Uhuru Park, Kenya: Raila Odinga aapa kama Rais wa Watu bila kuwepo kwa makamu wake Kalonzo

nikiweka picha tena utataka niweke akiwa uchi kama ni mwanamke au mwanaume.....
upuuzi!!!!kwa hiyo huyo mtu ni non existent?!!!
 
nikiweka picha tena utataka niweke akiwa uchi kama ni mwanamke au mwanaume.....
upuuzi!!!!kwa hiyo huyo mtu ni non existent?!!!
Mkuu huyo maharage sijui ni mt tz kweli?! Kwakweli sijapata kumsikia!
Mtu pekee aliyetaka kushindana na mbowe na hata kutishia kuchukua nafasi hy alikuwa ni zito...unajua nn kilimpata?!
shit hole brain!!!!!!!
 
NAIPENDA KENYA,KAMA WANGEKUWA WANASAJILI RAIA WAPYA NINGEENDA HUKO BUREEEE!

UHURU KENYATTA ANA AKILI SANA!
sasa nimegundua kwann alikuwa anamuogopa J.KIKWETE!!!
Kuwa RAIA wa Kenya rahisi sana. Nenda tu pale omba kuwa RAIA watakupa uraia..Kenya nayo ni shithole tu..
 
nikiweka picha tena utataka niweke akiwa uchi kama ni mwanamke au mwanaume.....
upuuzi!!!!kwa hiyo huyo mtu ni non existent?!!!
Mkuu hata sitafika huko sababu nina imani hata wewe humjui...nlitaka nimjue mgombea tu walau kwa sura...maana ni jasiri sana
 
Nitamuelewa siku atakapoenda ikulu.....🙁🙁🙁😡
 
NAIPENDA KENYA,KAMA WANGEKUWA WANASAJILI RAIA WAPYA NINGEENDA HUKO BUREEEE!

UHURU KENYATTA ANA AKILI SANA!
sasa nimegundua kwann alikuwa anamuogopa J.KIKWETE!!!
Njoo ndugu yangu tutakukaribisha kwa mikono yote miwili. Unahitaji tu kitambulisho chako tu, na moyo wa uchapakazi pia. Wenzako wapo huku Kenya, tena kwa wingi. Soko la mavazi rasmi, wao ndo wanalitawala pale soko la Gikomba, Nairobi na pia kanga, vitenge na mavazi ya kiafrika pale Kongowea Market, Mombasani. Hakuna atakaye kubagua. Welcome, utakuwa upo nyumbani tu.
 
Mkuu huyo maharage sijui ni mt tz kweli?! Kwakweli sijapata kumsikia!
Mtu pekee aliyetaka kushindana na mbowe na hata kutishia kuchukua nafasi hy alikuwa ni zito...unajua nn kilimpata?!
hebu nitolee upuuzi....tujadili mambo ya msingi
 

Kwa hiyo unataka kueleza kitu gani?Unataka machafuko yangetokea Tanzania ili ufurahi?Rafiki yangu damu si njema kwenye ardhi ya nchi.
 
Hivi baada ya kuapa Raila alikwenda kulala wapi, ikulu au nyumbani kwake?
 
yani kuna jambo limenishangaza 39%
ndio waliojitokeza kati ya walio jiandikisha kupiga kura,
ni halali ang'ang'anie kuapishwa.
na idadi ya wakenya ni karibu million 40
na yeye kashinda kwa kura 7.5 million
hapa kuna tatizo sio bure kabisa.
Haiingiiiiii kbsaaaaaaaaaaaa
 
Hivi kuwa rais wa watu na kuwa rais wa nchi ni,nini tofauti yake[emoji28]
 
Uapisho umefikia wapi jamani , updates please
Tom Kajwang mbinge alyemuapisha odinga akamatwa

Nyumba ya kalonzo imepgwa mabom na kufyatuliwa risas

This is Africa bradhaaaaaa
 
Acha Kufananisha Mambo Ya Kijinga Wewe! Wale Ni Wakenya Na Wanajua Kudai Haki Hawaombi Haki Penda Usipende La Sivyo Wako Tayari Kufa, Sasa Unafanishaje Na Tz? Kuna Sababu Za Kususia Uchaguzi Na Zinajulikana Hazikutekelezwa, Je Wafanyeje?

apo mkuuu ume nena-tume ilio fanya manyago jana ndo tume hio hio leo isimamie uchaguzii-mfanyikazi alie mpa sumu mwanao jana utawezaje kumrudisha uyo uyo leo-chadema wenzangu wanayasema haya kwa kia na chuki za kisiasa et raila ana ingwa mkono na magu-ndo wao hawataki kua kauli mmoja na magu-siasa za mkumbo tz mpka liniii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…