Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Uhuru uliopitiliza kikwazo kimaendeleo, kwa maslahi mapana ya taifa sheria maalumu ya kuweka watu kizuizini ianzishwe
Wadau hamjamboni nyote?
Ndugu zangu wazalendo
kwa hali iliyopo ya uhuru uliopitiliza itachukua miaka mingi nchi yetu kupata maendeleo
Kwa maslahi mapana na maendeleo ya nchi yetu nashauri sheria ya kuweka watu kizuizini "detention" irejeshwe mara moja kuwadhibiti wanaotumia uhuru wao vibaya
Karibuni tujadili
Wadau hamjamboni nyote?
Ndugu zangu wazalendo
kwa hali iliyopo ya uhuru uliopitiliza itachukua miaka mingi nchi yetu kupata maendeleo
Kwa maslahi mapana na maendeleo ya nchi yetu nashauri sheria ya kuweka watu kizuizini "detention" irejeshwe mara moja kuwadhibiti wanaotumia uhuru wao vibaya
Karibuni tujadili