kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Vita vya Russia na Ukraine vimenifumbua macho yangu. Vyombo vya habari vya nchi za Magharibi ni vyombo ambavyo havitoi habari kuhusu kile kinachoendelea kwenye vita, havisimami katikati, vimeegemea upande. Iko siku vyombo hivi vitatumika kurudisha ukoloni Afrika.
Je, vyombo vya habari vya magharibi (BBC, DW, France, VOA, Facebook, You tube, nk) ni mfano wa kuigwa wa uhuru wa habari nchini?
Je, vyombo vya habari vya magharibi (BBC, DW, France, VOA, Facebook, You tube, nk) ni mfano wa kuigwa wa uhuru wa habari nchini?