Uhusiano uliopo kati ya kesi ya Ugaidi dhidi ya Mbowe na tukio la jambazi

Uhusiano uliopo kati ya kesi ya Ugaidi dhidi ya Mbowe na tukio la jambazi

Hizi taarifa zako ulizozisikia kwa watu usiziamini sana, binafsi sikuwepo napata shida kuhukumu.

Naamini huyo jamaa ameamua kufanya hayo for his own reasons, naamini hakuna mtu mjinga wa kutoa mhanga maisha yake kwa ajili ya kesi za kubambika, au kutimiza michezo ya kisiasa.
Hapana, mimi sijahukumu...

Tunachojaribu kufanya hapa ni kufikiri tu na kutoa description ya tukio lenyewe...

Kwa sababu huu ni ujambazi wa ajabu kidogo...

Na kumbuka maneno ya Rais Samia leo akizungumza na polisi kuwa;

"....Magaidi tunao, tunaishi nao mitaani mpaka sasa...."

Baada ya kauli hiyo tu, masaa machache tukio hilo linalosemekana la ujambazi likatokea...

Yaani ni kama tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi lilivyotokea September, 2017....

Rais Magufuli anapokea ripoti ya madini ya kina Prof Mruma huko DSM, akahutubia na kusema;

"....wote wanaopinga haya mambo (aliyoyaita kama vita ya uchumi) si wazalendo, ni wasaliti na askari mnajua msaliti katika vita hufanywaje...."

Ile Rais Magufuli anamaliza tu kutamka maneno hayo, kule Dodoma saa saba mchana kweupe katikati ya mji, Tundu Lissu akamiminiwa risasi 37 na "watu wasiojulikana", na kati ya hizo 16 zikazama mwilini lakini kimiujiza jamaa hakufa, yu hai mpaka Leo...!!

Kwa hiyo, ni lazima watu tuhoji kila tukio lisilo la kawaida linalotokea hapa nchini kwetu. Hili siyo la kawaida...!!
 
Naomba niwape pole wakazi wa Dar Es Salaam, Polisi na ndugu wa Polisi waliofariki katika tukio la leo.

Tukio hili la anayeshukiwa kuwa jambazi kufyatua risasi hovyo, limeshtua watu wengi. Niwape hongera Polisi kwa kazi hiyo.

Naomba kwanza niseme kuwa huyu mtu sio mgeni machoni pa vyombo vya usalama. Inaonekana wanamjua, na ndio maana wamemuua moja kwa moja na hawajataka kumkamata. Pia, anaonekana hakuwa na nia ya kuua raia, kwani hakuua yeyote aliyekuwepo kwenye gari au karibu zaidi.

Kuna ujumbe alikuwa analeta kupitia tukio hili. Cha kwanza, nikutaka watu wamuone na aonekane kwenye media kwani kaenda eneo ambalo lina ulinzi mkubwa sana na alijua kuwa atakufa tu. Nadhani alitaka kuonesha kwamba Polisi hawana huruma na weledi, kwa kuwa hawatamkamata.

Uhusiano uliopo na kesi ya Mbowe, ni kuwa huyo jambazi alikuwa anataka kuonesha maana sahihi ya ugaidi wa silaha. Pengine katumwa kujitoa mhanga au alikuwa na madai yake binafsi lakini lazima utakuwa ni mpango wa kikundi cha watu na siyo kwamba huyo jambazi ni kichaa.

Ni mtu timamu, na ndiyo maana hajalenga au piga risasi mtu yeyote au kitu chochote kwa lengo la kuua.

Wito wangu, ni kwa Polisi wote nchini hasa wa usalama barabarani na watu wa idara ya usalama wa taifa kuongeza umakini ili lisije jirudia tukio kama hili. Pia, ufanyike uchunguzi wa kina zaidi kuhusu tukio hili
Mbona kama sijaona damu?
 
sijakuelewa mkuu kwamba majeshi hata mipaka kulindwa yaache ? na umejuaje kuwa ana uhusiano nao na kuwa wamekasirika?
Unauliza majibu mkuu, umewasikia mashuhuda lakini. MAGAIDI yapo Dar
 
View attachment 1907849
MaCCM hivi akili mlipeleka wapi..huyu ni JAMBAZI Ila Mbowe ni GAIDI. Nyie jifanyeni hamnazo tu. Majeshi mliopeleka msumbiji, mjiandae na visasi vya MAGAIDI.
Huyu ni kijana. Anakaa upanga. Wanaasili ya kisomalo
Babake Tajir. Wanaishi hapo. Hana akili timamu
Alisoma almutazir.akashindwa aliposjindwa wazazi wakampeleka kusoma dini. Hajarudi home hana cha kufanya baba ana silaha inashinda nyumbani... amechukua silaha ya baba akaenda kuchukua silaha ndogo ya baba akashambulia police wala rushwa goigigoi pale corner ya kwenda kwa vogogo masaki.anatumia akili ndogo sana.
Huo ugaidi upo wapi hapo
 
Hapana, mimi sijahukumu...

Tunachojaribu kufanya hapa ni kufikiri tu na kutoa description ya tukio lenyewe...

Kwa sababu huu ni ujambazi wa ajabu kidogo...

Na kumbuka maneno ya Rais Samia leo akizungumza na polisi kuwa;

"....Magaidi tunao, tunaishi nao mitaani mpaka sasa...."

Baada ya kauli hiyo tu, masaa machache tukio hilo linalosemekana la ujambazi likatokea...

Yaani ni kama tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi lilivyotokea September, 2017....

Rais Magufuli anapokea ripoti ya madini ya kina Prof Mruma huko DSM, akahutubia na kusema;

"....wote wanaopinga haya mambo (aliyoyaita kama vita ya uchumi) si wazalendo, ni wasaliti na askari mnajua msaliti katika vita hufanywaje...."

Ile Rais Magufuli anamaliza tu kutamka maneno hayo, kule Dodoma saa saba mchana kweupe katikati ya mji, Tundu Lissu akamiminiwa risasi 37 na "watu wasiojulikana", na kati ya hizo 16 zikazama mwilini lakini kimiujiza jamaa hakufa, yu hai mpaka Leo...!!

Kwa hiyo, ni lazima watu tuhoji kila tukio lisilo la kawaida linalotokea hapa nchini kwetu. Hili siyo la kawaida...!!
Uko sahihi
 
Ndugu, hawa jamaa wanajua wanachokifanya...

Subiri ripoti ya polisi. Utashangaa mpaka ushindwe kula...

Kuna watu huko serikalini wako so desperate kulinda nafasi na maslahi yao kwa gharama yoyote hata kama ni kuua watoto na mama zao...!!!

It's possible that, the whole plan ni huyo afe na ionekane hivyo kwako na kwangu na kwa wengine. Hapo ni kutumia akili kujiuliza maswali na kuyajibu...

Wote waliohojiwa na hizo video clips kurushwa hewani ni part of the plan, are the part of the actors & actresses wa movie yote...
The palm tree mimi nakuunga mkono. Ni lazima tuwe na uwezo sio wa kuona vilivyo wazi bali kuona vulivyofichika.

Kuna kamchezo hapo

hawa watawala they can do anything.
 
1. Jinsi lilivyotokea na jinsi polisi walivyoli - handle hata askari 3 na raia mmoja kupoteza maisha, HAKIKA INAFIRISHA SANA...

2. Kwa maelezo ya mashuhuda wa tukio hili, jambazi aliyeua askari aliishiwa risasi kisha akatoka alikojificha akirusha risasi, akapiga magoti peupe na kunyanyua mikono juu kama ishara ya kujisalimisha...

Cha ajabu, hata baada ya tendo hili la jambazi kujisalimisha, polisi àlimwendea na alipomfikia badala amtie pingu jambazi huyu kusaidia upelelezi, yeye alimmiminia risasi na kumuua hapo hapo. HAKIKA INAFIKIRISHA SANA...!!

3. Nina mashaka makubwa, kuwa kuna uwezekano tukio hili limekuwa planned na "watu ndani ya jeshi la polisi na government prosecution department" maalumu towards establishing new evidence kuongezea nguvu ya ushahidi wao dhidi ya kesi ya ugaidi wa Mbowe...

Nahisi kitu fulani hapa, kuwa, hawa polisi haraka haraka ktk upelelezi wanaosema wanaufanya, basi final report yao ya tukio inaweza kuwaacha watu midomo wazi...!!

Kwa ufupi, a new evidence is being prepared ili kuficha aibu ya baadhi ya watu serikalini. Swali ni hili, wataweza kupata wakitafutacho??

Kaeni mkao wa kula...
Kweli. Thay can do anything. Say anything.
 
Ndugu, hawa jamaa wanajua wanachokifanya...

Subiri ripoti ya polisi. Utashangaa mpaka ushindwe kula...

Kuna watu huko serikalini wako so desperate kulinda nafasi na maslahi yao kwa gharama yoyote hata kama ni kuua watoto na mama zao...!!!

It's possible that, the whole plan ni huyo afe na ionekane hivyo kwako na kwangu na kwa wengine. Hapo ni kutumia akili kujiuliza maswali na kuyajibu...

Wote waliohojiwa na hizo video clips kurushwa hewani ni part of the plan, are the part of the actors & actresses wa movie yote...
Kuwa mpole kwetu Sisi wenye idea kidogo ya ujasusi huyu jamaa anaweza asiwe gaidi wala agent wa issue yoyote inayohudisha serikali. Bali huenda kukawa na mambo ya kudhulumiana Kati yake na polisi so lengo likawa kulipa kisasi.
Kama watajaribu kuhusisha hili jambo na kesi mbowe itakuwa nikufeli Kwa ujasusi Kwa kiwango cha juu sana
 
Huyu ni kijana. Anakaa upanga. Wanaasili ya kisomalo
Babake Tajir. Wanaishi hapo. Hana akili timamu
MaCCM toka lini wakawa na akili , huo ndio Utimamu wa MaCCM wote, wanachoweza ni UGAIDI, kuteka , kutesa, na kuua watanzania. Mjumbe UVCCM yule.
CCM ni laana nchi hii.
 
Unasema huu ni ugaidi na kulinganisha na ugaidi wa Mbowe.
Nikuulize kwani Mbowe kamtuma huyu msomali?
Wewe ndiyo gaidi umemtuma huyo Msomali ili upate kuwabambikia kesi familia yake yote ukapore mgodi wao hapo mbeya
 
Kuwa mpole kwetu Sisi wenye idea kidogo ya ujasusi huyu jamaa anaweza asiwe gaidi wala agent wa issue yoyote inayohudisha serikali. Bali huenda kukawa na mambo ya kudhulumiana Kati yake na polisi so lengo likawa kulipa kisasi.
Kama watajaribu kuhusisha hili jambo na kesi mbowe itakuwa nikufeli Kwa ujasusi Kwa kiwango cha juu sana
Atakuwa anawadai Polisiccm huenda kuna uonevu ulitendeka dhidi yake kaamua kulipa kisasi
 
Acha
Naomba niwape pole wakazi wa Dar Es Salaam, Polisi na ndugu wa Polisi waliofariki katika tukio la leo.

Tukio hili la anayeshukiwa kuwa jambazi kufyatua risasi hovyo, limeshtua watu wengi. Niwape hongera Polisi kwa kazi hiyo.

Naomba kwanza niseme kuwa huyu mtu sio mgeni machoni pa vyombo vya usalama. Inaonekana wanamjua, na ndio maana wamemuua moja kwa moja na hawajataka kumkamata. Pia, anaonekana hakuwa na nia ya kuua raia, kwani hakuua yeyote aliyekuwepo kwenye gari au karibu zaidi.

Kuna ujumbe alikuwa analeta kupitia tukio hili. Cha kwanza, nikutaka watu wamuone na aonekane kwenye media kwani kaenda eneo ambalo lina ulinzi mkubwa sana na alijua kuwa atakufa tu. Nadhani alitaka kuonesha kwamba Polisi hawana huruma na weledi, kwa kuwa hawatamkamata.

Uhusiano uliopo na kesi ya Mbowe, ni kuwa huyo jambazi alikuwa anataka kuonesha maana sahihi ya ugaidi wa silaha. Pengine katumwa kujitoa mhanga au alikuwa na madai yake binafsi lakini lazima utakuwa ni mpango wa kikundi cha watu na siyo kwamba huyo jambazi ni kichaa.

Ni mtu timamu, na ndiyo maana hajalenga au piga risasi raia baki yeyote au kitu chochote kwa lengo la kuua.

Wito wangu, ni kwa Polisi wote nchini hasa wa usalama barabarani na watu wa idara ya usalama wa taifa kuongeza umakini ili lisije jirudia tukio kama hili. Pia, ufanyike uchunguzi wa kina zaidi kuhusu tukio hili
Acha Kuropoka,kwani umeambiwa na wale 6 waliojeruhiwa waemelazwa hospitali wote ni askari polisi?
 
Back
Top Bottom