chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,835
Ni kweli haijawahi kutokea kupata rais Kama yy.serikali kuhamia Dom ilishindikana lakin yy ameweza,mradi wa umeme wa mwal jk hydropower uligoma lkn yy ameweza,na mengine mengi ...NUKUU (Tuna Rais wa ajabu haijawahi kutokea, narudia tena Tuna Rais wa ajabu haijawahi kutokea kwenye nchi hii. Tundu Lissu
moja ya kitendo cha aibu, ajabu, kinyama na cha ki-chato kukisikia katika maisha yanguTuambie kwanza nani alianza kuchoma na kuwateketeza vifaranga mpakani pale Namanga??
Nani aliyekamata na kutaifisha mifugo ya majirani zake??
Ustaarabu wa Uhuru tuu. Viongozi waliolelewa Ikulu waastarabu -Uhuru,Karume ,Hussein.acha uchonganiahi ww,tungekuwa hatuna mahusiano mazuri Basi hata Yale madini yaliyoyakamata,wange piga kimya,na tusingejua chochote.ktk east Africa Kenya ndo nchi ya kwanza kuenzi mahusiano mazuri na Tanzania.
Haya yasiwe chanzo cha mengine kuharibika .Ni kweli haijawahi kutokea kupata rais Kama yy.serikali kuhamia Dom ilishindikana lakin yy ameweza,mradi wa umeme wa mwal jk hydropower uligoma lkn yy ameweza,na mengine mengi ...
na hatupendi mengine yaharibike,lakini pia tuache unyumbu,kukosoa hata yaliyo mazuri.Haya yasiwe chanzo cha mengine kuharibika .
JAMANI [emoji102][emoji3517]
Huyu naye ni nabii kama Hayati Mwl J. K. NyerereHabari wakuu,
Kwa kweli mafahali wanapopigana nyasi huumia.
Ni ukweli usiojificha Tanzania na Kenya Hatuna uhusiano mzuri wa kidiplomasia na unazidi kutetereka.
Athari zake tunazipata Sisi wananchi haswa Wakulima wa mpunga na mahindi.
Wakuu, tujue kila magunia matatu ya mpunga au mahindi mawili yalikua yanaenda Kenya.
Kwa sasa Wakenya wananunua Mahindi kule Mexico na mchele Vietnam sasa, nani anaumia?
Matunda yanaozea shambani kuanzia mananasi, maembe, matunda damu nk
Baada ya Tanzania kuharibu uhusiano na wafanyabiashara wenye asili ya India mpaka mazao kama:
Korosho
Mbaazi
Dengu
Ufuta, n.k
Kukosa bei kabisa sasa ni zamu yetu walima mahindi na mpunga. Leo hii mazao sio tu ni bei rahisi Bali pia hata mnunuzi hakuna.
Je, Jakaya alitabiri kweli kwa kusema uhusiano wetu na Kenya hautatetereka labda tupate kiongozi mjinga. Mpumbavu tena wa ajabu?
Akasema watu wa aina hio ni wachache, je ni wachache au ni mmoja tu?
Naandika kwa uchungu sana maana roho inaniuma.
Wanakosolewa viongozi wa dunia itakuwa wa Tanganyika ?!. Tenda uema uende zako usilazimishe shukrani .na hatupendi mengine yaharibike,lakini pia tuache unyumbu,kukosoa hata yaliyo mazuri.
Hao vifaranga walichomwa kinyume na sheria za nchi au sheria ndivyo ilivyotaka? Hao ng’ombe walikamatwa bila kuvunja sheria za nchi? Tubadili sheria kama ndio hivyo ili iruhusu mifugo kuingizwa kiholela bila ukaguzi wa aina yeyote ile.Tuambie kwanza nani alianza kuchoma na kuwateketeza vifaranga mpakani pale Namanga??
Nani aliyekamata na kutaifisha mifugo ya majirani zake??
Usiangalie madini tazama kwa ujumla NCH inavyo enda kwenye wenye kipato Cha chiniacha uchonganiahi ww,tungekuwa hatuna mahusiano mazuri Basi hata Yale madini yaliyoyakamata,wange piga kimya,na tusingejua chochote.ktk east Africa Kenya ndo nchi ya kwanza kuenzi mahusiano mazuri na Tanzania.
Mkuu mahindi na mpunga afadhali kuliko matunda na nyanya zinaozea shambaniWakulima ndio wanaoumia kabisa Kwa kuwazuia kuuza mazao ya nje ya nchi hii ni maumivu ya wakulima wa mahindi, mpunga n.k.
Tukisha koboa tupeleke wapi?koboeni ili kuongeza thamani,acheni kualalamika hovyo
Afadhali mahindiMahindi yanaharibikia maghalani.Soko hakuna
Mkuu sio uchonganishi....acha uchonganiahi ww,tungekuwa hatuna mahusiano mazuri Basi hata Yale madini yaliyoyakamata,wange piga kimya,na tusingejua chochote.ktk east Africa Kenya ndo nchi ya kwanza kuenzi mahusiano mazuri na Tanzania.
Kwa hiyo wazee wa kazi mmeshapata kiongozi mjinga na mpumbavu ?Habari wakuu,
Kwa kweli mafahali wanapopigana nyasi huumia.
Ni ukweli usiojificha Tanzania na Kenya Hatuna uhusiano mzuri wa kidiplomasia na unazidi kutetereka.
Athari zake tunazipata Sisi wananchi haswa Wakulima wa mpunga na mahindi.
Wakuu, tujue kila magunia matatu ya mpunga au mahindi mawili yalikua yanaenda Kenya.
Kwa sasa Wakenya wananunua Mahindi kule Mexico na mchele Vietnam sasa, nani anaumia?
Matunda yanaozea shambani kuanzia mananasi, maembe, matunda damu nk
Baada ya Tanzania kuharibu uhusiano na wafanyabiashara wenye asili ya India mpaka mazao kama:
Korosho
Mbaazi
Dengu
Ufuta, n.k
Kukosa bei kabisa sasa ni zamu yetu walima mahindi na mpunga. Leo hii mazao sio tu ni bei rahisi Bali pia hata mnunuzi hakuna.
Je, Jakaya alitabiri kweli kwa kusema uhusiano wetu na Kenya hautatetereka labda tupate kiongozi mjinga. Mpumbavu tena wa ajabu?
Akasema watu wa aina hio ni wachache, je ni wachache au ni mmoja tu?
Naandika kwa uchungu sana maana roho inaniuma.
Sisi kama Wakulima tunampongeza sana japo kua angebaki Dar es salaam na mazao yetu yangekua yanauzika kwetu ingekua poa tuNi kweli haijawahi kutokea kupata rais Kama yy.serikali kuhamia Dom ilishindikana lakin yy ameweza,mradi wa umeme wa mwal jk hydropower uligoma lkn yy ameweza,na mengine mengi ...