Paroco
JF-Expert Member
- Dec 24, 2017
- 2,389
- 10,595
Wewe unaejielewa upo wapi mzeee acha kupanic. Hizo huruma unazozitafuta hapa utazipata kwenye familia yako hapa kila mtu anakomenti kulingana na anavyotaka yeye.Ukikua kiakili utaacha.
KWASASA TUNAKUPA MUDA UKUE KIAKILI KWANZA (HAUJIELEWI).
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Kama hautaki katafute chaka jingine😂😂😂😂😂😂😂