Uhusiano awa Avatar/Profile Pictures na sisi wenyewe

Uhusiano awa Avatar/Profile Pictures na sisi wenyewe

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Yaani kuna watu mabwege humu mpaka unashangaa... Unasema walitungwa ujauzito kipindi cha wazazi wao wakiwa wamelewa nini?

Yaani jamaa mmoja bwege anaomba nimpatie kiasi flani cha pesa amtoe demu mmoja humu wa JF out sababu amempenda sana. Namuuliza umewahi mwona? Anajibu ameona tu picha yake kwenye avatar. Huwa akimtizama ana mfeel sana. So anaamini hiyo picha ndivyo alivyo huyo mhusika.

Na anataka nimpatie pesa amtoe out. Huu si ni Ubwegest katika kiwango cha juu sana? Haya hivi itokee kila mtu picha iliyopo kwenye avatar awe yeye... Mimi ntapata demu kweli? Au mtanipendea mkwanja na makarateka ambayo ntakuwa nagonga demu mkali akijichanganya

Mimi silambi lambi lips. Ni gangster hasa... Shauri yako.
 
Yaani kuna watu mabwege humu mpaka unashangaa... Unasema walitungwa ujauzito kipindi cha wazazi wao wakiwa wamelewa nini?

Yaani jamaa mmoja bwege anaomba nimpatie kiasi flani cha pesa amtoe demu mmoja humu wa JF out sababu amempenda sana. Namuuliza umewahi mwona? Anajibu ameona tu picha yake kwenye avatar. Huwa akimtizama ana mfeel sana. So anaamini hiyo picha ndivyo alivyo huyo mhusika.

Na anataka nimpatie pesa amtoe out. Huu si ni Ubwegest katika kiwango cha juu sana? Haya hivi itokee kila mtu picha iliyopo kwenye avatar awe yeye... Mimi ntapata demu kweli? Au mtanipendea mkwanja na makarateka ambayo ntakuwa nagonga demu mkali akijichanganya

Mimi silambi lambi lips. Ni gangster hasa... Shauri yako.
Mboga unakula?
 
Yaani kuna watu mabwege humu mpaka unashangaa... Unasema walitungwa ujauzito kipindi cha wazazi wao wakiwa wamelewa nini?

Yaani jamaa mmoja bwege anaomba nimpatie kiasi flani cha pesa amtoe demu mmoja humu wa JF out sababu amempenda sana. Namuuliza umewahi mwona? Anajibu ameona tu picha yake kwenye avatar. Huwa akimtizama ana mfeel sana. So anaamini hiyo picha ndivyo alivyo huyo mhusika.

Na anataka nimpatie pesa amtoe out. Huu si ni Ubwegest katika kiwango cha juu sana? Haya hivi itokee kila mtu picha iliyopo kwenye avatar awe yeye... Mimi ntapata demu kweli? Au mtanipendea mkwanja na makarateka ambayo ntakuwa nagonga demu mkali akijichanganya

Mimi silambi lambi lips. Ni gangster hasa... Shauri yako.
Kumbe
 
Yaani kuna watu mabwege humu mpaka unashangaa... Unasema walitungwa ujauzito kipindi cha wazazi wao wakiwa wamelewa nini?

Yaani jamaa mmoja bwege anaomba nimpatie kiasi flani cha pesa amtoe demu mmoja humu wa JF out sababu amempenda sana. Namuuliza umewahi mwona? Anajibu ameona tu picha yake kwenye avatar. Huwa akimtizama ana mfeel sana. So anaamini hiyo picha ndivyo alivyo huyo mhusika.

Na anataka nimpatie pesa amtoe out. Huu si ni Ubwegest katika kiwango cha juu sana? Haya hivi itokee kila mtu picha iliyopo kwenye avatar awe yeye... Mimi ntapata demu kweli? Au mtanipendea mkwanja na makarateka ambayo ntakuwa nagonga demu mkali akijichanganya

Mimi silambi lambi lips. Ni gangster hasa... Shauri yako.
Shetani naye ni JF member
 
Yaani kuna watu mabwege humu mpaka unashangaa... Unasema walitungwa ujauzito kipindi cha wazazi wao wakiwa wamelewa nini?

Yaani jamaa mmoja bwege anaomba nimpatie kiasi flani cha pesa amtoe demu mmoja humu wa JF out sababu amempenda sana. Namuuliza umewahi mwona? Anajibu ameona tu picha yake kwenye avatar. Huwa akimtizama ana mfeel sana. So anaamini hiyo picha ndivyo alivyo huyo mhusika.

Na anataka nimpatie pesa amtoe out. Huu si ni Ubwegest katika kiwango cha juu sana? Haya hivi itokee kila mtu picha iliyopo kwenye avatar awe yeye... Mimi ntapata demu kweli? Au mtanipendea mkwanja na makarateka ambayo ntakuwa nagonga demu mkali akijichanganya

Mimi silambi lambi lips. Ni gangster hasa... Shauri yako.

[emoji23][emoji23][emoji23]kwel kabisa kila picha kama ungekuwa ndio muhusika madada huwapat bro [emoji16][emoji16]
 
Umeanza na lugha mbaya hapo kwa wazazi? Hivi unaanzaje kusema wazazi walitunga ujauzito wakiwa wamelewa? Si adabu hiyo.
Eti watakupendea mkwanja hahaa una net worth kiasi gani hadi useme watakupendea hela? Hongera Richman
Kwani haitokei? Ipo sana so hata sperms zinakuwa zina alcohol.
 
Back
Top Bottom