NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,402
- 4,532
Nimeamua kuiweka hii thread huku kwa faida ya wote maana huku panatembelewa na wengi.
Mara nyingi utasikia watu wanasema nimeahirisha kunywa dawa maana asubuhi nilikunywa maziwa.
Je, ni kweli ukinywa dawa na maziwa hazifanyi kazi?
Au ndio tuseme kuna aina ya dawa hazikubaliani na maziwa.Kama zipo ni zipi?
Naombeni wenye taaluma ya madawa watujuze
Mara nyingi utasikia watu wanasema nimeahirisha kunywa dawa maana asubuhi nilikunywa maziwa.
Je, ni kweli ukinywa dawa na maziwa hazifanyi kazi?
Au ndio tuseme kuna aina ya dawa hazikubaliani na maziwa.Kama zipo ni zipi?
Naombeni wenye taaluma ya madawa watujuze