Uhusiano na mtu ambaye hujawahi muona

Jerry de Marco

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
213
Reaction score
41
Bila mu wazima wa afya wana MMU,nin hutokea had unakuta mtu ana uhusiano wa kimapenz na mtu ambaye hajawah kumuona na wanapendana sana kama vile walishaonana na je hapo kuna mapenz ya dhat na pia hudumu?
 
Ni sanaa tu hapo kwa kwenda mbele, upendo wa kweli hudhihirika wakishaonana na kujuana tabia na mienendo! otherwise huwa ni kamchezo tu!
 
Bila mu wazima wa afya wana MMU,nin hutokea had unakuta mtu ana uhusiano wa kimapenz na mtu ambaye hajawah kumuona na wanapendana sana kama vile walishaonana na je hapo kuna mapenz ya dhat na pia hudumu?

Hii inategemea sana ila inawezekana sana mkapenda zaidi baada ya kuonana au mkachukiana baada ya kuonana'mimi nimewahi kupenda kwenye mitandao na mpaka leo niko nae huyo mpenzi sasa tuna miaka 3 na bado tunapenda sana tu yeye ni muwazi sana kama mimi
 
Hii inategemea sana ila inawezekana sana mkapenda zaidi baada ya kuonana au mkachukiana baada ya kuonana'mimi nimewahi kupenda kwenye mitandao na mpaka leo niko nae huyo mpenzi sasa tuna miaka 3 na bado tunapenda sana tu yeye ni muwazi sana kama mimi

hongera xana kwa hilo
 
Ila wasiwasi nilio nao ni pale wanapoamua kuonana maana utakuta ulivyodhan ndivyo kumbe cvyo
 
mii ilinitokea nilienda ofc flani kwenye interview dah hiyo post sikupata ila jamaa alikuwa amefall so sinikaingia line dah nipo nae mpaka leo raha utamu , tunawasiliana online sana tu ,there is no special place to meet your loved one thats wat I do believe hahaha mnalooo magumegume
 
Mimi kwa uzoefu wangu hyo inawezekana kwa msichana kumpenda mvulana bila kumuona kupitia mazungumzo tu basi akakupenda na mnakuja kuonana akiwa tayari ameshafanya maamuzi kulingana na jinsi ulivyokuwa unaongea,kujari kwako,kufanya maamuzi na vitu kama hivyo,lakini kwa mwanaume kabla ya kumuona atamuongopea hadi amuone akivutiwa naye ndy anafanya maamuzi vinginevyo anapotezea na hili huwatokea kwa sababu wanaume wanaongozwa sana na mvuto wa mwanamke,tofauti na wanawake kwa uhandsome siyo issue ila wanahitaji a real man hivyo akishajiridhisha ww ni real man hata kama hajakuona atakupenda.
 
Ngoja wajibu waliokwisha win that kind of relation.
 

hyo ni kwel wanaume weng kufanya maamuz ni mpaka aone kwa macho ndipo aridhike
 
Mbona ikitokea wakaonana na kukuta cvyo kama kila mmoja alivyotarajia hukimbiana
 
Ndio maana nikasema sijui kama ni right or wrong.
Nachojua napaa kutokana na nguvu za upepo.

BTW, msalimie yule uliyemtorosha jf.

Hujui? Mbona uliniunganishia kwa patina wako? Hahahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…