hebu tuletee mkuu tupate mawili matatuMsiwe watu wa kuzungumza bila utafiti....
Uliza historia ya Raila,uliza habari za watoto wake. ...mke wake...Halafu itimisha na tukio la leo....
nikiweka picha tena utataka niweke akiwa uchi kama ni mwanamke au mwanaume.....ngambaranyela montangero😱😱😱😱😱😱 that ridiculous ....yaani vichwa waliopo cdm akagombee mtu asiyejulikana na akapotea zake....😀😀😀😀😀😀😀😀...mkuu ntashukuru kama utaweka hata picha ya ngambaranyela
Mkuu huyo maharage sijui ni mt tz kweli?! Kwakweli sijapata kumsikia!nikiweka picha tena utataka niweke akiwa uchi kama ni mwanamke au mwanaume.....
upuuzi!!!!kwa hiyo huyo mtu ni non existent?!!!
shit hole brain!!!!!!!
Kuwa RAIA wa Kenya rahisi sana. Nenda tu pale omba kuwa RAIA watakupa uraia..Kenya nayo ni shithole tu..NAIPENDA KENYA,KAMA WANGEKUWA WANASAJILI RAIA WAPYA NINGEENDA HUKO BUREEEE!
UHURU KENYATTA ANA AKILI SANA!
sasa nimegundua kwann alikuwa anamuogopa J.KIKWETE!!!
Wewe unaejua siasa Odinga anatambulikana na taifa lipi kuwa rais wa Kenya?Kama hujui siasa bora unyamaze.
Mkuu hata sitafika huko sababu nina imani hata wewe humjui...nlitaka nimjue mgombea tu walau kwa sura...maana ni jasiri sananikiweka picha tena utataka niweke akiwa uchi kama ni mwanamke au mwanaume.....
upuuzi!!!!kwa hiyo huyo mtu ni non existent?!!!
Njoo ndugu yangu tutakukaribisha kwa mikono yote miwili. Unahitaji tu kitambulisho chako tu, na moyo wa uchapakazi pia. Wenzako wapo huku Kenya, tena kwa wingi. Soko la mavazi rasmi, wao ndo wanalitawala pale soko la Gikomba, Nairobi na pia kanga, vitenge na mavazi ya kiafrika pale Kongowea Market, Mombasani. Hakuna atakaye kubagua. Welcome, utakuwa upo nyumbani tu.NAIPENDA KENYA,KAMA WANGEKUWA WANASAJILI RAIA WAPYA NINGEENDA HUKO BUREEEE!
UHURU KENYATTA ANA AKILI SANA!
sasa nimegundua kwann alikuwa anamuogopa J.KIKWETE!!!
Sawa BashiteYaani mwizi kakuibia halafu unamfukuza kageuka kashika panga halafu unamsifu kua ni muungwana kwa kua hajakukata shithole
hebu nitolee upuuzi....tujadili mambo ya msingiMkuu huyo maharage sijui ni mt tz kweli?! Kwakweli sijapata kumsikia!
Mtu pekee aliyetaka kushindana na mbowe na hata kutishia kuchukua nafasi hy alikuwa ni zito...unajua nn kilimpata?!
simjui vipi wakati nimekutajia,,,,...Mkuu hata sitafika huko sababu nina imani hata wewe humjui...nlitaka nimjue mgombea tu walau kwa sura...maana ni jasiri sana
Zero Brain wewe uliyeandika huu ujinga! Ni nchi ngapi za Kiafrika zilizopitia Kenya iliopitia 2007/08? Unafikiri Raisi wa nchi kutishiwa kufungwa nchi ya Muzungu ni jambo dogo?
Unajua wangeamua kuzuia nini kingetokea? Ule ulikuwa ni mtego wangethubutu hata kumshika Raila kingenuka na mambo ya icc yangeanza!
Next time jaribu kulinganisha vinavyolingana, Kenya Upinzani wana uwezo wa kufanya nchi isitawalike na ndo maana ni lzm wawasiklize na siyo hiari na hili halina uhusiano wowote ule na Demokrasia bali ni uwezo wa Upinzani kutumia nguvu kushinikiza, kwa maana nyingine ni lazima Serikali iwasikilize na siyo ombi!
Sio kwa KENYA...subiri utajionea.Hakuna aliefanikiwa kwa kususia uchaguzi
Mbowe na Maalim Seif ni mashahidi
Haiingiiiiii kbsaaaaaaaaaaaayani kuna jambo limenishangaza 39%
ndio waliojitokeza kati ya walio jiandikisha kupiga kura,
ni halali ang'ang'anie kuapishwa.
na idadi ya wakenya ni karibu million 40
na yeye kashinda kwa kura 7.5 million
hapa kuna tatizo sio bure kabisa.
Sio kwa KENYA...subiri utajionea.
Tom Kajwang mbinge alyemuapisha odinga akamatwaUapisho umefikia wapi jamani , updates please
Acha Kufananisha Mambo Ya Kijinga Wewe! Wale Ni Wakenya Na Wanajua Kudai Haki Hawaombi Haki Penda Usipende La Sivyo Wako Tayari Kufa, Sasa Unafanishaje Na Tz? Kuna Sababu Za Kususia Uchaguzi Na Zinajulikana Hazikutekelezwa, Je Wafanyeje?