "Kaanani". Kwenye kampeni aliwaambia wananchi wake atashinda, matokeo yalipotangazwa hakukubaliana nayo. Akawaaongoza watu wake kuyakataa. Na leo ameungana nao kujiapisha.
Bila kujali vitisho kutoka vyombo vya dola, bila kujali kuwa anaweza kushtakiwa kwa "uhaini" lakini amejivika ujasiri. Hili ni funzo kwa viongozi wengi wa vyama vya siasa barani Afrika. Sio unawaambia watu "pigeni kura matokeo niachieni mimi" lakini siku ya matokeo unajifungia ndani, halafu baada ya miaka miwili unaenda kupongeza juhudi. If people grant their trust on u, please learn to fight your battle to the last.
[HASHTAG]#Pili[/HASHTAG]; ni kuhusu Rais Uhuru Kenyatta. Huyu ni kielelezo cha kiongozi wa mfano bora kabisa wa demokrasia duniani. Ameonesha "political maturity" ya hali ya juu sana. Kama ni soka huyu ndiye "man of the match" kwa leo.
Mwanzoni vyombo vya usalama vilitishia kusambaratisha kusanyiko hilo la Raila. Ni wazi wangefanya hivyo yangetokea machafuko makubwa sana nchini humo na huenda sasa hivi tungekua tunasambaza picha za majeruhi na marehemu na hashtag isemayo "Pray 4Kenya"
Lakini Uhuru ametumia hekima ambayo viongozi wengi wa Afrika wamekosa. Ameamua kuwaacha wafuasi wa Raila waridhishe mioyo yao. Wakati wafuasi wa Raila wanafika uwanjani tayari Askari walikua wametanda viwanjani hapo na silaha nzito. Uhuru alijua kwamba pamoja na kuzuia askari wasishambulie raia, lakini wafuasi hao wangeweza kuwachokoza askari na hatimaye kuzusha taharuki. Kwahiyo akaamua kuwaondoa askari wote uwanjani.
Hii ni busara ya hali ya juu sana. Sio viongozi wengine wamejaa mihemko wakiona tu watu wamekusanyika na tishert za "Pray4Somebody" wanaagiza wapigwe. Huku ni kuyatumia vibaya majeshi. Ukiona hata katuni unakasirika. Ebo.!! Kiongozi ni lazima ujifunze kuzuia mihemko yako. Mtu amepigwa risasi, watu wamekusanyika kwa amani ili wamuombee, unaagiza Polisi kuwasambaratisha kwa mabomu. Kama kusanyiko la kumuombea tu mtu linakupa mihemko, vp ukisikia kuna kiongozi anataka kujiapisha kama Raila?
Kuna wakati viongozi husababisha maafa bila sababu yoyote kwa kuvitumia vibaya vyombo vya ulinzi na usalama. Ni muhimu viongozi wa Afrika wajifunze busara ya Uhuru kwamba si lazima matumizi ya nguvu kila mahali. Uhuru anajua hamna Ikulu mbili, hakuna cabinet mbili, hakuna mabunge mawili. Anajua Raila amejiapisha kujifurahisha tu na kukata kiu ya wafuasi wake. Lakini at last atarudi nyumbani akale "gideri" na mke wake. Sasa kwanini ajihangaishe kupiga mabomu na kuua watu bure? This is the true meaning of democracy.
Salaam kwa Faru John.!
Malisa GJ.
Umenena point sana mkuu, agiza balimi hapo ulipo nakuja kuilipia.Zero Brain wewe uliyeandika huu ujinga! Ni nchi ngapi za Kiafrika zilizopitia Kenya iliopitia 2007/08? Unafikiri Raisi wa nchi kutishiwa kufungwa nchi ya Muzungu ni jambo dogo?
Unajua wangeamua kuzuia nini kingetokea? Ue ulikuwa ni mtego wangerhubutu hata kumshika Raila kingenuka na mambo ya icc yangeanza!
Next time jaribu kulinganisha vinavyolingana, Kenya Upinzani wana uwezo wa kufanya nchi isitawalike na ndo maana ni lzm wawasiklize na siyo hiari na hili halina uhusiano wowote ule na Demokrasia bali ni uwezo wa Upinzani kutumia nguvu kushinikiza, kwa maana nyingine ni lazima Serikali iwasikilize na siyo ombi!
Yaani mwizi kakuibia halafu unamfukuza kageuka kashika panga halafu unamsifu kua ni muungwana kwa kua hajakukata shitholeHakuna Rais wa kumfananisha na Uhuru kwa Africa hata Asia.
Nimefurahi kusikia umefuta kinyongo kwa huyu bwana. Kwani alienda kutoa pongezi zake kwa Mkulu na akazitoa hadharani...kwa tabasam na bashasha huku akimalizia "Mr. President you have made my day"Mkuu watu waelewa huwa hawana jealous huwa hawana kinyongo wanampongeza mtu kwa matendo yake sio kwa upande wake.
Kumbe mnaposema ndani ya Chadema hakuna uhuru huwa mnadanganya.Lakini lisu na lema walipomponda mamvi alipokwenda ikulu kumpongeza JPM uliona sawa, ila leo ndio unaona ni tofauti!!
mtu aliyewapa lile jina la wale wanyama maarufu kule serengeti hakika hakukosea!
Kuna kejeli gani hebu itaje hata moja nitamsaidia Malisa Godlisten kujibu.Nimefurahi kusikia umefuta kinyongo kwa huyu bwana. Kwani alienda kutoa pongezi zake kwa Mkulu na akazitoa hadharani...kwa tabasam na bashasha huku akimalizia "Mr. President you have made my day"View attachment 687938
Msauri na Malisa naye aondoe kejeli dhidi ya huyu bwana kwenye bandiko lake.
Chadema inaingiaje mkuu kwenye hoja hii?Sawa na chadema ni nini? Mavi au?
La kujifunza lipo, nalo ni kuondoa matumizi ya nguvu.Watanzania tunakuwa inferior sana kwa hawa manyang'au. Km Uhuru mpenda demokrasia kwann amepiga marufuku vyombo vya habari visionyeshe..wakina malisa IQ zao ndogo sana bora kisoda. Km MTU Leo odinga na crew yake wamewekwa kwenye kundi LA waharifu na magaidi..tena kwenye government gazette. Vijana wengi hopel
hii nzuri sana pia kama ungemwambia mwenyekiti...kuwa watu wakitaka(wakihoji kuhusu) cheo chake haina haja ya kufa vifo visivyoeleweka wala kufukuzwa uanachama...awaache wahoji na ikibid wagombee....Kuna mambo mawili ya kujifunza Kenya.
[HASHTAG]#Mosi[/HASHTAG]; ni kuhusu Raila Odinga. Amekuwa jasiri, na mwenye msimamo thabiti wa kusimamia kile anachoamini hadi dakika ya mwisho. Ameongoza maelfu ya watu wake katika kuhitimisha safari ya "Kaanani". Kwenye kampeni aliwaambia wananchi wake atashinda, matokeo yalipotangazwa hakukubaliana nayo. Akawaaongoza watu wake kuyakataa. Na leo ameungana nao kujiapisha.
Bila kujali vitisho kutoka vyombo vya dola, bila kujali kuwa anaweza kushtakiwa kwa "uhaini" lakini amejivika ujasiri. Hili ni funzo kwa viongozi wengi wa vyama vya siasa barani Afrika. Sio unawaambia watu "pigeni kura matokeo niachieni mimi" lakini siku ya matokeo unajifungia ndani, halafu baada ya miaka miwili unaenda kupongeza juhudi. If people grant their trust on u, please learn to fight your battle to the last.
[HASHTAG]#Pili[/HASHTAG]; ni kuhusu Rais Uhuru Kenyatta. Huyu ni kielelezo cha kiongozi wa mfano bora kabisa wa demokrasia duniani. Ameonesha "political maturity" ya hali ya juu sana. Kama ni soka huyu ndiye "man of the match" kwa leo.
Mwanzoni vyombo vya usalama vilitishia kusambaratisha kusanyiko hilo la Raila. Ni wazi wangefanya hivyo yangetokea machafuko makubwa sana nchini humo na huenda sasa hivi tungekua tunasambaza picha za majeruhi na marehemu na hashtag isemayo "Pray 4Kenya"
Lakini Uhuru ametumia hekima ambayo viongozi wengi wa Afrika wamekosa. Ameamua kuwaacha wafuasi wa Raila waridhishe mioyo yao. Wakati wafuasi wa Raila wanafika uwanjani tayari Askari walikua wametanda viwanjani hapo na silaha nzito. Uhuru alijua kwamba pamoja na kuzuia askari wasishambulie raia, lakini wafuasi hao wangeweza kuwachokoza askari na hatimaye kuzusha taharuki. Kwahiyo akaamua kuwaondoa askari wote uwanjani.
Hii ni busara ya hali ya juu sana. Sio viongozi wengine wamejaa mihemko wakiona tu watu wamekusanyika na tishert za "Pray4Somebody" wanaagiza wapigwe. Huku ni kuyatumia vibaya majeshi. Ukiona hata katuni unakasirika. Ebo.!! Kiongozi ni lazima ujifunze kuzuia mihemko yako. Mtu amepigwa risasi, watu wamekusanyika kwa amani ili wamuombee, unaagiza Polisi kuwasambaratisha kwa mabomu. Kama kusanyiko la kumuombea tu mtu linakupa mihemko, vp ukisikia kuna kiongozi anataka kujiapisha kama Raila?
Kuna wakati viongozi husababisha maafa bila sababu yoyote kwa kuvitumia vibaya vyombo vya ulinzi na usalama. Ni muhimu viongozi wa Afrika wajifunze busara ya Uhuru kwamba si lazima matumizi ya nguvu kila mahali. Uhuru anajua hamna Ikulu mbili, hakuna cabinet mbili, hakuna mabunge mawili. Anajua Raila amejiapisha kujifurahisha tu na kukata kiu ya wafuasi wake. Lakini at last atarudi nyumbani akale "gideri" na mke wake. Sasa kwanini ajihangaishe kupiga mabomu na kuua watu bure? This is the true meaning of democracy.
Salaam kwa Faru John.!
Malisa GJ.
shit hole brain!!!!!!!Hizo salamu mpelekee Dj ,fisadi nambari one na wana SACCOS wenzio
may be you are not informed au unaamua kupotosha..mbona mbowe huwaga anawashinda kwa kura kwenye chaguzi za mwenyekiti!hii nzuri sana pia kama ungemwambia mwenyekiti...kuwa watu wakitaka(wakihoji kuhusu) cheo chake haina haja ya kufa vifo visivyoeleweka wala kufukuzwa uanachama...awaache wahoji na ikibid wagombee....
salaam kwa djπ±π±π±π±ππππ
nitajie chaguzi huwa anagombea na nani angalau mbili zilizopitamay be you are not informed au unaamua kupotosha..mbona mbowe huwaga anawashinda kwa kura kwenye chaguzi za mwenyekiti!
Freeman Mbowe akiwasalimia wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chadema.nitajie chaguzi huwa anagombea na nani angalau mbili zilizopita
ngambaranyela montangeroπ±π±π±π±π±π± that ridiculous ....yaani vichwa waliopo cdm akagombee mtu asiyejulikana na akapotea zake....ππππππππ...mkuu ntashukuru kama utaweka hata picha ya ngambaranyelaFreeman Mbowe akiwasalimia wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chadema.
Freeman Mbowe ameshinda tena nafasi ya Uenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa baada ya kupata jumla ya kura 789 huku mpinzani wake Ngambaranyela Mongatero akipata kura 20.
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chadema wakifuatilia mkutano huo.
Mbowe ameshinda nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu wa chama hicho uliofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Nafasi ya Makamu Mwenyekiti Bara imechukuliwa na Prof. Abdallah Safari aliyepata kura 775 za ndiyo huku kura za hapana zikiwa 34 baada ya kuwa mgombea asiye na mpinzani.
Makamu Mwenyekiti Zanzibar ni Said Issa Mohamed aliyepata jumla ya kura 645 huku mpinzani wake Hamad Mussa Yusuph akiambulia kura 163.GPL(P.T)