Uhusiano uliopo kati ya kesi ya Ugaidi dhidi ya Mbowe na tukio la jambazi

Uhusiano uliopo kati ya kesi ya Ugaidi dhidi ya Mbowe na tukio la jambazi

huyo alikuwa Raia Mwema tu. Magaidi wako mahakamani kesi inaendelea.
Taja mtu mmoja tu alieuawa na hao Magaidi wa mahakamani,mimi nitakutajia gaidi halisi alieua askari polisi watatu wenye silaha mchana kweupe na kati kati ya jiji.

Ukishindwa kutaja basi ujue akili hauna au iko makalioni
 
Taja mtu mmoja tu alieuawa na hao Magaidi wa mahakamani,mimi nitakutajia gaidi halisi alieua askari polisi watatu wenye silaha mchana kweupe na kati kati ya jiji.

Ukishindwa kutaja basi ujue akili hauna au iko makalioni
Mkuu mimi nimeongea tu Na hapo nataka kuujulisha umma wa serikali uache kuita watu magaidi. Magaidi wenyewe ndio hao sasa.
 
Pole sana...
Ok ni jambazi kaiba nini?
Au ni mwizi kaiba nini?
Mgonjwa wa akili? Mbona akuua raia kaua polisi tu?
Muwe na akili ata kidogo tu au mmelogwa?

Tumia lugha ya staha...

Ukiitwa mbele ya vyombo vya sheria unaweza kuthibitisha madai yako?
 
Kwani wewe unasemaje.
Mimi nasema Polisi wamekosa weledi kwa kushindwa ku kumthibiti yule mtu pasipo kipoteza uhai wake. Hakuwa na cover yoyote ya kushindwa kudhibiti. Sababu hawajui/hatujui alikuwa na masahibu gani!!! Angehojiwa tungejua ni mgonjwa, maisha yamemshinda, anamadeni, ametumwa n.k.
E9o9nWVUcAM2e-d.jpeg
 
Mimi nasema Polisi wamekosa weledi kwa kushindwa ku kumthibiti yule mtu pasipo kipoteza uhai wake. Hakuwa na cover yoyote ya kushindwa kudhibiti. Sababu hawajui/hatujui alikuwa na masahibu gani!!! Angehojiwa tungejua ni mgonjwa, maisha yamemshinda, anamadeni, ametumwa n.k.
Pengine wamekosa ujasiri huo kwakuwa mahusiano yao na jamii mara nyingi yamekuwa yakikosa weledi ,busara na hata mahusiano mema.Hivyo hata kushindwa kukadiria kwa weledi adui hasa ni nani.
 
Naomba niwape pole wakazi wa Dar Es Salaam, Polisi na ndugu wa Polisi waliofariki katika tukio la leo.

Tukio hili la anayeshukiwa kuwa jambazi kufyatua risasi hovyo, limeshtua watu wengi. Niwape hongera Polisi kwa kazi hiyo.

Naomba kwanza niseme kuwa huyu mtu sio mgeni machoni pa vyombo vya usalama. Inaonekana wanamjua, na ndio maana wamemuua moja kwa moja na hawajataka kumkamata. Pia, anaonekana hakuwa na nia ya kuua raia, kwani hakuua yeyote aliyekuwepo kwenye gari au karibu zaidi.

Kuna ujumbe alikuwa analeta kupitia tukio hili. Cha kwanza, nikutaka watu wamuone na aonekane kwenye media kwani kaenda eneo ambalo lina ulinzi mkubwa sana na alijua kuwa atakufa tu. Nadhani alitaka kuonesha kwamba Polisi hawana huruma na weledi, kwa kuwa hawatamkamata.

Uhusiano uliopo na kesi ya Mbowe, ni kuwa huyo jambazi alikuwa anataka kuonesha maana sahihi ya ugaidi wa silaha. Pengine katumwa kujitoa mhanga au alikuwa na madai yake binafsi lakini lazima utakuwa ni mpango wa kikundi cha watu na siyo kwamba huyo jambazi ni kichaa.

Ni mtu timamu, na ndiyo maana hajalenga au piga risasi mtu yeyote au kitu chochote kwa lengo la kuua.

Wito wangu, ni kwa Polisi wote nchini hasa wa usalama barabarani na watu wa idara ya usalama wa taifa kuongeza umakini ili lisije jirudia tukio kama hili. Pia, ufanyike uchunguzi wa kina zaidi kuhusu tukio hili
kumuita jambazi umelenga nini ? maana jambazi ni mtu anayefanya uporaji wa mali au pesa , ukiacha zile bunduki alizozitumia kaiba kipi ?
 
Pengine wamekosa ujasiri huo kwakuwa mahusiano yao na jamii mara nyingi yamekuwa yakikosa weledi ,busara na hata mahusiano mema.Hivyo hata kushindwa kukadiria kwa weledi adui hasa ni nani.
Hivyo tusijifanye tuna uhakika wa msomali huyu alikuwa na akili timamu kama alivyoainishwa na uzi huu.
 
Nahisi hii ni pre-emptive strike, vyombo vya ulinzi na usalama vikae chonjo huenda kuna shambulio kubwa zaidi linapikwa.
 
Umeongea point ya msingi Sana, ukitaka kupata Kichekesho, subiri kesho report.
 
Naomba niwape pole wakazi wa Dar Es Salaam, Polisi na ndugu wa Polisi waliofariki katika tukio la leo.

Tukio hili la anayeshukiwa kuwa jambazi kufyatua risasi hovyo, limeshtua watu wengi. Niwape hongera Polisi kwa kazi hiyo.

Naomba kwanza niseme kuwa huyu mtu sio mgeni machoni pa vyombo vya usalama. Inaonekana wanamjua, na ndio maana wamemuua moja kwa moja na hawajataka kumkamata. Pia, anaonekana hakuwa na nia ya kuua raia, kwani hakuua yeyote aliyekuwepo kwenye gari au karibu zaidi.

Kuna ujumbe alikuwa analeta kupitia tukio hili. Cha kwanza, nikutaka watu wamuone na aonekane kwenye media kwani kaenda eneo ambalo lina ulinzi mkubwa sana na alijua kuwa atakufa tu. Nadhani alitaka kuonesha kwamba Polisi hawana huruma na weledi, kwa kuwa hawatamkamata.

Uhusiano uliopo na kesi ya Mbowe, ni kuwa huyo jambazi alikuwa anataka kuonesha maana sahihi ya ugaidi wa silaha. Pengine katumwa kujitoa mhanga au alikuwa na madai yake binafsi lakini lazima utakuwa ni mpango wa kikundi cha watu na siyo kwamba huyo jambazi ni kichaa.

Ni mtu timamu, na ndiyo maana hajalenga au piga risasi mtu yeyote au kitu chochote kwa lengo la kuua.

Wito wangu, ni kwa Polisi wote nchini hasa wa usalama barabarani na watu wa idara ya usalama wa taifa kuongeza umakini ili lisije jirudia tukio kama hili. Pia, ufanyike uchunguzi wa kina zaidi kuhusu tukio hili
Mbowe aachiwe mara moja!
 
Back
Top Bottom