Uhuru wa wanachama dhidi ya wenyeviti wao CHADEMA as sample

Magufuli alipomwambia Lisu aachane na kugombea kwa ahadi ya kutafutiwa kazi hukuona?
Alitaka afanye nae kazi ila ajirudi na aache kutumika. Kwamba we ni mzuri usipotumika na watu wasioitakia mema tz.
 
Hii imemkuta lema na msigwa. Sugu anaonekana ana maamuzi yake linapokuja suala la familia ndio maana m/kiti hajamuweka karibu sana pamoja na sugu kumfagilia kote hadi kumuita mtoto wake freeman.

Tofauti na msigwa ambaye hata akiitwa saa hizi na mbowe atawasha gari kutoka iringa aje dar, sugu huwezi kumtoa kiivyo.

Profesa J pia ana maamuzi yake tofauti na kina heche bendera fuata upepo.
 
Magufuli alipomwambia Lisu aachane na kugombea kwa ahadi ya kutafutiwa kazi hukuona?
Alimwambia kua hataweza kushinda kwa ustaarabu aili kupunguza ghalama za uchaguzi basi amuachie lakini sio hili la hongo kwa mdee

Sasa tunauliza baada ya mdee kukataa hiyo mafasi alipewa nani mwingine?

Au hiyo nafasi ilikua ya mdee peke yake na sii wengine endapo mdee atakataa?
#kataa wahuni kwenye vyama.
 
Mkuu kuna vijana wapo mitandaoni,ukitoa hoja ya kumjadili mwenyekiti utaoga matusi hadi ushangae..

Kwahiyo hivyo ndivyowalivyo.ni hatari sana,waache hivyohivyo na mwenyekiti wao wa kudumu.
leo kasema ni supreme leader
 
Haya tunayoyaona ni matokeo ya mifumo yetu tangu malezi na tabia ndani ya familia zetu,mifumo ya utendaji kazi katika mataasisi na maidira ,zimelea tamaduni za kutengeneza matabaka,ya wakupata maslahi ,matabaka ya kunyonywa na matabaka ya kuhakikisha maslahi ya wanyonyaji hayahojiwi wala kuathiriwa kwa namna yeyote bila kujali waajira wao au walio wapa madaraka.
 
..Chadema wanamkosoa na kumsema Mwenyekiti wao kwa uwazi na uhuru kuliko Ccm.

..Kwa mfano, Mbowe alikuwa na msimamo wake kuhusu maridhiano, lakini wanachama walipiga kelele kwamba kuna ulaghai. Mbowe ali-resist kwa muda, lakini alikuja kukubaliana na msimamo wa wanachama wake.

..Ccm Mwenyekiti wao hata akiamua jambo la kipumbavu, wanachama humuunga mkono, na vyombo vya dola hutumika kulazimisha maamuzi haramu ya Mwenyekiti.

..Kwa mfano, serikali nimenunua gari la kinyesi liko kwenye msafara wa Mwenyekiti wao. Jambo la kipumbavu na kifisadi. Lakini hakuna mwana Ccm aliyejitokeza na kupinga upumbavu huo.

..Chadema na vyama vya upinzani kwa ujumla kuna uhuru wa mawazo, na kujieleza, kuliko Ccm.
 
How
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…