Uhusiano na tofauti kati ya 'Shushushu' na Afisa wa Usalama wa Taifa.Wanatambuanaje wakiwa kazini?

Uhusiano na tofauti kati ya 'Shushushu' na Afisa wa Usalama wa Taifa.Wanatambuanaje wakiwa kazini?

Shushuhsu ni mtu mpole sana anaejua hesabu darasani
Usala wa Taifa ni mtu mjenzi yoyote hasa wa madaraja makubwa
 
Shushushu ni mtu aliyeko ndani ya kitengo cha usalama wa taifa jinsi wanavyofanya kazi angalia nyuzi ulizopewa hapo juu
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Ndani ya yai kuna kiini pia kuna makenge yanakitamani, Nje ya yai kuna ganda ambalo kenge analivizia sana
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Ndani ya yai kuna kiini pia kuna makenge yanakitamani, Nje ya yai kuna ganda ambalo kenge analivizia sana
 
Je unafahamu tabia za mtu mmbeya!! Bila shaka nikupenda kusimulia isue za wenzake lakini anasimulia kwakuwa anapenda kufuatilia au kudodosa mambo ya wenzaka.

Shushushu ni mdodosaji wa mambo ya watu ila yeye ana mafunzo mengine ya kitaalam kumpa mbinu mbalimbali.
Kwa hiyo unapozungumzia shshsh ujue unazungumzia Mtu

Na unapozungumzia Uslm wa T. Ina maana unazungumzia mfumo mzima
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Mashushushu ni wakuu wote wa mikoa tanzania, kwa Lugha ya kichaga ndo tunaita mashushushu. Na usalama wa taifa ni wanafunzi woote wa UDSM kwa kinyiramba ndo wanaitwa usalama wa Taifa. Au tiss
Mpaka Nimeipenda mwenyew
 
Back
Top Bottom