Uhuru una mipaka Jiheshimu Mkuu

Uhuru una mipaka Jiheshimu Mkuu

Ukikua kiakili utaacha.

KWASASA TUNAKUPA MUDA UKUE KIAKILI KWANZA (HAUJIELEWI).

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Wewe unaejielewa upo wapi mzeee acha kupanic. Hizo huruma unazozitafuta hapa utazipata kwenye familia yako hapa kila mtu anakomenti kulingana na anavyotaka yeye.

Kama hautaki katafute chaka jingine😂😂😂😂😂😂
😂
 
Wewe unaejielewa upo wapi mzeee acha kupanic. Hizo huruma unazozitafuta hapa utazipata kwenye familia yako hapa kila mtu anakomenti kulingana na anavyotaka yeye.

Kama hautaki katafute chaka jingine😂😂😂😂😂😂
😂
Hauna Akili Dogo, usinipotezee muda na Upuuzi wako.
 
Hapo juu kulia kwa mada kuna vidoti 3, ukivifungua kuna option ya kuripoti bandiko la mchango unaodhani umekiuka maadili. Tatizo hata ukiripoti mara 100 hakuna hatua inayochukuliwa, wakati fulani nadhani natenda dhambi kufikiri kuwa labda hali iko hivyo kutokana na kwamba huenda mmiliki wa jamvi naye kakuzwa kwenye mazingira dhalili kama haya ndiyo maana hawezi kuchukuwa hatua.
Inawezekana pia falsafa yako ya kuona bandiko fulani halifai na limekiuka maadili ina very intolerant and low bar, ukiiweka ripoti yako kwenye mizani ya hao unaowapa ripoti, wanaona hapa mbona hamna kikubwa ni rabsha za kawaida tu za personalities conflict, educational level differences, cultural clashes, ambazo ukiwaweka watu wengi ni lazima zitatokea tu, na kufutafuta kila bandiko linaloripotiwa si suluhisho, inabidi watu wajifunze kuishi pamoja tu.

Ushawahi kufikiri hivyo?
 
Wewe utakuwa mgeni wa mtandao, karibu mtandaoni...

Actually JF imekuwa ya kistaarabu sana sasa hivi, sababu joto la kisiasa sio kubwa sana, na tension za kidini hazijafikia za wkati ule

miaka ya 2015/2016 hii unayoiona ilikuwa cha mtoto
Mtu anaepinga kitu kwa hoja za ajabu huwa namuona hana akili.

Kwahyo kujiunga zamani ndio nini, hivi wewe unajielewa kweli?

Mimi npo Jf kitambo sana na wala siwezi kubisha hoja ya mtu kwa kigezo cha muda aliojiunga humu.

Tumia akili kabla ya kubisha kijana
 
Wewe ni Mwanaume, kama sio basi wewe ni Mwanamke Muhuni.

UNA KILA VIASHIRIA VYA KUWA MUHUNI.
Sasa mbona wewe ndio unaongoza kwenye huu uzi wako kwa kuwadhalilisha watu? Naona umegeuka kua mpiga ramli wa kujua tabia za watu,

Kwenye hii thd yako ulitakiwa uonyesha mfano wa kuvumilia aina zote za majibu bila kudhalilisha watu,Uzi wako umekosa maana tayari.
 
Mtu anaepinga kitu kwa hoja za ajabu huwa namuona hana akili.

Kwahyo kujiunga zamani ndio nini, hivi wewe unajielewa kweli?

Mimi npo Jf kitambo sana na wala siwezi kubisha hoja ya mtu kwa kigezo cha muda aliojiunga humu.

Tumia akili kabla ya kubisha kijana
Wewe ndio huna akili na usiyejielewa. Hapo nimemuelezea mtoa mada uhalisia wa mtandao
 
Back
Top Bottom