Uhusiano kati ya saizi ya uume(Penis size) na Intelligence Quotient(IQ)

Uhusiano kati ya saizi ya uume(Penis size) na Intelligence Quotient(IQ)

Hii ni kweli. Mimi nina Mandingo lakini darasani kilaza kweli kweli. Yaani ni mwendo wa divisheni zero tu kote nilikopita. There must be some truth to this...teh teh teh!
 
dah sitaki kuamini magineus wengi ni vibamia
 
Kitu alichoandika mtu mweupe hakiwezi kutusifia watu weusi lazima wajiweke wao kwamba wana akili sisi weusi hatuna akili waongo sana na kuna wajinga wanaamini. watu weupe wanapenda sana ku brainwash watu weusi ili wao waonekane bora
 
Mkuu taratibu

Nadhani sikukimbilia kwenye machapisho hayo tuu, nimekupa pia utafiti kidogo nilioufanya binafsi
Lakini pia utafiti hauwaweki hawa watu weupe unaodai wewe kama nambari moja bali wanaoongoza ni watu wenye asili ya bara la asia
 
dah somthng like the word 'true' is coming in my mind. na pia kuna relation kubwa kati ya upole au ukali(ukorofi) na size ya penis. ntawaletea hyo
 
Thousands of years ago people used to link penis size to intelligence.
Having a big penis was seen as an animal and a sign of being stupid.
From my observation of the world, I cannot help but think they is some truth to this.

Lets all be honest, put aside the few exceptions to the rule and look at the pattern.

Asian men tend to have relatively small penis size but they on average have much higher I.Q, they can solve complex problems that many black men would struggle to understand.

Black men have larger penis relative to Asian men, but they do not have high I.Q and do not excel at a higher intellectual level relative to Asians
BUT
1. Correlation is not causation!
2. There is no connection between penis size and IQ
 
ni kweli hii mada yake ina ukweli fulani...kuna familia fulani jirani zetu wana maumbile makubwa ya uume ila shuleni ni vilaza sana aliyejitahidi kaishia darasa la tano....
Mwenzetu ulijuaje maumbile ya familia nzima??
 
Mkuu taratibu

Nadhani sikukimbilia kwenye machapisho hayo tuu, nimekupa pia utafiti kidogo nilioufanya binafsi
Lakini pia utafiti hauwaweki hawa watu weupe unaodai wewe kama nambari moja bali wanaoongoza ni watu wenye asili ya bara la asia
Haya bhana. Mimi napita tu hapa.

Nashukuru kwa somo
 
Mkuu Punje Haradari ! Kuna Kitu Kule Kwenye Falsafa Wanaita Fallacy Of Generalization, Nikianza Kutoa Maelezo Yake Ntakesha Lakin Labda Nieleze Kidogo Kwa Ku2mia Mfano Mdogo Kutoka Kwa Watani Zangu Wahaya ! Angalia Hz Statement Mbili Kuhusu Wahaya Alafa Tazama Conclusion! A. Wahaya Ni Malay* B. X Ni Muhaya : Conclusion Yake Ni X Ni Malaya( Kwakua 2 Ni Muhaya)
 
Turudi Kwenye Hyo Research , Wamekuvuta Kwa Kukuwekea List Ya Nchi Zinazoongoza Kwakua Na IQ Kubwa, Sehemu Ya Pili Ni List Ya Nch Znazoongoza Kua Na Mbo* Kubwa. Then Wakamaliza Na Conclusion Nyepes , Kwakua Kund Hl Lina Mbo* Kubwa Na Iq Ndogo , Na Jengine Lina Mbo* Ndogo Na Iq Kubwa Then Kuna Uhusiano Kati Ya Size Ya Mbo* Na IQ. Hii Ni Hasty Generalization, I Guess The Sample Was Too Small To Reach That Conclusion.
 
penis-size-national-iq-map.jpg


Wewe jamaa una uwezo mzuri wa analyis punje haradari[/QUOTE]


Lazima ana kitu ndogo pia,, wenye kubwa hawajagundua hilo
 
Mkuu Punje Haradari ! Kuna Kitu Kule Kwenye Falsafa Wanaita Fallacy Of Generalization, Nikianza Kutoa Maelezo Yake Ntakesha Lakin Labda Nieleze Kidogo Kwa Ku2mia Mfano Mdogo Kutoka Kwa Watani Zangu Wahaya ! Angalia Hz Statement Mbili Kuhusu Wahaya Alafa Tazama Conclusion! A. Wahaya Ni Malay* B. X Ni Muhaya : Conclusion Yake Ni X Ni Malaya( Kwakua 2 Ni Muhaya)
dume30

Sikwenda moja kwa kufanya generalization kwa races zilizoainishwa

Ukiangalia utaona nimeanzia kuchukua sample kwenye same race kabla ya kuangalia kwa mapana

Nikasema katika kauchunguzi kalikojikita ndani ya ethnic group moja (same colour same environment ) imeonekana kunakua na utofauti kati ya wenye vipisi na na wenye mandingo kichwani (IQ)

Lakini ndo tukaja swala la

1. generalization kwamba imeonekana kwamba waafrica wengi wako well endowed, (hii haiondoi fact kwamba wapo walio vipisi pia ) na

2. generalization kwamba waafrica wengi hawako smart kichwani (hii haiondoi fact kwamba wapo walio even extra smart )

Kwa hiyo nadhani the fact kwamba nilianza kuweka tofauti ndani ya waafrica wenyewe kabla ya kuja kwa ujumla inatosha kuonyesha nilivyofanya specification tofauti na madai yako kwamba nimekua too general
 
Mwanzo Nlikua 50/50 Mkuu Punje Haradari ! Lakini Kwasasa Mtazamo Wangu Ni Kua Hakuna Uhusiano Kati Ya Vitu Hivyo Viwili !
 
Donald Trump ilipata kusemwa kuwa ana kamkongojo kwa kuangalia urefu wa viganja vya mikono yake, ilileta kelele kidogo, sikujua walilenga kuuambia nini umma wa hii sayari.

Au hata wanyama ndio maana punda hana ujanja wowote anatwikwa mizigo na kucharazwa bajora masaa 24.

Endelea kushusha data. Tutaheshimiana humu ndani.
 
Back
Top Bottom