Wakenya Changamkieni Fursa Bila wasiwasi Sekta Nyingi hazina Wataalamu wa kutosha
Uwekezaji Njenje Wabongo huwa tunatabia ya Kusitasita.
Hata Ethiopia yenyewe kwa Sasa fursa ni kibao wanaondoa Ule Mfumo wa Monopoly
Ethiopia ina Kampuni Moja tu ya Simu ambayo inamilikiwa na Serikali sasa Waziri Mkuu Abiy Ahmed anataka kuifungua Nchi iwe na Mfumo wa Soko Huria.