Uhuru una mipaka Jiheshimu Mkuu

Uhuru una mipaka Jiheshimu Mkuu

Habari zenu Wakuu,

Kumekuwa na Uhuru mbovu kwa baadhi ya watu linapokuja suala la kuchangia mada au Bandiko la mtu.

Nimeona sio mara moja, ni mara nyingi sana mtu analeta mada halafu anatokea mtu from nowhere ana-comment upuuzi au kumdharau mleta mada.

Hii hali nimekuwa naiona kwenye mabandiko yanayohusiana na Siasa au Dini, kiukweli sio jambo jema mnalolifanya kwa watoa Mada. Kukejeli au kumdharau mtu kwa Siasa au udini ni Ubaguzi na unapaswa kukemewa.

USHAURI
Kama unapinga mada ya mtu basi tumia hekima na staha kwenye maneno unayoyaandika.

JF imepoteza sifa zake JF ilikuwa nzuri miaka ya nyuma watu wanajielewa sasa hivi watoto wengi wapuuzi wengi msg zao za kipuuzi hazikatwi ovyo sana
 
Habari zenu Wakuu,

Kumekuwa na Uhuru mbovu kwa baadhi ya watu linapokuja suala la kuchangia mada au Bandiko la mtu.

Nimeona sio mara moja, ni mara nyingi sana mtu analeta mada halafu anatokea mtu from nowhere ana-comment upuuzi au kumdharau mleta mada.

Hii hali nimekuwa naiona kwenye mabandiko yanayohusiana na Siasa au Dini, kiukweli sio jambo jema mnalolifanya kwa watoa Mada. Kukejeli au kumdharau mtu kwa Siasa au udini ni Ubaguzi na unapaswa kukemewa.

USHAURI
Kama unapinga mada ya mtu basi tumia hekima na staha kwenye maneno unayoyaandika.


Umesema siasa mtu asimdharau mtu, kwa mfano, ukisema Mwenyekiti wa Chadema, Mbowe alipata Div 0 Form 6, na iko wazi, hii ni dharau au ni kukosa heshima? Sasa Div 0 tuite vipi? Au Division 0 ina jina lingine? Au tukisema Lema alikuwa mwizi wa magari kabla ya kuingia ktk siasa ni dharau? Au tukisema Mbowe ni dikteta huko CHADEMA, nani chama cha familia na hakuna demokrasia CHADEMA kama wanavyojinadi maana haachii uenyekiti hiyo ni dharau? Na ushahidi upo wazi wa udikteta

Lazima ukisema dharau, ujue imetumika wapi, ila ukweli huwa mchungu sana, ukisemwa usipokuwa makini unaweza sema ni dharau au tunachafua mada ktk siasa kumbe ni ukweli, so weka kipimo chako sahihi wakati wa kusema mtu kadharauliwa au kachafua mada.
 
Habari zenu Wakuu,

Kumekuwa na Uhuru mbovu kwa baadhi ya watu linapokuja suala la kuchangia mada au Bandiko la mtu.

Nimeona sio mara moja, ni mara nyingi sana mtu analeta mada halafu anatokea mtu from nowhere ana-comment upuuzi au kumdharau mleta mada.

Hii hali nimekuwa naiona kwenye mabandiko yanayohusiana na Siasa au Dini, kiukweli sio jambo jema mnalolifanya kwa watoa Mada. Kukejeli au kumdharau mtu kwa Siasa au udini ni Ubaguzi na unapaswa kukemewa.

USHAURI
Kama unapinga mada ya mtu basi tumia hekima na staha kwenye maneno unayoyaandika.
utaletaje mada usipingwe?

mbona inaonesha kama wewe ndio una tatizo kubwa zaidi?

usiwaambie watu "hawana uhuru"...wewe sema "watu wasikuingilie uhuru wako"....

wewe sio universal uhuru giver to human beings
 
Back
Top Bottom