Uhuru Park Nairobi, Kenya nchi yenye uhaba mkubwa wa Ardhi, Vipi sisi Tanzania wenye ardhi tele na miji imejaaa Frame tupu?

Uhuru Park Nairobi, Kenya nchi yenye uhaba mkubwa wa Ardhi, Vipi sisi Tanzania wenye ardhi tele na miji imejaaa Frame tupu?

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Miji ya Bongo ni aibu tupu na kero, Dar jiji kubwa halina hata Garden ya kusingizia, Jiji limajaa Frame tupu, Aridhi tunayo nini kinashindikana?Kila sehemu ya wazi basi hio ni soko la wamachinga.

Nenda Arusha ni full majengo yalio jaa frame, eti Geniva ya Africa, Ardhi zilizo kuwa za wazi kwa sasa ni masoko ya wachuuzi, ujinga mtupu, nenda huko sijui Mwanza ni the same.

Kenya pamoja na kuwa na uhaba wa Aridhi Nairobi anngalau wana Uhuru park yao nzuri ambapo ingekuwa ni Tanzania in.
Screenshot_20241127_205527_com.android.gallery3d.jpg
geisha badilishwa matumizi na kuwa soko la Wamachinga wauza bidhaa za China. Ukienda Mombasa kuna Gadeni, the same na Kisumu kote huko.

Sisi tuna kwama wapi? Aridhi si tunayo? shida ni ipi?
 
Miji ya Bongo ni aibu tupu na kero, Dar jiji kubwa halina hata Garden ya kusingizia, Jiji limajaa Frame tupu, Aridhi tunayo nini kinashindikana?Kila sehemu ya wazi basi hio ni soko la wamachinga.

Nenda Arusha ni full majengo yalio jaa frame, eti Geniva ya Africa,Aridhi zilizo kuwa za wazi kwa sasa ni masoko ya wachuuzi, ujinga mtupu, nenda huko sijui Mwanza ni the same.

Kenya pamoja na kuwa na uhaba wa Aridhi Nairobi anngalau wana Uhuru park yao nzuri ambapo ingekuwa ni Tanzania inView attachment 3163561geisha badilishwa matumizi na kuwa soko la Wamachinga wauza bidhaa za China. Ukienda Mombasa kuna Gadeni, the same na Kisumu kote huko.

Sisi tuna kwama wapi? Aridhi si tunayo? shida ni ipi?
Ndiyo maana huwa tunasema ccm ni laana ya nchi. Nafasi za wazi wao wanakimbilia kujenga. Pale Biafra Kinondoni kulikuwa na uwanja mkubwa wa wazi wenye viwanja vya michezo. Wakamega na kujenga. Uhuru nako kulikuwa na viwanja vingi. Wakajenga. Kila penye nafasi wao ni kujenga na hawana mpango wa kupangilia mji. Matokeo yake jiji limekuwa vurugu tupu.
 
Miji ya Bongo ni aibu tupu na kero, Dar jiji kubwa halina hata Garden ya kusingizia, Jiji limajaa Frame tupu, Aridhi tunayo nini kinashindikana?Kila sehemu ya wazi basi hio ni soko la wamachinga.

Nenda Arusha ni full majengo yalio jaa frame, eti Geniva ya Africa, Ardhi zilizo kuwa za wazi kwa sasa ni masoko ya wachuuzi, ujinga mtupu, nenda huko sijui Mwanza ni the same.

Kenya pamoja na kuwa na uhaba wa Aridhi Nairobi anngalau wana Uhuru park yao nzuri ambapo ingekuwa ni Tanzania in.
View attachment 3163561geisha badilishwa matumizi na kuwa soko la Wamachinga wauza bidhaa za China. Ukienda Mombasa kuna Gadeni, the same na Kisumu kote huko.

Sisi tuna kwama wapi? Aridhi si tunayo? shida ni ipi?
shida ni watu wa mipango miji
 
Tanzania Kuna ujinga mwingi sana ndugu yangu

Mimi nimekaa tu hapo msumbiji nchi masikin kabisa lakin inapangwa ikapangika kuanzia barabara mpaka hizo bustan ni nyingi sana kwa kila mkoa

Kwa mfano ukifika mkoa kama tete Kuna sehemu ya kwenda kufanyia mazoezi ambayo ni ya bure kabisa na ina kila aina ya kifaa cha kufanyia mazoezi ni bure kabisa lakin tanzania CCM wamekalia kuimba kura tu na kuuwa wapinzan wao huku wakisalimiana samaleko na tumsifu YESU KRISTO
 
Ndiyo maana huwa tunasema ccm ni laana ya nchi. Nafasi za wazi wao wanakimbilia kujenga. Pale Biafra Kinondoni kulikuwa na uwanja mkubwa wa wazi wenye viwanja vya michezo. Wakamega na kujenga. Uhuru nako kulikuwa na viwanja vingi. Wakajenga. Kila penye nafasi wao ni kujenga na hawana mpango wa kupangilia mji. Matokeo yake jiji limekuwa vurugu tupu.
CCM wamaharibu sana hii nchi kwa kiwango cha kutisha
 
Tanzania Kuna ujinga mwingi sana ndugu yangu

Mimi nimekaa tu hapo msumbiji nchi masikin kabisa lakin inapangwa ikapangika kuanzia barabara mpaka hizo bustan ni nyingi sana kwa kila mkoa

Kwa mfano ukifika mkoa kama tete Kuna sehemu ya kwenda kufanyia mazoezi ambayo ni ya bure kabisa na ina kila aina ya kifaa cha kufanyia mazoezi ni bure kabisa lakin tanzania CCM wamekalia kuimba kura tu na kuuwa wapinzan wao huku wakisalimiana samaleko na tumsifu YESU KRISTO
CCM wameharibu mno Tanzania,mno mno
 
Ndiyo maana huwa tunasema ccm ni laana ya nchi. Nafasi za wazi wao wanakimbilia kujenga. Pale Biafra Kinondoni kulikuwa na uwanja mkubwa wa wazi wenye viwanja vya michezo. Wakamega na kujenga. Uhuru nako kulikuwa na viwanja vingi. Wakajenga. Kila penye nafasi wao ni kujenga na hawana mpango wa kupangilia mji. Matokeo yake jiji limekuwa vurugu tupu.
Jiji limejaa Frame, yaani nenda Mwanza, nenda Arusha, nenda Mwanza ni full Frame, ni full over Frame na vijistend vya Bajaji na Toyo
 
Pale posta ya zamani opposite na NMB zamani kidogo ilikuwa ukikaa pale unafukuzwa au kukamatwa kabisa.
Nchi inaongozwa kishamba sana ,miji imajaa maduka kila kona, yaani mtaani ambako mtu anapaswa kupmzika baada ya mihangaiko ya siku nzima ndio kwanza kumejaa nigjt club, viwanda, hapo ni mtaani makazi ya watu njoo sasa mjini kwenyewe
 
Siasa za ccm ndio zimeharibu nchi yetu kwa mambo mengi ikiwemo hiyo mipango miji.
 
Back
Top Bottom