Chadema tuelekeze
nguvu vijijini na tusibweteke kwani hatujui nani kanali wa jeshi la ccm
tutayepambana nae 2015 kwani kama mugabe kashinda sintoshangaa hata
lowasa akishinda kwa kisingizio cha wizi wa ccm wa kura au busara za
upinzani ku restore peace kama tulivozoea tunawaamini na tusingependa
chadema cha kikuu cha upinzani tz kikiwa ndicho chama cha
kutucheleweshea maendeleo badala ya kuwa ndio ufunguo wa democrasia...
CC. DR .W. SLAA
BCC. MBOWE, MNYIKA, ZITTO ETC