๐—จ๐—ต๐˜‚๐—ฟ๐˜‚ ๐˜„๐—ฎ ๐—ง๐˜‚๐—บ๐—ฒ ๐˜†๐—ฎ ๐—จ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ด๐˜‚๐˜‡๐—ถ ๐—ฆ๐—ผ๐˜‚๐˜๐—ต ๐—”๐—ณ๐—ฟ๐—ถ๐—ฐ๐—ฎ ๐—ป๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ๐—ผ ๐—น๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐—ป๐—ฑ๐—ฒ๐—น๐—ฎ ๐—น๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—ป๐—ถ na Tanzania ni zao la Nyerere

๐—จ๐—ต๐˜‚๐—ฟ๐˜‚ ๐˜„๐—ฎ ๐—ง๐˜‚๐—บ๐—ฒ ๐˜†๐—ฎ ๐—จ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ด๐˜‚๐˜‡๐—ถ ๐—ฆ๐—ผ๐˜‚๐˜๐—ต ๐—”๐—ณ๐—ฟ๐—ถ๐—ฐ๐—ฎ ๐—ป๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ๐—ผ ๐—น๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐—ป๐—ฑ๐—ฒ๐—น๐—ฎ ๐—น๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—ป๐—ถ na Tanzania ni zao la Nyerere

Mdude_Nyagali

Member
Joined
Dec 11, 2022
Posts
79
Reaction score
1,444
Huko bondeni kwa Madiba hali ya chama kilicholeta uhuru ANC ni mbaya sana tangu kuanzishwa kwake. Kwa mazingira haya hakiwezi kuunda serikali kwa sababu kimekosa 50% ya kura zote zilizopigwa.

Mambo kama haya ndio yanaifanya CCM ikatae #KatibaMpya na Tume huru. Nawaambia hizo trillion 6 ambazo mama Abdul anakopa Korea kazi yake itakuwa kununua magari ya polisi, mabomu, bunduki na kununua wapinzani 2025. Msitegemee pesa hizi zitaenda kujenga madarasa au barabara.

Wananchi wa Africa kusini wamekataa kuipigia ANC kura na kupigia vyama vya upinzani kwa sababu ya chama hicho kukumbwa na kashfa za rushwa, ufisadi na ukosefu wa ajira kwa vijana.

Kitu kimoja ambacho sisi wapigania haki tutamkumbuka Mandela, ni namna alivyojenga misingi bora ya kimfumo na kiutawala. Mandela aliona mbali kwamba hata bila uwepo wake nchi iendeshwe kitaasisi na sio mtu mmoja ndio anatawala kila kitu kama ilivyo hapa nchini. Katiba bora ya South Africa ndio imezaa taasisi imara ikiwemo mahakama na Tume Huru ya Uchaguzi.

Moja ya kitu ambacho mimi binafsi ninamlaumu Nyerere ni kutengeneza mfumo wa utawala unaopeleka nguvu yote kwa mtu mmoja na sio taasisi. Kwamba taasisi zote zinakuwa chini ya mtawala na yeye ndio anateua na kufukuza watu kwenye hizo taasisi ikowemo Tume ya Uchaguzi, Mahakama na Bunge. Mtawala huyo anaweza kuiba mali za umma na kuuza rasilimali za nchi bila kuwajibishwa. Pamoja na mazuri yake mwalimu Nyerere lakini kwa hili alitukosea Watanzania. Nchi inaliwa, rasilimali za nchi zinauzwa kwa mikataba mibovu lakini wananchi hatuna cha kufanya . Tiukitaka tuamue kupitia kura mtawala anatumia bunduki kujitangazia ushindi wa uchaguzi .

Anyway tusife moyo nguvu ya Umma wananchi kwa umoja wetu tunaweza kuamua hatma ya nchi yetu ipate katiba mpya yenye taasisi huru kama wenzetu hawa.

Mungu ibariki Tanganyika
Mungu ibariki Zanzibar
Mungu ibariki Tanzania

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.

20240601_094119.jpg
 
Oh ๐Ÿ˜‚
kuna ambao watakwambia mama Abdul anaupiga mwingi.
 
IPO SIKU TUTAONANA wabaya zote walizokura watazitapika hata bila kutaka.
 
Huko bondeni kwa Madiba hali ya chama kilicholeta uhuru ANC ni mbaya sana tangu kuanzishwa kwake. Kwa mazingira haya hakiwezi kuunda serikali kwa sababu kimekosa 50% ya kura zote zilizopigwa.

Mambo kama haya ndio yanaifanya CCM ikatae #KatibaMpya na Tume huru. Nawaambia hizo trillion 6 ambazo mama Abdul anakopa Korea kazi yake itakuwa kununua magari ya polisi, mabomu, bunduki na kununua wapinzani 2025. Msitegemee pesa hizi zitaenda kujenga madarasa au barabara.

Wananchi wa Africa kusini wamekataa kuipigia ANC kura na kupigia vyama vya upinzani kwa sababu ya chama hicho kukumbwa na kashfa za rushwa, ufisadi na ukosefu wa ajira kwa vijana.

Kitu kimoja ambacho sisi wapigania haki tutamkumbuka Mandela, ni namna alivyojenga misingi bora ya kimfumo na kiutawala. Mandela aliona mbali kwamba hata bila uwepo wake nchi iendeshwe kitaasisi na sio mtu mmoja ndio anatawala kila kitu kama ilivyo hapa nchini. Katiba bora ya South Africa ndio imezaa taasisi imara ikiwemo mahakama na Tume Huru ya Uchaguzi.

Moja ya kitu ambacho mimi binafsi ninamlaumu Nyerere ni kutengeneza mfumo wa utawala unaopeleka nguvu yote kwa mtu mmoja na sio taasisi. Kwamba taasisi zote zinakuwa chini ya mtawala na yeye ndio anateua na kufukuza watu kwenye hizo taasisi ikowemo Tume ya Uchaguzi, Mahakama na Bunge. Mtawala huyo anaweza kuiba mali za umma na kuuza rasilimali za nchi bila kuwajibishwa. Pamoja na mazuri yake mwalimu Nyerere lakini kwa hili alitukosea Watanzania. Nchi inaliwa, rasilimali za nchi zinauzwa kwa mikataba mibovu lakini wananchi hatuna cha kufanya . Tiukitaka tuamue kupitia kura mtawala anatumia bunduki kujitangazia ushindi wa uchaguzi .

Anyway tusife moyo nguvu ya Umma wananchi kwa umoja wetu tunaweza kuamua hatma ya nchi yetu ipate katiba mpya yenye taasisi huru kama wenzetu hawa.

Mungu ibariki Tanganyika
Mungu ibariki Zanzibar
Mungu ibariki Tanzania

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu
Uko sahihi mno. Mwalim Nyerere alifanya vizuri sana kuhakikisha mfumo wa vyama uliokuwa unakataliwa na wengi unaoletwa Tanzania. Alijua ni jambo lisilokwepeka. Ila alichokosea ni kuleta vyama vingi bila kubadilisha katiba iendane na mfumo. Na inaonyesha kabisa alikuwa anajua katiba ni tatizo kwa sababu alikiri kwenye hotuba zake. Pengine aliogopa akibadili na katiba CCM itasambaratika au kushindwa vibaya jambo ambalo nadhani lilikuwa linamwogofya. Kwa kifupi alitaka vyama vingi lakini alikuwa bado anatamani CCM iendelee kutawala. Hili lilikuwa kosa kubwa kwani aliweka maslahi binafsi mbele.
 
Huko bondeni kwa Madiba hali ya chama kilicholeta uhuru ANC ni mbaya sana tangu kuanzishwa kwake. Kwa mazingira haya hakiwezi kuunda serikali kwa sababu kimekosa 50% ya kura zote zilizopigwa.

Mambo kama haya ndio yanaifanya CCM ikatae #KatibaMpya na Tume huru. Nawaambia hizo trillion 6 ambazo mama Abdul anakopa Korea kazi yake itakuwa kununua magari ya polisi, mabomu, bunduki na kununua wapinzani 2025. Msitegemee pesa hizi zitaenda kujenga madarasa au barabara.

Wananchi wa Africa kusini wamekataa kuipigia ANC kura na kupigia vyama vya upinzani kwa sababu ya chama hicho kukumbwa na kashfa za rushwa, ufisadi na ukosefu wa ajira kwa vijana.

Kitu kimoja ambacho sisi wapigania haki tutamkumbuka Mandela, ni namna alivyojenga misingi bora ya kimfumo na kiutawala. Mandela aliona mbali kwamba hata bila uwepo wake nchi iendeshwe kitaasisi na sio mtu mmoja ndio anatawala kila kitu kama ilivyo hapa nchini. Katiba bora ya South Africa ndio imezaa taasisi imara ikiwemo mahakama na Tume Huru ya Uchaguzi.

Moja ya kitu ambacho mimi binafsi ninamlaumu Nyerere ni kutengeneza mfumo wa utawala unaopeleka nguvu yote kwa mtu mmoja na sio taasisi. Kwamba taasisi zote zinakuwa chini ya mtawala na yeye ndio anateua na kufukuza watu kwenye hizo taasisi ikowemo Tume ya Uchaguzi, Mahakama na Bunge. Mtawala huyo anaweza kuiba mali za umma na kuuza rasilimali za nchi bila kuwajibishwa. Pamoja na mazuri yake mwalimu Nyerere lakini kwa hili alitukosea Watanzania. Nchi inaliwa, rasilimali za nchi zinauzwa kwa mikataba mibovu lakini wananchi hatuna cha kufanya . Tiukitaka tuamue kupitia kura mtawala anatumia bunduki kujitangazia ushindi wa uchaguzi .

Anyway tusife moyo nguvu ya Umma wananchi kwa umoja wetu tunaweza kuamua hatma ya nchi yetu ipate katiba mpya yenye taasisi huru kama wenzetu hawa.

Mungu ibariki Tanganyika
Mungu ibariki Zanzibar
Mungu ibariki Tanzania

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu
Mizizi ya Uhuru uliotamalaki na Utawala wa Kidemokrasia uliopo nchini Afrikร  ya Kusini uliasisiwa na Wazungu (Makaburu), Wala siyo Nelson Mandera kama watu wengi wanavyodhani. Ifahamike wazi kuwa raia wazungu wa nchi hiyo walikuwa na Uhuru mpana sana na walikuwa wakiishi katika mazingira ya kidemokrasia hata katikร  wakati wa enzi za Utawala wa wazungu wachache (makaburu). Wananchi/Raia wazungu walikuwa na Maamuzi makubwa dhidi ya Serikali yao iliyokuwa ikitawala enzi hizo kuliko hata wakati huu wa Utawala wa Chama Cha ANC.
Alichoweza kufanya Mandera ni kusaidia kuhamisha Uhuru huo kutoka kwa raia wa kizungu peke yao na kisha kuusambaza kwa Watu wote wa rangi zote waliopo kwenye nchi hiyo.
 
Hapo Afrika Kusini Ingekuwa imejenga misingi imara ya kitaasisi , hizo rushwa, uzembe , ufisadi, ongezeko la uhalifu vinatokea wapi?
 
Mizizi ya Uhuru uliotamalaki na Utawala wa Kidemokrasia uliopo nchini Afrikร  ya Kusini uliasisiwa na Wazungu (Makaburu), Wala siyo Nelson Mandera kama watu wengi wanavyodhani. Ifahamike wazi kuwa raia wazungu wa nchi hiyo walikuwa na Uhuru mpana sana na walikuwa wakiishi katika mazingira ya kidemokrasia hata katikร  wakati wa enzi za Utawala wa wazungu wachache (makaburu). Wananchi/Raia wazungu walikuwa na Maamuzi makubwa dhidi ya Serikali yao iliyokuwa ikitawala enzi hizo kuliko hata wakati huu wa Utawala wa Chama Cha ANC.
Alichoweza kufanya Mandera ni kusaidia kuhamisha Uhuru huo kutoka kwa raia wa kizungu peke yao na kisha kuusambaza kwa Watu wote wa rangi zote waliopo kwenye nchi hiyo.
Umemaliza
 
Hapo Afrika Kusini Ingekuwa imejenga misingi imara ya kitaasisi , hizo rushwa, uzembe , ufisadi, ongezeko la uhalifu vinatokea wapi?
Mtu mweusi hawezi kujitawala. Period!
 
Huko bondeni kwa Madiba hali ya chama kilicholeta uhuru ANC ni mbaya sana tangu kuanzishwa kwake. Kwa mazingira haya hakiwezi kuunda serikali kwa sababu kimekosa 50% ya kura zote zilizopigwa.

Mambo kama haya ndio yanaifanya CCM ikatae #KatibaMpya na Tume huru. Nawaambia hizo trillion 6 ambazo mama Abdul anakopa Korea kazi yake itakuwa kununua magari ya polisi, mabomu, bunduki na kununua wapinzani 2025. Msitegemee pesa hizi zitaenda kujenga madarasa au barabara.

Wananchi wa Africa kusini wamekataa kuipigia ANC kura na kupigia vyama vya upinzani kwa sababu ya chama hicho kukumbwa na kashfa za rushwa, ufisadi na ukosefu wa ajira kwa vijana.

Kitu kimoja ambacho sisi wapigania haki tutamkumbuka Mandela, ni namna alivyojenga misingi bora ya kimfumo na kiutawala. Mandela aliona mbali kwamba hata bila uwepo wake nchi iendeshwe kitaasisi na sio mtu mmoja ndio anatawala kila kitu kama ilivyo hapa nchini. Katiba bora ya South Africa ndio imezaa taasisi imara ikiwemo mahakama na Tume Huru ya Uchaguzi.

Moja ya kitu ambacho mimi binafsi ninamlaumu Nyerere ni kutengeneza mfumo wa utawala unaopeleka nguvu yote kwa mtu mmoja na sio taasisi. Kwamba taasisi zote zinakuwa chini ya mtawala na yeye ndio anateua na kufukuza watu kwenye hizo taasisi ikowemo Tume ya Uchaguzi, Mahakama na Bunge. Mtawala huyo anaweza kuiba mali za umma na kuuza rasilimali za nchi bila kuwajibishwa. Pamoja na mazuri yake mwalimu Nyerere lakini kwa hili alitukosea Watanzania. Nchi inaliwa, rasilimali za nchi zinauzwa kwa mikataba mibovu lakini wananchi hatuna cha kufanya . Tiukitaka tuamue kupitia kura mtawala anatumia bunduki kujitangazia ushindi wa uchaguzi .

Anyway tusife moyo nguvu ya Umma wananchi kwa umoja wetu tunaweza kuamua hatma ya nchi yetu ipate katiba mpya yenye taasisi huru kama wenzetu hawa.

Mungu ibariki Tanganyika
Mungu ibariki Zanzibar
Mungu ibariki Tanzania

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu
Kama wenyewe ni bidhaa za mafungu zinazonunuliwa basi hamna maana wala hamuaniki kwa vipande vya pesa mtauza nchi kwa matumbo yenu kama ulivyokiri mwenyewe!
 
Ebu twendeni mbele na kurudi nyuma,sawa sisiemu wanazingua lkn je kunambadala wa chama shindani katika nchi hii kwa sera na fikra mbadala?

Wote waganga njaa tu hawana dira wala mwelekeo wanafanya siasa za matukio,,hawana mvuto kwa wananchi na kuonyesha walau wakipewa nchi wataleta maendeleo

Wakati mwingine ni bora zimwi likujualo halikuli ukakwisha kuliko malaika mpya usiyemjua

Povu ruska nimekaa palee!
 
Nyerere hakutaka katiba ya vyama vingi kwa sababu itikadi yake ilikuwa "Bila ya CCM imara nchi itayumba".
 
Huko bondeni kwa Madiba hali ya chama kilicholeta uhuru ANC ni mbaya sana tangu kuanzishwa kwake. Kwa mazingira haya hakiwezi kuunda serikali kwa sababu kimekosa 50% ya kura zote zilizopigwa.

Mambo kama haya ndio yanaifanya CCM ikatae #KatibaMpya na Tume huru. Nawaambia hizo trillion 6 ambazo mama Abdul anakopa Korea kazi yake itakuwa kununua magari ya polisi, mabomu, bunduki na kununua wapinzani 2025. Msitegemee pesa hizi zitaenda kujenga madarasa au barabara.

Wananchi wa Africa kusini wamekataa kuipigia ANC kura na kupigia vyama vya upinzani kwa sababu ya chama hicho kukumbwa na kashfa za rushwa, ufisadi na ukosefu wa ajira kwa vijana.

Kitu kimoja ambacho sisi wapigania haki tutamkumbuka Mandela, ni namna alivyojenga misingi bora ya kimfumo na kiutawala. Mandela aliona mbali kwamba hata bila uwepo wake nchi iendeshwe kitaasisi na sio mtu mmoja ndio anatawala kila kitu kama ilivyo hapa nchini. Katiba bora ya South Africa ndio imezaa taasisi imara ikiwemo mahakama na Tume Huru ya Uchaguzi.

Moja ya kitu ambacho mimi binafsi ninamlaumu Nyerere ni kutengeneza mfumo wa utawala unaopeleka nguvu yote kwa mtu mmoja na sio taasisi. Kwamba taasisi zote zinakuwa chini ya mtawala na yeye ndio anateua na kufukuza watu kwenye hizo taasisi ikowemo Tume ya Uchaguzi, Mahakama na Bunge. Mtawala huyo anaweza kuiba mali za umma na kuuza rasilimali za nchi bila kuwajibishwa. Pamoja na mazuri yake mwalimu Nyerere lakini kwa hili alitukosea Watanzania. Nchi inaliwa, rasilimali za nchi zinauzwa kwa mikataba mibovu lakini wananchi hatuna cha kufanya . Tiukitaka tuamue kupitia kura mtawala anatumia bunduki kujitangazia ushindi wa uchaguzi .

Anyway tusife moyo nguvu ya Umma wananchi kwa umoja wetu tunaweza kuamua hatma ya nchi yetu ipate katiba mpya yenye taasisi huru kama wenzetu hawa.

Mungu ibariki Tanganyika
Mungu ibariki Zanzibar
Mungu ibariki Tanzania

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.

View attachment 3005478
Tanzania Kuna mfumo wa Utawala uliojikita mizizi kwenye 'magenge ya Watu' wakati Afrika ya Kusini kuna mfumo wa Utawala uliojikita kwenye taasisi za kidemokrasia. Hii ndio tofauti kubwa kabisa iliyopo kati ya Tanzania na Afrika ya Kusini kuhusiana na masuala ya Utawala wa nchi.
 
Nyie Chadema mkiona taarifa ya chama tawala nchi yoyote Kuzidiwa kwenye upigaji kura ni habari njema sana kwenu.
 
Back
Top Bottom