Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afadhali Mkuu umekuja Jukwa LA Siasa hapa TZ lilipooza Kiaina!Nimefuatilia kidogo Cabinet mpya ya Uhuru nikaona kama kuna more muslims..
than ever katika historia ya Kenya?..au not?
Halafu si more muslims walimpigia kura Odinga?
wajuzi wa siasa za Kenya...nini hii maana yake?
Unajua Amina Mohammed ni mke wa Muhoho kaka wa Uhuru!Hahahaa siasa za TZ zishakuwa 'village politics'
shida ya kuwapa power 'village boys'
Nimefuatilia kidogo Cabinet mpya ya Uhuru nikaona kama kuna more muslims..
than ever katika historia ya Kenya?..au not?
Halafu si more muslims walimpigia kura Odinga?
wajuzi wa siasa za Kenya...nini hii maana yake?
Achana na Ujinga wewe. Chuki za Ukabila na Udini zimekujaa. Hii hoja yako ya kipumbavu sana. Kwani umeambiwa wamechaguliwa na Rais kwenda kuongoza swala ama kusilimisha watu? Wangekuwa Wakristo ndo wengi ungesemaje? Sh*t brain!Nimefuatilia kidogo Cabinet mpya ya Uhuru nikaona kama kuna more muslims..
than ever katika historia ya Kenya?..au not?
Halafu si more muslims walimpigia kura Odinga?
wajuzi wa siasa za Kenya...nini hii maana yake?
Eti village boysHahahaa siasa za TZ zishakuwa 'village politics'
shida ya kuwapa power 'village boys'
Achana na Ujinga wewe. Chuki za Ukabila na Udini zimekujaa. Hii hoja yako ya kipumbavu sana. Kwani umeambiwa wamechaguliwa na Rais kwenda kuongoza swala ama kusilimisha watu? Wangekuwa Wakristo ndo wengi ungesemaje? Sh*t brain!
Hivi waislam wataacha lini ujinga yaani wakiona tu majina wanafurahi
hivi huwa unachukua hata dk 2 kabla ya kureact post mkuu [emoji23][emoji23]Hivi waislam wataacha lini ujinga yaani wakiona tu majina wanafurahi
Kwani watu wa dini nyingine walizuiwa kwenda ikulu? Chuki tu.. Nikuulize maswali Unayopenda.. Wakikuyu ni wangapi! Wakalenjini wangapi? Wajaluo wapo wagapi? Katoliki wangapi? Sabato wangapi? Protestanti wangapi? Pentekoste wangapi?Shit brain ni wewe unae ngea bila research....rabbit brain kabisa wewe
When the Muslim Scholars Called on Jubilee – Nairobi Confidential
Mkuu Umeusoma Pia waraka was Maaskofu TEC wa Ujumbe wa Pasaka?Hahahaa nilikua sijui
so ni cronyism tu hakuna la ziada?
Nini Maoni yako?Mkuu Umeusoma Pia waraka was Maaskofu TEC wa Ujumbe wa Pasaka?
Umewekwa humu!