UHURUTO 2013 Campaign Images.

Ntafurahi sana sana uhuru akishinda urais maana anaonekana yuko determined sana...
 
Wanaoshabikia Jaluo hawawajui vizuri!

Hawa jamaa fitina ndo zao. Ila Kenya ukabila ndo unaowamaliza. Hapo agenda ni Mkikuyu asiingie Ikulu tu wala hakuna kitu kingine hapo. Ila Jaluo kwa fitina nawakubali, kuna shirika nilifanya nalo kazi lina ofisi zake Kenya na Tz. Mjaluo alipochukua ukuu wa ofisi alihakikisha makabila mengine yote yamekuwa undermined to the maximum mpaka wakawa wananajitoa wenyewe. Sasa hivi vyeo vyote wamekamata wenyewe tu.

Nina mashaka sana na uongozi wa Jaluo kama atakamata nchi. Ila kwangu mgombea bora kuliko wote ni Uhuruto team period!!!
 
the last picture says 1000 words! if UK akifungua roho haki huyu dada atampatia jinsi alivyoanajivinjari na kushika mikono ya UK!
 
Hongera sana 2013 Kenya wameenda sana kwa Mungu kuliko 2005 ilikuwa kwa shetani-kafara nyingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…