Uhusiano kati ya Uislamu na kufuga ndevu nyingi

Uhusiano kati ya Uislamu na kufuga ndevu nyingi

Duuu...basi huyo ticha we NJOSI alitisha.
Bila shaka alikuwa anaenda sana kula numbu za kutoka matola ...
Miaka ya 1998 - 2002 pale Njombe sec kulikuwa na mwalm wa hesabu alikuwa na ndevu huyo haoni ndan lakin yeye kichwan ni ubara siku zote
Miaka ya 1998 - 2002 pale Njombe sec kulikuwa na mwalm wa hesabu alikuwa na ndevu huyo haoni ndan lakin yeye kichwan ni ubara siku zote
 
Leviticus 19:27 ESV / 78 helpful votes

You shall not round off the hair on your temples or mar the edges of your beard.

Leviticus 21:5 ESV / 45 helpful votes
They shall not make bald patches on their heads, nor shave off the edges of their beards, nor make any cuts on their body.

Ezekiel 44:20 ESV / 34 helpful votes
They shall not shave their heads or let their locks grow long; they shall surely trim the hair of their heads.

Isaiah 50:6 ESV / 22 helpful votes
I gave my back to those who strike, and my cheeks to those who pull out the beard; I hid not my face from disgrace and spitting.

Psalm 133:2 ESV / 19 helpful votes
It is like the precious oil on the head, running down on the beard, on the beard of Aaron, running down on the collar of his robes!

Isaiah 7:20 ESV / 14 helpful votes
In that day the Lord will shave with a razor that is hired beyond the River—with the king of Assyria—the head and the hair of the feet, and it will sweep away the beard also.

Proverbs 20:29 ESV / 11 helpful votes
The glory of young men is their strength, but the splendor of old men is their gray hair.

2 Samuel 19:24 ESV / 11 helpful votes
And Mephibosheth the son of Saul came down to meet the king. He had neither taken care of his feet nor trimmed his beard nor washed his clothes, from the day the king departed until the day he came back in safety.

Deuteronomy 14:1-29 ESV / 11 helpful votes
“You are the sons of the Lord your God. You shall not cut yourselves or make any baldness on your foreheads for the dead. For you are a people holy to the Lord your God, and the Lord has chosen you to be a people for his treasured possession, out of all the peoples who are on the face of the earth. “You shall not eat any abomination. These are the animals you may eat: the ox, the sheep, the goat, the deer, the gazelle, the roebuck, the wild goat, the ibex, the antelope, and the mountain sheep. ...

Leviticus 14:9 ESV / 11 helpful votes
And on the seventh day he shall shave off all his hair from his head, his beard, and his eyebrows. He shall shave off all his hair, and then he shall wash his clothes and bathe his body in water, and he shall be clean.

Jeremiah 49:32 ESV / 10 helpful votes
Their camels shall become plunder, their herds of livestock a spoil. I will scatter to every wind those who cut the corners of their hair, and I will bring their calamity from every side of them, declares the Lord.

2 Samuel 10:4 ESV / 10 helpful votes
So Hanun took David's servants and shaved off half the beard of each and cut off their garments in the middle, at their hips, and sent them away.

Genesis 1:26 ESV / 10 helpful votes
Then God said, “Let us make man in our image, after our likeness. And let them have dominion over the fish of the sea and over the birds of the heavens and over the livestock and over all the earth and over every creeping thing that creeps on the earth.”

Jeremiah 9:26 ESV / 9 helpful votes
Egypt, Judah, Edom, the sons of Ammon, Moab, and all who dwell in the desert who cut the corners of their hair, for all these nations are uncircumcised, and all the house of Israel are uncircumcised in heart.”

Ezra 9:3 ESV / 8 helpful votes
As soon as I heard this, I tore my garment and my cloak and pulled hair from my head and beard and sat appalled.

1 Samuel 21:13 ESV / 7 helpful votes
So he changed his behavior before them and pretended to be insane in their hands and made marks on the doors of the gate and let his spittle run down his beard.

Judges 13:5 ESV / 7 helpful votes
For behold, you shall conceive and bear a son. No razor shall come upon his head, for the child shall be a Nazirite to God from the womb, and he shall begin to save Israel from the hand of the Philistines.”

Ezekiel 5:1 ESV / 6 helpful votes
“And you, O son of man, take a sharp sword. Use it as a barber's razor and pass it over your head and your beard. Then take balances for weighing and divide the hair.

Jeremiah 41:5 ESV / 6 helpful votes
Eighty men arrived from Shechem and Shiloh and Samaria, with their beards shaved and their clothes torn, and their bodies gashed, bringing grain offerings and incense to present at the temple of the Lord.

Numbers 6:5 ESV / 6 helpful votes
“All the days of his vow of separation, no razor shall touch his head. Until the time is completed for which he separates himself to the Lord, he shall be holy. He shall let the locks of hair of his head grow long.

Jeremiah 48:37 ESV / 5 helpful votes
“For every head is shaved and every beard cut off. On all the hands are gashes, and around the waist is sackcloth.

Genesis 41:14 ESV / 5 helpful votes
Then Pharaoh sent and called Joseph, and they quickly brought him out of the pit. And when he had shaved himself and changed his clothes, he came in before Pharaoh.

kutoka kwa Mr Q
 
Twende na wakati jamani. Kipindi cha mitume hata saluni hazikiwepo sasa wangenyoa midevu wapi?
 
Mkuu, huu ulikuwa ni utamaduni wa watu wa Mashariki ya Kati (ikiwemo Israel) tangu enzi na wameendelea kuuenzi hadi leo.

Kumbuka hata taswira inayotumika kutambulisha personality ya Yesu ni ndevu nyingi, makobazi na kanzu.

Ni vile tu Ukristo wetu umekuwa westernised sana na Wazungu, vinginevyo na siye Wakristo tungekuwa hivo hivo tu!
 
Nimekusoma mkuu,huku mtaani linatumika vibaya.Wanasema ni kufanya jambo KWA KIDUCHU.yan kugusia kidogo juu ya jambo fulani
Hao ni wasioelewa maana yake. Sunnah ni jambo alilolifanya mtume au alilopendekeza mtume. Ukilifanya unapata kheri na usipolifanya hupati dhambi. Hiyo ndio sunna ya mtume na pia sunna sahihi zipo katika vitabu na zinatambulika kisheria.
 
Kwa kawaida dini huakisi utamaduni wa walioanzisha hiyo dini. Ufugaji wa ndevu, uvaaji wa makobazi na viatu open ni utamaduni wa watu wa mashariki ya kati uislamu ulikochipua.
Waislam kupenda kuvaa kubadhi sio utamaduni wa mashariki ya kati bali ni kwasababu sala za waislam huhusisha kuosha miguu wakati wa kuchukua udhu. Hivyo watu wengi hupendelea kuvaa kubadhi kwasababu huwaondolea karaha ya kuvua na kuvaa viatu vya kutumbukiza. Na kwa ushahidi zaidi, waislamu wanaovaa sana kubadhi ni wale wanaosali sala tano kwa siku, wasio swali swala tano huvaa viatu vya kawaida kwa kadri wapendavyo. Halihusiani na utamaduni bali ni mapenzi ya mtu kutokana jinsi kitu kinavyomrahisishia.
 
Na mi naongeza jambo nne, uislam unauhusiano gani na mwezi? Ktk kila msikiti kuna alama ya mwezi
Mwezi ni katika alama za uwepo wa Mwenyezi MUNGU kama ilivyo dunia, jua, nyota, bahari nakadhalika. Mwenyezi MUNGU anasema katika Quran, "Na katika alama Zake ni usiku na mchana, jua na mwezi; basi msilisujudie jua wala mwezi; bali msujudieni Mwenyezi MUNGU Aliyeviumba ikiwa nyinyi mnabuabudu Yeye" (Quran 41: 37)

Suala la kuweka alama hizo kwenye misikiti sijui nani alianzisha lkn hakuna mahala popote nimewahi kusoma ambapo panasema ziwekwe alama hizo ktk nyumba za ibada ila huenda waislam wa kale walichagua alama hizo ili anyeona ajue kuwa hapa ni msikiti.
 
Sasa hebu tuangalie Nabii Isa ambaye wakristo wamemchukua kuwa mungu. Tuangalie mavazi yake na mwenyewe kuhusu ndevu.
Kwa kifupi hata wakristo kitabu Chao kinase ma kuhusu kufunga ndevu. Na kina wafiki. Muhimu soma. Kuvaa kanzu pia Nabii issa (yesu) amevaa..
Na lazima.unuwe tofauti kati ya ndevu za waislam na mayahudi na singa singa .muislam hafugi sharubu na ndevu zake hasizibi mdomo. .wayahudi wanafuga ndevu na sharubu. Singa singa ndevu na sharubu.
Kuhusu viatu sioni u baya wake ila naona faida yake kubwa kuvaa viatu vilivyo wazi .
Uzuri wa Waislam wanafuata mwenendo wa mtume wetu mpenzi .na ilikuwa rahisi kwani maisha yake yote yalikuwa kitabu kilicho funguliwa A (open book)
Hakuna mtume yoyote mwengine alokuwa na record ya maisha yake .
In short waislam waumini wanafuata mwenendo wa mtume. Waislam wa jina tu wanafuata yao na ya wazungu .wakristo wanafuata paulo si yesu ..wayahudi kwa kiasi wanafuata ya musa lakini kw a kiasi kidogo sana .
Ni dhahiri huujui ukristo kabisa.

Tofauti kubwa ya Uislam na ukristo ni kwamba ukristo unashughulika zaidi na roho wakati uislam unashughulika zaidi na mwili.

Agano la kale katika ukristo, kama ilivyo uislam, lilishughulika zaidi na mwili. Na Yesu, ambaye katika Biblia anaitwa NENO ( NENO alikuwako kwa Mungu, NENO alikuwa ni Mungu, aliyekuja kwa wanadamu wakashindwa kumtambua, wakashindwa kumpokea lakini waliompokea aliwapa uwezo wa kuwa wana wa MUNGU) alipokuja Duniani aliwafunulia wanadamu juu ya nini kilikuwa muhimu katika ufalme wa Mungu, ambacho ni ROHO na siyo MWILI.

Yesu hakuongelea ndevu, hakuongelea kubasi au kanzu kwa sababu alijua kabisa kuwa vitu hivyo ni vya kimwili na vinategemea mazingira ya mahali na wakati.

Kuvaa kanzu kwa wakati ule lilikuwa ni jambo la kawaida maana ndiyo lilikuwa vazi la wakati huo lililoendana na tamaduni za wakati huo. Ni vazi lililovaliwa hata na watu wasiomjua Mungu. Hakuna uthibitisho kuwa kulikuwa na mavazi mengine ya tofauti kwa wakati huo katika jamii husika.

Viatu vya wazi kwa sehemu za joto kama nchi za kiarabu inaeleweka. Lakini pia kutokana na teknolojia ya wakati huo, haionekani kulikuwa na viatu vya namna nyingine. Ni uwendawazimu mtu aishiye sehemu za baridi kali kuvaa kubasi eti tu kwa sababu mtume au Yesu alivaa kubasi.

Kwa enzi za Yesu na mtume, teknolojia na mazingira hayakuwa kama ya sasa, hata mashine au shaving foams na after shave havikuwepo. Hata nyembe hatuna uhakika kama vilikuwepo. Hakukuwa na sababu mtu anyoe kwa kisu butu halafu atokwe na upele. Busara ilikuwa kutokunyoa, ni busara ya kawaida. Lazima watu watofautishe nini ni mahitaji ya kawaida na nini ni mahitaji ya kiimani.

Wanaotaka kufuata maisha ya mtume, wasipande magari, wala ndege au engine boats maana mtume hakuwahi kusafiri kwa kutumia vyombo hivyo. Pia wasitumie hata laptop maana mtume hakuwa na computer wala simu ya mkononi.

WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA.

Vazi kama kanzu kwa shekhe au kasisi ni vazi rasmi kwa kadiri ya taasisi zinazohusika zilivyoamua, sawa kabisa na sare za jeshi, majoho ya vyuo au jezi za wachezaji, lakini muundo wa mavazi hauna mchango katika core faith.

Kufuga ndevu hakuna mchango wowote katika wokovu wetu ndiyo maana hakuna maagizo kutoka kwa Mungu. Kuna watu waliokuwa wametoa maoni yao lakini Mungu hajatoa maelekezo kuhusu ndevu kwa sababu aliijua Dunia kabla haijaiumba, aliyajua mabadiliko ya Dunia na watu wake. Alitambua wanajme ambao hawatakuwa na ndevu. Maelekezo yake ya moja kwa moja ni kwa vitu vya kiimani, visivyobadilika. Alisema watu wasiibe. Wizi utaendelea kuwepo, utaendelea kuwaudhi na kuwaumiza wanadamu wakati wote japo vitu vitakavyoibiwa vitabadilika kutokana na wakati na mazingira ya mahali. Zwmani watu waliiba zaidi ng'ombe na mbuzi lakini leo watu wanaiba zaidi simu, laptops na fedha. Tanzania watu wanaiba zaidi simu lakini uarabuni watu huiba zaidi rasilimali za kuzalishia.
 
Ni dhahiri huujui ukristo kabisa.

Tofauti kubwa na Uislam na ukristo ni kwamba ukristo unashughulika zaidi na roho wakati uislam unashughulika zaidi na mwili.

Agano la kale katika ukristo, kama ilivyo uislam, lilishughulika zaidi na mwili. Na Yesu, ambaye katika Biblia anaitwa NENO ( NENO alikuwako kwa Mungu, NENO alikuwa ni Mungu, aliyekuja kwa wanadamu wakashindwa kumtambua, wakashindwa kumpokea lakini waliompokea aliwapa uwezo wa kuwa wana wa MUNGU) alipokuja Duniani aliwafunulia wanadamu juu ya nini kilikuwa muhimu katika ufalme wa Mungu, ambacho ni ROHO na siyo MWILI.

Yesu hakuongelea ndevu, hakuongelea kubasi au kanzu kwa sababu alijua kabisa kuwa vitu hivyo ni vya kimwili na vinategemea mazingira ya mahali na wakati.

Kuvaa kanzu kwa wakati ule lilikuwa ni jambo la kawaida maana ndiyo lilikuwa vazi la wakati huo lililoendana na tamaduni za wakati huo. Ni vazi lililovaliwa hata na watu wasiomjua Mungu. Hakuna uthibitisho kuwa kulikuwa na mavazi mengine ya tofauti kwa wakati huo katika jamii husika.

Viatu vya wazi kwa sehemu za joto kama nchi za kiarabu inaeleweka. Lakini pia kutokana na teknolojia ya wakati huo, haionekani kulikuwa na viatu vya namna nyingine. Ni uwendawazimu mtu aishiye sehemu za baridi kali kuvaa kubasi eti tu kwa sababu mtume au Yesu alivaa kubasi.

Kwa enzi za Yesu na mtume, teknolojia na mazingira hayakuwa kama ya sasa, hata mashine au shaving foams na after shave havikuwepo. Hata nyembe hatuna uhakika kama vilikuwepo. Hakukuwa na sababu mtu anyoe kwa kisu butu halafu atokwe na upele. Busara ilikuwa kutokunyoa, ni busara ya kawaida. Lazima watu watofautishe nini ni mahitaji ya kawaida na nini ni mahitaji ya kiimani.

Wanaotaka kufuata maisha ya mtume, wasipande magari, wala ndege au engine boats maana mtume hakuwahi kusafiri kwa kutumia vyombo hivyo. Pia wasitumie hata laptop maana mtume hakuwa na computer wala simu ya mkononi.

WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA.

Vazi kama kanzu kwa shekhe au kasisi ni vazi rasmi kwa kadiri ya taasisi zinazohusika zilivyoamua, sawa kabisa na sare za jeshi, majoho ya vyuo au jezi za wachezaji, lakini muundo wa mavazi hauna mchango katika core faith.

Kufuga ndevu hakuna mchango wowote katika wokovu wetu ndiyo maana hakuna maagizo kutoka kwa Mungu. Kuna watu waliokuwa wametoa maoni yao lakini Mungu hajatoa maelekezo kuhusu ndevu kwa sababu aliijua Dunia kabla haijaiumba, aliyajua mabadiliko ya Dunia na watu wake. Alitambua wanajme ambao hawatakuwa na ndevu. Maelekezo yake ya moja kwa moja ni kwa vitu vya kiimani, visivyobadilika. Alisema watu wasiibe. Wizi utaendelea kuwepo, utaendelea kuwaudhi na kuwaumiza wanadamu wakati wote japo vitu vitakavyoibiwa vitabadilika kutokana na wakati na mazingira ya mahali. Zwmani watu waliiba zaidi ng'ombe na mbuzi lakini leo watu wanaiba zaidi simu, laptops na fedha. Tanzania watu wanaiba zaidi simu lakini uarabuni watu huiba zaidi rasilimali za kuzalishia.
Aiseeh!
 
Ndevu ni asili na isharu ya dume unazitoaje sasa Mungu ana makusudi yake wala usihangaike kuhoji
 
Sasa hebu tuangalie Nabii Isa ambaye wakristo wamemchukua kuwa mungu. Tuangalie mavazi yake na mwenyewe kuhusu ndevu.
Kwa kifupi hata wakristo kitabu Chao kinase ma kuhusu kufunga ndevu. Na kina wafiki. Muhimu soma. Kuvaa kanzu pia Nabii issa (yesu) amevaa..
Na lazima.unuwe tofauti kati ya ndevu za waislam na mayahudi na singa singa .muislam hafugi sharubu na ndevu zake hasizibi mdomo. .wayahudi wanafuga ndevu na sharubu. Singa singa ndevu na sharubu.
Kuhusu viatu sioni u baya wake ila naona faida yake kubwa kuvaa viatu vilivyo wazi .
Uzuri wa Waislam wanafuata mwenendo wa mtume wetu mpenzi .na ilikuwa rahisi kwani maisha yake yote yalikuwa kitabu kilicho funguliwa A (open book)
Hakuna mtume yoyote mwengine alokuwa na record ya maisha yake .
In short waislam waumini wanafuata mwenendo wa mtume. Waislam wa jina tu wanafuata yao na ya wazungu .wakristo wanafuata paulo si yesu ..wayahudi kwa kiasi wanafuata ya musa lakini kw a kiasi kidogo sana .
Vipi kuhusu kubaka katoto kadogo?fafanua
 
Sasa hebu tuangalie Nabii Isa ambaye wakristo wamemchukua kuwa mungu.

[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] tuwekee ushahidi humu Wakristo wanaitakidi isa ni Mungu


Tuangalie mavazi yake na mwenyewe kuhusu ndevu.
Kwa kifupi hata wakristo kitabu Chao kinase ma kuhusu kufunga ndevu. Na kina wafiki. Muhimu soma. Kuvaa kanzu pia Nabii issa (yesu) amevaa..
Na lazima.unuwe tofauti kati ya ndevu za waislam na mayahudi na singa singa .muislam hafugi sharubu na ndevu zake hasizibi mdomo. .wayahudi wanafuga ndevu na sharubu. Singa singa ndevu na sharubu.

[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] ndevu, sharubu, kanzu, makwabazi, vijuba, msuli bila chupi, bargashia, havikupi wepesi wowote kuifikia sardaus, akae ukijua wewe ni finnar jehannam halidina fiha abadan...ref; suratul mariam:71 na hata walio mfanyia kitu mbaya abdul qathem kule taifu walivaa kanzu na ndevu sawia [emoji12]


Kuhusu viatu sioni u baya wake ila naona faida yake kubwa kuvaa viatu vilivyo wazi .
Uzuri wa Waislam wanafuata mwenendo wa mtume wetu mpenzi .na ilikuwa rahisi kwani maisha yake yote yalikuwa kitabu kilicho funguliwa A (open book)
Hakuna mtume yoyote mwengine alokuwa na record ya maisha yake .
In short waislam waumini wanafuata mwenendo wa mtume. Waislam wa jina tu wanafuata yao na ya wazungu .wakristo wanafuata paulo si yesu ..wayahudi kwa kiasi wanafuata ya musa lakini kw a kiasi kidogo sana .

Kumbe naongea na kafir sio muumin [emoji12] abdul qathem amesema Wakristo, wasabai, na wanao mwamini Mwenyezi Mungu na siku ya mwisho Wasihofu [emoji123] [emoji4] ref; suratul baqara:62 wee unazoboka eti Wakristo wanafuata ya Paulo [emoji15] [emoji9] wapi abdul qathem kamtaja Paulo...[emoji47] ashki majunun eeh..
 
Hizi dini zote ni ubatili mtupu.
Ziwe za kigeni au hapo Tanzania.

Ufugaji ndevu ni ukichaa Kama ukichaa mwingine tu. Hapo afrika na Tanzania

Kanzu ni kuficha silaha, mfano waislamu Wengi walio warabu wameisha ua mtu si chini ya Mtu mmoja.
Pia, nchi zao walio warabu pana joto hivyo Kanzu ni ili wapate hewa kila eneo.

Kuvaa oversize na maviatu uchwara ni muendelezo wa uchizi. Hapo afrika na Tanzania

Najua mapovu yatawatoka watu humu ila nitayakausha Kwa facts.

Nitarudi tena kukupeni kavu za uso
 
Halafu mbona mada hii mnapenda kuzileta siku za matukio muhimu ya waislam.
Tumewashtukia jiulizeni mujijibu wenyewe sie tunafanya yetu.
 
Back
Top Bottom