Uhuru was drunk

Uhuru was drunk

Duh hatari aisee. Hata pozi ameegemea mda wote
 



Huyo jamaa Uhuru Kenya hajawahi kuajiriwa wala kulipa kodi mahali popote pale, wala hajawahi kutuma maombi kazi maishani mwake, halafu unamkabidhi Ikulu ? Ndiyo maana anakula good time tu!
Kwanza Kenya ni kama shamba lao tu, huoni hata jina la nchi ya Kenya ni jina la ukoo wa Uhuru? Hiyo nchi ni mali yao familia ya Uhuru Kenya!
 
What is wrong sioni kama kuna tatizo lolote...just focus on subject matter....
 
Huyo jamaa Uhuru Kenya hajawahi kuajiriwa wala kulipa kodi mahali popote pale, wala hajawahi kutuma maombi kazi maishani mwake, halafu unamkabidhi Ikulu ? Ndiyo maana anakula good time tu!
Kwanza Kenya ni kama shamba lao tu, huoni hata jina la nchi ya Kenya ni jina la ukoo wa Uhuru? Hiyo nchi ni mali yao familia ya Uhuru Kenya!
Na wa huku kwetu tupe wasifu wake
 
No hajakunywa, ndiyo alivyo kama angekuwa kalewa media za Kenya zingesema Sana. Yuko normal theway amavoongea ndiyo alivyo
 
Huyo jamaa Uhuru Kenya hajawahi kuajiriwa wala kulipa kodi mahali popote pale, wala hajawahi kutuma maombi kazi maishani mwake, halafu unamkabidhi Ikulu ? Ndiyo maana anakula good time tu!
Kwanza Kenya ni kama shamba lao tu, huoni hata jina la nchi ya Kenya ni jina la ukoo wa Uhuru? Hiyo nchi ni mali yao familia ya Uhuru Kenya!

Hahaha mkuu umetisha!
 
Ndivyo alivyo
Ila akiongea kiswahili ndo anakua kaa mlevi but he is a good president namkubali sana
 
Back
Top Bottom