ni jambo la kufikiri kidogo tu.labda jiulize nyasa land iliyopata uhuru iko wapi?? tutakuwa waajabu kuanza kuargue juu ya jina.kwangu sioni shida yake.l
kwa swali lako Tanzania bara ilipata uhuru 1961 mwezi December.jina halijaiba hata robo ya mali ya Tanzania ya awali bali utawala.fikiri vizuri nawe Tanganyika iliyopata uhuru ilitoka wapi??