financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Huenda ni yeye mkuu, ila tu asije kuwa Gabrielle wa BuzaπKuna dada humu kuna kipindi nilikuwa na chart nae nikahisi kama na sms na gabrielle Union kutokana na avatar yake gademu π
Victoire
Haha kama wewe umemueka mwenye rasta now nawaza una kipili pili, umenyoa...Uhalisia ni tofauti kabisaaπ
Daaaaaaamn!!!Supermassive black hole, Saggittarius A
It's not a passive track yo, such a daring way
Orion belt filter, that's what we're dealt
Any closer to kilter, and the riot belchs
Close to Andromeda, in the Local Group
Supposed to get bigger, in a local soup
30G light years, not far in the outskirts
You will see a star there outsretched
Sol to be exact, and that's a fact
Third rock from that, that's where I'm at
Avatar yako najihisi nachart na pisi moja hivi ya kisauzi jaamaaaaaaaani πHuenda ni yeye mkuu, ila tu asije kuwa Gabrielle wa Buzaπ
Mimi nlishamaliza kujisaidia. Sasa nasaidia wengineHata kama huwezi kusema hivo kwa kukejeli, bora akili ya kujisaidia kuliko hiyo yako hata kujisaidia huwezi.
Nimeshasema.Hata kama huwezi kusema hivo kwa kukejeli, bora akili ya kujisaidia kuliko hiyo yako hata kujisaidia huwezi.
Usije ukajichanganya hii ni pisi ya Buza mkuuπAvatar yako najihisi nachart na pisi moja hivi ya kisauzi jaamaaaaaaaani π
Umejuaje nna kipilipili, yaani umewaza sahihi kabisa hahaaHaha kama wewe umemueka mwenye rasta now nawaza una kipili pili, umenyoa...
Ila kinakupendezaaa,unakipaka mafuta ganiUmejuaje nna kipilipili, yaani umewaza sahihi kabisa hahaa
ππ mkuu acha tuIla kinakupendezaaa,unakipaka mafuta gani
Sitaki hata nikione usinitumie pichaππ mkuu acha tu
Hii trick nimeipenda, nakutumia sasa kwa lazimaπSitaki hata nikione usinitumie picha
Haha jaribu uone kama nitaangalia,jaribu nimesemaHii trick nimeipenda, nakutumia sasa kwa lazimaπ
Nishatuma ulivyo na msimamo hata hujaangalia aisee, good night mkuuHaha jaribu uone kama nitaangalia,jaribu nimesema
Usiku mwema Pia mtoto mzuri...Nishatuma ulivyo na msimamo hata hujaangalia aisee, good night mkuu
Wee Utakua km diamond wa mbagala[emoji1787]Saa na hii avatar yangu itakuwaje?