Uhuru, Ruto meet Odinga and Kalonzo!

Uhuru, Ruto meet Odinga and Kalonzo!

slaa alijificha miaka flan hiv et ameibiwa kura kesho yake akapeleka mapendekezo ya tume ya katiba very silly cdm

alijificha wapi mkuu..............mbona hukutoa wazo mapema afanyenini coz naona umepata wazo baada ya kuona picha hyo...............mmebaki kusafiria nyota za wenzenu tu magamba.......
 
slaa alijificha miaka flan hiv et ameibiwa kura kesho yake akapeleka mapendekezo ya tume ya katiba very silly cdm

Utoto ukizidi inakuwa shida.naoba jf waondole under 18 wote humu.hapa watu wanaongelea mambo ya msingi wewe unaleta mama ya kitoto.khhaa
 
picha inatoa somo zuri sana kwa chadema! kuwa siasa si vita, na nivizuri kukubali kushindwa na kujenga nchi kwa pamoja
 
Viongozi hawa wanaonyesha mfano mzuri kwa wananchi wa Kenya. Let us wish them ALL THE BEST IN BUILDING A NEW UNITED KENYA.
 
slaa alijificha miaka flan hiv et ameibiwa kura kesho yake akapeleka mapendekezo ya tume ya katiba very silly cdm

how much are you getting for just citing cdm and/or cdm leaders in your posts?
 
Msiwe wana.fiki kuiponda CDM kila jambo. Tena bora hata ya Dr. Slaa. Huyo Raila na Kalonzo walikimbia kabisa nchi wasishuhudie mwenzao anavyoapishwa.
Ila siasa haiishiwi vituko. Leo wamejipeleka wenyewe.
 
huyu kama vile mkuu wa magogoni hata tz ; kucheka cheka hovyo falsafa yake ni watu wasiojali majuku yao; wakenya watajuta;.

kweli kabisa muda si refu shilingi yao itakuwa na thamani kama tz
 
Wapi Paul Muite,wapi Dida,wapi Martha,wapi mudavad ,wapi keneth?
 
Uhuru anataka kuwapa nafasi kwenye serikali yake lakini wanachama wake hawawataki Raila na Kalonzo.
 
slaa alijificha miaka flan hiv et ameibiwa kura kesho yake akapeleka mapendekezo ya tume ya katiba very silly cdm

naomba kujua tofauti ya silly na neno shenzi then ntawapa kisa cha mods kuwa na itikadi za kichama...
 
huyu kama vile mkuu wa magogoni hata tz ; kucheka cheka hovyo falsafa yake ni watu wasiojali majuku yao; wakenya watajuta;.
Ulitaka anune kama Padri au Askofu
mm sijaelewa maana hata Odinga kacheka sasa sijui binadamu tunatakaje zaidi ya kuwatisha binadamu kuwa watajuta
Hata Mose alipowavusha WanaIsrael toka kwa Farao bado walimlaani
 
Back
Top Bottom