JIULIZE KWANZA
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 2,569
- 500
Chadema tuelekeze nguvu vijijini na tusibweteke kwani hatujui nani kanali wa jeshi la ccm tutayepambana nae 2015 kwani kama mugabe kashinda sintoshangaa hata lowasa akishinda kwa kisingizio cha wizi wa ccm wa kura au busara za upinzani ku restore peace kama tulivozoea tunawaamini na tusingependa chadema cha kikuu cha upinzani tz kikiwa ndicho chama cha kutucheleweshea maendeleo badala ya kuwa ndio ufunguo wa democrasia...
CC. DR .W. SLAA
BCC. MBOWE, MNYIKA, ZITTO ETC
CC. DR .W. SLAA
BCC. MBOWE, MNYIKA, ZITTO ETC