Duc in altum
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,781
- 3,591
Uhuru wa kweli utaletwa na watu ambao wako tayari kupoteza kilaKitu isipokuwa uhuru.
Mwenyekiti wa chadema na muunga mkono kuhusu maandamano lakini nimekumbuka jinsi alivyo kejelinharakati za mdude na mwabukusi kuhusu kujiunga na maandamano yao.
Kwa kuwa uchaguzi ni maslahi ya moja kwa moja kwa Mbowe ameona aitishe maandamano licha ya msimamo wa awali bila katiba mpya hakuna uchaguzi.
Mwenyekiti wa chadema na muunga mkono kuhusu maandamano lakini nimekumbuka jinsi alivyo kejelinharakati za mdude na mwabukusi kuhusu kujiunga na maandamano yao.
Kwa kuwa uchaguzi ni maslahi ya moja kwa moja kwa Mbowe ameona aitishe maandamano licha ya msimamo wa awali bila katiba mpya hakuna uchaguzi.