Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Alie igiza picha ya Yesu nae muislam...?Salam kwenu wakuu, kwa wale wenzetu waislam naona sikukuu yenu iko safi kabisa huku familia zikiendelea kujumuika vyema na maakuli ya hapa na pale.
Kuna hivi vitu vitatu kuhusu waislam (hasa wanaume):-
1. Kufuga ndevu nyingi
2. Kuvaa makobazi au sandals au open shoes (zilizo-over size)
3. Kuvaa kanzu
Nini uhusiano wa dini ya kiislam na hivyo vitu vitatu hapo juu?
Ukiwa muislam ni lazima ufuge ndevu kama Osama Bin Laden?
Ukiwa muisalm ni lazima kuvaa sandals au open shoes au makobazi muda wote?View attachment 530339View attachment 530340View attachment 530341View attachment 530343View attachment 530345
kuna mambo yanahitaje moyo sana....just imagine .Kufuga ndevu kwa Muislam ni Sunnah!
Nini maana ya SUNNAH mkuu??Kufuga ndevu kwa Muislam ni Sunnah!
HIVI MTU KAMA HUYU ANAKULA VIPI?JE DENDA ANAPIGA VIPI?
ahaaaaa......noma sana aisee.Mkuu umetisha.
Sioni mdomo hapo.
Ni kitendo au jambo ambalo amelifanya Mtume S.A.W. ndo huitwa Sunnah, vilevile hata lile ambalo amependekeza lifanyweNini maana ya SUNNAH mkuu??
Nimekusoma mkuu,huku mtaani linatumika vibaya.Wanasema ni kufanya jambo KWA KIDUCHU.yan kugusia kidogo juu ya jambo fulaniNi kitendo au jambo ambalo amelifanya Mtume S.A.W. ndo huitwa Sunnah, vilevile hata ile ambalo amependekeza lifanywe
Halafu ndevu zinaongeza nguvu za kiume sasa wewe umenyoa zote ndio
maana unalialia.
Mkuu si kila king'aacho ni dhahabukuna mambo yanahitaje moyo sana....just imagine .
Hivi mtu kama huyu anakula vipi..?
anapigaje mswaki...?
anakulaje denda kwa mfano...?
ana pigaje mwayo (yawning) ..?
ana nawaje mdomo kwa mfano..?
View attachment 530349